Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Steve Gerrard:Arsenal haitatushinda

Nahodha wa kilabu ya Liverpool Steve Gerrard anasema kuwa hatokubali kushindwa na Arsenal wikendi hii.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Mirror Online

Tottenham set to turn to Arsenal legend Steve Morrow in search for new academy chief

Tottenham set to turn to Arsenal legend Steve Morrow in search for new academy chief  Mirror OnlineView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

STEVE RNB ATANGAZA NDOA, BARNABA AMTOLEA MAHARI MAMA STEVE

Stori: Musa Mateja
MSANII wa Bongo Fleva, Steven William ‘RnB’ juzikati aliweka wazi kuwa anatarajia kuoa Oktoba 11, mwaka huu huku mwanamuziki mwenzake Elias Barnaba akieleza kuwa amemtolea mahari mzazi mwenzake, mama Steve na siku si nyingi atafunga ndoa. Msanii wa Bongo Fleva, Elias Barnaba. Wakizungumza na Ijumaa kwa nyakati tofauti, wasanii hao kila mmoja ameonesha dhamira ya kuishi katika njia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard akaribishwa LA

Mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Kobe Brayant amemtumia ujumbe nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard

 

9 years ago

Mwananchi

Gerrard arudi Liverpool

Steven Gerrard amezungumza na Jurgen Klopp kujadili uwezekano wa wa kurudi kuichezea Liverpool wakati wa mapumziko ya Ligi Kuu Marekani (MLS).

 

10 years ago

BBCSwahili

Gerrard:Hatujazozana na Kocha

Nahodha wa kilabu ya Liverpool Steven Gerad amepinga kuwepo kwa mzozano wowote kati yake na mkufunzi wa timu hiyo

 

10 years ago

TheCitizen

Henderson wants to emulate Gerrard

Liverpool’s England midfielder Jordan Henderson believes “there will never be another Steven Gerrard”, but he is determined to ensure that his club-mate’s legacy lives on through his own performances.

 

11 years ago

GPL

GERRARD KUTUNDIKA DARUGA

Nahodha wa timu ya Taifa ya England, Steven Gerrard amesema atastaafu kuichezea nchi hiyo baada ya kumalizika kwa fainali za Kombe la Dunia zinazoanza mwezi ujao nchini Brazil. Gerrard mwenye umri wa miaka 33 pia ni nahodha wa timu ya Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu ya England.

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard kuihama Liverpool

Mchezaji kipenzi wa timu ya Liverpool ya ligi kuu ya England anatarajiwa kuachana na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Gerrard apanga kurejea Liverpool

Nahodha wa zamani wa Liverpool Steven Gerrard anapanga kurejea katika klabu hiyo kama mkufunzi atakapoacha kucheza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani