Gharama za kitambi ni sawa na za uvutaji
Imeripotiwa kuwa gharama za kulea kitambi ni sawa na uvutaji sigara, unasema utafiti uliofanyika kuhusu afya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Jul
NesiWangu: JE UVUTAJI WA SIGARA NI SAWA NA UNYWAJI SUMU TARAT...
Bofya ......
NesiWangu: JE UVUTAJI WA SIGARA NI SAWA NA UNYWAJI SUMU TARAT...: NINI TOFAUTI KATI YA MAPAFU YA MVUTA SIGARA NA ASIE MVUTA SIGARA Uvutaji wa sigara na ma...
NesiWangu: JE UVUTAJI WA SIGARA NI SAWA NA UNYWAJI SUMU TARAT...: NINI TOFAUTI KATI YA MAPAFU YA MVUTA SIGARA NA ASIE MVUTA SIGARA Uvutaji wa sigara na ma...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AeUgs9mNexw/VYGjNLwsONI/AAAAAAAAC7I/n2WABUSkPFk/s72-c/kitambi.jpg)
FAHAMU JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI DAWA ASILIA YA MKATAA KITAMBI INAVYO ONDOA KITAMBI
![](http://4.bp.blogspot.com/-AeUgs9mNexw/VYGjNLwsONI/AAAAAAAAC7I/n2WABUSkPFk/s640/kitambi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtimGFeM6Ac/VYGjaqQ6mzI/AAAAAAAAC7Q/JFI22eEQnAA/s640/neemaherbalist.jpg)
Kwa upande wa wanaume seli hizo...
10 years ago
Bongo527 Dec
Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo
Wiki moja baada ya video ya Alikiba ‘Mwana’ iliyofanyiika Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather, itoke, kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video hiyo. Baadhi yao wameonekana kuifurahia na wengine wameonekana kutoridhishwa na baadhi ya vitu. Baadhi ya waliotoa maoni wamesema kuwa walitegemea kuona video yenye script inayoendana na maudhui ya wimbo ili kumuwezesha hata […]
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Mazoezi ya kuondoa kitambi
Kutokuwa na kitambi ndio ndoto ya watu wengi kwa sasa wanaojali afya zao. Kutokana na kufumka kwa maradhi mbalimbali baadhi ya watu wamekuwa wakihangaika kutafuta njia rahisi za kupunguza ama kuondoa vitambi hivyo na uzito uliopitiliza.
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Marufuku uvutaji sigara China
Serikali ya China imepiga marufuku uvutaji wa sigara katika mji mkuu Beijing
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/aunt1.jpg?width=650)
MREMBO AMTIBU AUNT KITAMBI
Imelda mtema MREMBO aliyejulikana kwa jina la Fatina Deus, ‘Fettylicious’ amesema amempa bure tiba ya kitambi staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ili kumuondolea kero aliyokuwa akiipata. Akipiga stori na gazeti hili, Fettylicious alisema miongoni mwa watu waliokuwa wakisumbuka na tatizo la kuwa na kitambi ni Aunt lakini kwa kuwa yeye lengo lake ni kuwasaidia mastaa wengi, amempa Aunt bure dawa hiyo ili wengine wamtafute....
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Zijue athari za uvutaji sigara
Miongoni mwa athari za tumbaku ni saratani ya koo na mapafu, kuziba kwa mishipa midogo ya damu, kupungua nguvu za kiume, kuwa na ukurutu, saratani ya kizazi, mimba kuharibika, vidonda vya tumbo na matatizo ya kusikia.
Athari nyingine ni vidole, meno na mdomo kubadilika rangi, ngozi kukunjamana, matatizo ya mapafu, mifupa na moyo.
Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa karibu watu milioni sita hufa duniani kila mwaka kutokana na athari za matumizi ya tumbaku.
Kati ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjalui0s*XROUQR38itcuajrux91d2DZ30A3nljpk1ufk0I2vwgsZrZM7SmlCL-5mQrmWyKgvsahdUn71F89bwJA/stomachbacteria.jpg)
KITAMBI KINAVYOWEZA KUSABABISHA MAGONJWA -2
LEO tunaendelea kuelezea madhara ya kitambi na tutafafanua jinsi mafuta yanavyozidi mwilini na kuathiri ini pia tutaeleza tiba yake, endelea: Utambuzi wa steatosisi hufanywa wakati mafuta yaliyo kwenye ini yanazidi asilimia 5 hadi 10 kwa uzito.
Kuwa na mafuta kwenye ini ni tatizo au linaweza kuchukuliwa kama ugonjwa mmoja ambao hutokea kwa wale hasa wanaokunywa pombe kupita kiasi. Tatizo hili licha ya kusababisha unene pia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania