Gerrard:Hatujazozana na Kocha
Nahodha wa kilabu ya Liverpool Steven Gerad amepinga kuwepo kwa mzozano wowote kati yake na mkufunzi wa timu hiyo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...
10 years ago
TheCitizen30 Mar
Henderson wants to emulate Gerrard
Liverpool’s England midfielder Jordan Henderson believes “there will never be another Steven Gerrardâ€, but he is determined to ensure that his club-mate’s legacy lives on through his own performances.
11 years ago
GPLGERRARD KUTUNDIKA DARUGA
Nahodha wa timu ya Taifa ya England, Steven Gerrard amesema atastaafu kuichezea nchi hiyo baada ya kumalizika kwa fainali za Kombe la Dunia zinazoanza mwezi ujao nchini Brazil. Gerrard mwenye umri wa miaka 33 pia ni nahodha wa timu ya Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu ya England.
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Steven Gerrard akaribishwa LA
Mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Kobe Brayant amemtumia ujumbe nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Gerrard arudi Liverpool
Steven Gerrard amezungumza na Jurgen Klopp kujadili uwezekano wa wa kurudi kuichezea Liverpool wakati wa mapumziko ya Ligi Kuu Marekani (MLS).
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Steven Gerrard aibeba Liverpool FA
Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard ameibuka shujaa baada ya kufunga mabao 2-1 dhidi ya Wimbledon katika mchezo FA
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Steve Gerrard:Arsenal haitatushinda
Nahodha wa kilabu ya Liverpool Steve Gerrard anasema kuwa hatokubali kushindwa na Arsenal wikendi hii.
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Steven Gerrard astaafu soka
Nahodha wa England na Liverpool Steven Gerrard ametundika daruga akiwa na miaka 34
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
B.Rodgers:Wacheni kumtegemea Gerrard
Mkufunzi wa Liverpool Brenda Rodgers amewaonya wachezaji wake dhidi ya kumtegemea nahodha wa timu hiyo Steven Gerrard kila mechi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania