Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GERRARD KUTUNDIKA DARUGA

Nahodha wa timu ya Taifa ya England, Steven Gerrard amesema atastaafu kuichezea nchi hiyo baada ya kumalizika kwa fainali za Kombe la Dunia zinazoanza mwezi ujao nchini Brazil. Gerrard mwenye umri wa miaka 33 pia ni nahodha wa timu ya Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu ya England.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KOTO TOURE ATUNDIKA DARUGA MECHI ZA IVORY COAST

Mchezaji Koto Toure anayekipiga Uingereza na timu ya Liverpool ambaye siku ya Jumapili aliisaidia timu yake ya Taifa kuchukua ubingwa wa Afrika Cup of Nation baada ya kuifungia timu hiyo moja ya mkwaju wa penati baada ya timu hiyo ya Ivory Coast na Ghana kutoka suluhu ndani ya dakika 120 na baadae kupigiana penati 11 katika mechi ya fainali. Koto Toure ametangaza rasmi mechi hiyo ndio ilikua ya mwisho kuchezea Ivory Coast na sasa anapisha wachezaji vijana kuendelea kuchukua nafasi yake na...

 

10 years ago

TheCitizen

Henderson wants to emulate Gerrard

Liverpool’s England midfielder Jordan Henderson believes “there will never be another Steven Gerrard”, but he is determined to ensure that his club-mate’s legacy lives on through his own performances.

 

9 years ago

Mwananchi

Gerrard arudi Liverpool

Steven Gerrard amezungumza na Jurgen Klopp kujadili uwezekano wa wa kurudi kuichezea Liverpool wakati wa mapumziko ya Ligi Kuu Marekani (MLS).

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard akaribishwa LA

Mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Kobe Brayant amemtumia ujumbe nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard

 

10 years ago

BBCSwahili

Gerrard:Hatujazozana na Kocha

Nahodha wa kilabu ya Liverpool Steven Gerad amepinga kuwepo kwa mzozano wowote kati yake na mkufunzi wa timu hiyo

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Rodgers:Hakuna kama Gerrard





KOCHA wa Mkuu wa Liverpool, Brendan Rodgers, amesema hakuna mchezaji anayeweza kuchukua nafasi ya nahodha Steven Gerrard.Rodgers alisema kuondoka kwa Gerrard katika kikosi hicho ni pengo kubwa kwa kuwa nahodha huyo alikuwa hodari na mtu aliyejituma.Kocha huyo alisema mchezaji huyo alikuwa ni moja ya wachezaji ambao wameisaidia Liverpool kupata mafanikio makubwa."Kuna wachezaji wengi na wazuri England, lakini  Liverpool haiwezi kupata mchezaji mzuri kama Gerrard ambaye hawezi kufananishwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard Kufanyiwa vipimo

Nahodha wa Liverpool Steven Gerrard kufanyiwa vipimo vya kuchunguza jeraha la nyama za paja alilolipata.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani