Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLOBAL FC YAIBAMIZA USHINDI SC 4-3

Kikosi cha timu ya Global FC kikiwa katika picha ya pamoja. Timu ya Ushindi SC ya Mikocheni katika picha ya pamoja.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DMV YAIBAMIZA VITAMBI 3-2

Timu ya Tanzania DMV siku ya Jumamosi Aug 22, 2015 ilicheza mechi ya kujipima nguvu ya kirafiki iliyochezwa Meadowbrook park. Wachezaji walioipatia ushindi Tanzania DMV alikua Saidi Mwamende, Peter Kuringe na Seif Ndossa. Timu ya Kenya VitambiTimu ya Tanzania DMVKwa picha zaidi bofya soma zaidi


 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yaibamiza Zimbabwe 1 - 0

Tanzania imeanza vizuri mechi ya awali ya kuania kufuzu kombe la mataifa la Afrika baada ya kufunga Zimbabwe 1 - 0.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yaibamiza Aston Villa 3 - 0

Arsenal jumapili wameisambaratisha Aston Villa kwa jumla ya magoli 3 - 0 katika mechi ya Ligi Kuu ya England.

 

10 years ago

BBCSwahili

Equitorial Guinea yaibamiza Tunisia

Equitorial Guinea iliishinda Tunisia katika mazingira ya kutatanisha ili kufika katika semi fainali ya kombe la mataifa ya Afrika.

 

11 years ago

GPL

Mbeya City yaibamiza Prisons

Baadhi ya wachezaji wa Mbeya City wakishangilia ushindi. Na Sophia Mwaipyana, Mbeya
VIJANA wa Mbeya City wameendelea kuonyesha kuwa wapo kikazi zaidi msimu huu baada ya kutoa kipigo cha bao 1-0 kwa wapinzani wao wa mji mmoja, Tanzania Prisons katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, jana. Mbeya City ambayo imefikisha pointi 45, ilipata bao lake kupitia kwa Paul Nonga katika… ...

 

11 years ago

GPL

IVORY COAST YAUA, YAIBAMIZA JAPAN 2-1

Mshumbuliaji wa Ivory Coast, Gervinho (kushoto) akishangilia bao lake na Didier Drogba. Keisuke Honda akiifungia Japan bao lao dakika ya 16.…

 

10 years ago

Vijimambo

AZAM FC YAIBAMIZA EL MERREIKH YA SUDAN 2-0 KOMBE LA MABINGWA AFRIKA

Kikosi cha El Merreikh Kikosi cha Azam leoMshambuliaji wa El Merreikh Babeker Bakri (kulia) akimtoka beki wa Azam Aggrey MorrisJohn Bocco akishangilia bao la pili la Azam

 

11 years ago

Michuzi

BIASHARA UNITED MUSOMA YAIBAMIZA POLISI VETERAN YA MUSOMA MABAO 2-0

Timu ya soka ya Biashara United ya mjini Musoma Mkoani Mara (pichani) inayojiandaa kwa  mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya soka ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mwishoni mwa wiki imewabamizia Timu ya Polisi Veteran ya Mjini Musoma mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika katika uwanja wa Kumbukumbu ya Karume mjini Shinyanga.Mchezo huo ambao ulikuwa na kila aina ya ufundi kutoka kwa wachezaji wa timu zote kipindi cha kwanza kilimalizika baada ya timu hizo kutosha nguvu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani