GERRARD KUTUNDIKA DARUGA
Nahodha wa timu ya Taifa ya England, Steven Gerrard amesema atastaafu kuichezea nchi hiyo baada ya kumalizika kwa fainali za Kombe la Dunia zinazoanza mwezi ujao nchini Brazil. Gerrard mwenye umri wa miaka 33 pia ni nahodha wa timu ya Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu ya England.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Feb
KOTO TOURE ATUNDIKA DARUGA MECHI ZA IVORY COAST
![](https://lh3.googleusercontent.com/-FqJVOem5U84/VNfimEM_jcI/AAAAAAABRKg/sxCPZyeXgjQ/w1266-h879-no/450109783.jpg)
11 years ago
Michuzi12 Mar
10 years ago
TheCitizen30 Mar
Henderson wants to emulate Gerrard
Liverpool’s England midfielder Jordan Henderson believes “there will never be another Steven Gerrardâ€, but he is determined to ensure that his club-mate’s legacy lives on through his own performances.
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Gerrard arudi Liverpool
Steven Gerrard amezungumza na Jurgen Klopp kujadili uwezekano wa wa kurudi kuichezea Liverpool wakati wa mapumziko ya Ligi Kuu Marekani (MLS).
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Steven Gerrard akaribishwa LA
Mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Kobe Brayant amemtumia ujumbe nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
Gerrard:Hatujazozana na Kocha
Nahodha wa kilabu ya Liverpool Steven Gerad amepinga kuwepo kwa mzozano wowote kati yake na mkufunzi wa timu hiyo
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-VockhVywqyk/VVii_KLDtdI/AAAAAAAACG8/6rztfePEkQA/s72-c/gerrard.jpg)
Rodgers:Hakuna kama Gerrard
![](http://2.bp.blogspot.com/-VockhVywqyk/VVii_KLDtdI/AAAAAAAACG8/6rztfePEkQA/s400/gerrard.jpg)
KOCHA wa Mkuu wa Liverpool, Brendan Rodgers, amesema hakuna mchezaji anayeweza kuchukua nafasi ya nahodha Steven Gerrard.Rodgers alisema kuondoka kwa Gerrard katika kikosi hicho ni pengo kubwa kwa kuwa nahodha huyo alikuwa hodari na mtu aliyejituma.Kocha huyo alisema mchezaji huyo alikuwa ni moja ya wachezaji ambao wameisaidia Liverpool kupata mafanikio makubwa."Kuna wachezaji wengi na wazuri England, lakini Liverpool haiwezi kupata mchezaji mzuri kama Gerrard ambaye hawezi kufananishwa na...
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Steven Gerrard Kufanyiwa vipimo
Nahodha wa Liverpool Steven Gerrard kufanyiwa vipimo vya kuchunguza jeraha la nyama za paja alilolipata.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania