Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DMV YAIBAMIZA VITAMBI 3-2

Timu ya Tanzania DMV siku ya Jumamosi Aug 22, 2015 ilicheza mechi ya kujipima nguvu ya kirafiki iliyochezwa Meadowbrook park. Wachezaji walioipatia ushindi Tanzania DMV alikua Saidi Mwamende, Peter Kuringe na Seif Ndossa. Timu ya Kenya VitambiTimu ya Tanzania DMVKwa picha zaidi bofya soma zaidi


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

STARS UNITED KUCHEZA NA VITAMBI FC MAY 30

Stars UnitedVitambi FC
Timu ya Stars United itacheza mechi ya kujipima nguvu na Vitambi FC siku ya Jumamosi May 30, 2015 katika uwanja wa Heurich anuani ni 6001 Ager Road, Hyattsville, MD 20781. Mechi ni ya maandalizi ya Vijimambo Soccer Tournament itakayofanyika Labor Day Weekend.
Stars United inatarajiwa kuelekea Atlanta, Georgia June 27, 2015 kucheza na Eritrea katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya ligi ndogo itakayofanyika DMV.
Mechi ya Vitambi FC itachezwa saa 9 kamili alasili siku...

 

10 years ago

Vijimambo

VITAMBI FC YAIFUNGA STARS UNITED 3-1


Satars United
Vitambi FC
 Nahodha wa timu ya Vitambi FC David (kushoto) akisalimiana na nahodha wa Stars United Dulla Ni hatari mpira golini kwa Vitambi FC. Mechi ikiendelea
 Mchezaji wa Vitambi FC akikkokota mpira kujaribu kuipita ngome ya Stars United Mchezaji Emmanuel wa Stars United akipiga pasi kwa mchezaji mwenzake Kheri Yahya huku mchezaji wa Vitambi FC akiangalia wasije wakaleta madhara. Mchezaji More akimiliki mpira. Mechi ilikua ya ushindani sana  Mchezaji Shabani akitoka nje baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Vitambi vyote Uwanja wa Jamhuri

Kila alfajiri ukifika katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma, huwezi kuwakosa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba uwanjani hapo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yaibamiza Zimbabwe 1 - 0

Tanzania imeanza vizuri mechi ya awali ya kuania kufuzu kombe la mataifa la Afrika baada ya kufunga Zimbabwe 1 - 0.

 

10 years ago

GPL

GLOBAL FC YAIBAMIZA USHINDI SC 4-3

Kikosi cha timu ya Global FC kikiwa katika picha ya pamoja. Timu ya Ushindi SC ya Mikocheni katika picha ya pamoja.…

 

11 years ago

Habarileo

NHIF yasisitiza mazoezi kuondoa vitambi

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeshauri wanachama wake na wananchi kwa ujumla kujenga mazoea endelevu ya kupima afya zao na kushiriki kufanya mazoezi ya mwili mara kwa mara ili kupunguza uzito usioendana na urefu pamoja na maumbile ya mwili na kuepuka kuwa na vitambi.

 

11 years ago

GPL

Mbeya City yaibamiza Prisons

Baadhi ya wachezaji wa Mbeya City wakishangilia ushindi. Na Sophia Mwaipyana, Mbeya
VIJANA wa Mbeya City wameendelea kuonyesha kuwa wapo kikazi zaidi msimu huu baada ya kutoa kipigo cha bao 1-0 kwa wapinzani wao wa mji mmoja, Tanzania Prisons katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, jana. Mbeya City ambayo imefikisha pointi 45, ilipata bao lake kupitia kwa Paul Nonga katika… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yaibamiza Aston Villa 3 - 0

Arsenal jumapili wameisambaratisha Aston Villa kwa jumla ya magoli 3 - 0 katika mechi ya Ligi Kuu ya England.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani