Steve Gerrard:Arsenal haitatushinda
Nahodha wa kilabu ya Liverpool Steve Gerrard anasema kuwa hatokubali kushindwa na Arsenal wikendi hii.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Mirror Online10 Apr
Tottenham set to turn to Arsenal legend Steve Morrow in search for new academy chief
Tottenham set to turn to Arsenal legend Steve Morrow in search for new academy chief Mirror OnlineView Full coverage on Google News
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*enHWvp6vZaaVhmQg7aqUcz3PkIU5uYb4e9cGJsPt5EiTFGNibC5s6k4ca8VdhnDljk3q6iqE5uG5-b0fmSjUDrw/barnaba.jpg)
STEVE RNB ATANGAZA NDOA, BARNABA AMTOLEA MAHARI MAMA STEVE
Stori: Musa Mateja
MSANII wa Bongo Fleva, Steven William ‘RnB’ juzikati aliweka wazi kuwa anatarajia kuoa Oktoba 11, mwaka huu huku mwanamuziki mwenzake Elias Barnaba akieleza kuwa amemtolea mahari mzazi mwenzake, mama Steve na siku si nyingi atafunga ndoa. Msanii wa Bongo Fleva, Elias Barnaba. Wakizungumza na Ijumaa kwa nyakati tofauti, wasanii hao kila mmoja ameonesha dhamira ya kuishi katika njia...
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Steven Gerrard akaribishwa LA
Mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Kobe Brayant amemtumia ujumbe nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Gerrard arudi Liverpool
Steven Gerrard amezungumza na Jurgen Klopp kujadili uwezekano wa wa kurudi kuichezea Liverpool wakati wa mapumziko ya Ligi Kuu Marekani (MLS).
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
Gerrard:Hatujazozana na Kocha
Nahodha wa kilabu ya Liverpool Steven Gerad amepinga kuwepo kwa mzozano wowote kati yake na mkufunzi wa timu hiyo
10 years ago
TheCitizen30 Mar
Henderson wants to emulate Gerrard
Liverpool’s England midfielder Jordan Henderson believes “there will never be another Steven Gerrardâ€, but he is determined to ensure that his club-mate’s legacy lives on through his own performances.
11 years ago
GPLGERRARD KUTUNDIKA DARUGA
Nahodha wa timu ya Taifa ya England, Steven Gerrard amesema atastaafu kuichezea nchi hiyo baada ya kumalizika kwa fainali za Kombe la Dunia zinazoanza mwezi ujao nchini Brazil. Gerrard mwenye umri wa miaka 33 pia ni nahodha wa timu ya Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu ya England.
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Steven Gerrard kuihama Liverpool
Mchezaji kipenzi wa timu ya Liverpool ya ligi kuu ya England anatarajiwa kuachana na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Gerrard apanga kurejea Liverpool
Nahodha wa zamani wa Liverpool Steven Gerrard anapanga kurejea katika klabu hiyo kama mkufunzi atakapoacha kucheza.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania