Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHIF yasisitiza mazoezi kuondoa vitambi

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeshauri wanachama wake na wananchi kwa ujumla kujenga mazoea endelevu ya kupima afya zao na kushiriki kufanya mazoezi ya mwili mara kwa mara ili kupunguza uzito usioendana na urefu pamoja na maumbile ya mwili na kuepuka kuwa na vitambi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mazoezi ya kuondoa kitambi

Kutokuwa na kitambi ndio ndoto ya watu wengi kwa sasa wanaojali afya zao. Kutokana na kufumka kwa maradhi mbalimbali baadhi ya watu wamekuwa wakihangaika kutafuta njia rahisi za kupunguza ama kuondoa vitambi hivyo na uzito uliopitiliza.

 

10 years ago

Vijimambo

DMV YAIBAMIZA VITAMBI 3-2

Timu ya Tanzania DMV siku ya Jumamosi Aug 22, 2015 ilicheza mechi ya kujipima nguvu ya kirafiki iliyochezwa Meadowbrook park. Wachezaji walioipatia ushindi Tanzania DMV alikua Saidi Mwamende, Peter Kuringe na Seif Ndossa. Timu ya Kenya VitambiTimu ya Tanzania DMVKwa picha zaidi bofya soma zaidi


 

11 years ago

Mwananchi

Vitambi vyote Uwanja wa Jamhuri

Kila alfajiri ukifika katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma, huwezi kuwakosa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba uwanjani hapo.

 

10 years ago

Vijimambo

VITAMBI FC YAIFUNGA STARS UNITED 3-1


Satars United
Vitambi FC
 Nahodha wa timu ya Vitambi FC David (kushoto) akisalimiana na nahodha wa Stars United Dulla Ni hatari mpira golini kwa Vitambi FC. Mechi ikiendelea
 Mchezaji wa Vitambi FC akikkokota mpira kujaribu kuipita ngome ya Stars United Mchezaji Emmanuel wa Stars United akipiga pasi kwa mchezaji mwenzake Kheri Yahya huku mchezaji wa Vitambi FC akiangalia wasije wakaleta madhara. Mchezaji More akimiliki mpira. Mechi ilikua ya ushindani sana  Mchezaji Shabani akitoka nje baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

STARS UNITED KUCHEZA NA VITAMBI FC MAY 30

Stars UnitedVitambi FC
Timu ya Stars United itacheza mechi ya kujipima nguvu na Vitambi FC siku ya Jumamosi May 30, 2015 katika uwanja wa Heurich anuani ni 6001 Ager Road, Hyattsville, MD 20781. Mechi ni ya maandalizi ya Vijimambo Soccer Tournament itakayofanyika Labor Day Weekend.
Stars United inatarajiwa kuelekea Atlanta, Georgia June 27, 2015 kucheza na Eritrea katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya ligi ndogo itakayofanyika DMV.
Mechi ya Vitambi FC itachezwa saa 9 kamili alasili siku...

 

11 years ago

Bongo Movies

Irene Uwoya: Sipendi Wanaume Wanene au Wenye vitambi maana ni wachovu Kitandani

Star wa filamu za  kibongo, Irene Uwoya anadaiwa hana mzuka kabisa wa kutoka kimapenzi  na wanaume wanene au wenye vitambi kwa madai si lolote kitandani wanaishia kuhema hema tu.
Inadaiwa kuwa Uwoya anapenda wanaume wasio wanene, wenye miili ya kimazoezi na wasio na vitambi kwa madai wako vizuri sana kunako sita kwa sita na mwenyewe huvutiwa nao sana. Chanzo kimoja kutoka kambi ya Uwoya kikizungumza jana kilisema:
  
“Wanaume wengi wakiwemo wenye pesa zao wamekuwa wakimsumbua Uwoya , yeye...

 

9 years ago

MillardAyo

Jipu la pesa Uswisi? bomoabomoa Dar? wanawake na makalio makubwa, vitambi? #StoriKUBWA.. (+Audio)

Nakupa baadhi ya headlines zilizoguswa na Uchambuzi wa stori za Magazetini January 4 2016 mtu wangu… Mbunge Zitto Kabwe ampa jipu jingine Rais Magufuli, ni la walioweka fedha Uswisi. Bomoabomoa yadaiwa kumhujumu Rais Magufuli, baadhi ya watumishi waendesha zoezi hilo kumfanya achukiwe na waliomchagua Oktoba 2015… Matukio ya ujambazi unaofanywa kwa wateja wanaotoa pesa Benki yatia […]

The post Jipu la pesa Uswisi? bomoabomoa Dar? wanawake na makalio makubwa, vitambi? #StoriKUBWA.. (+Audio)...

 

5 years ago

Michuzi

Zainab -ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio kujiepusha na vitambi










NA MWAMVUA MWINYI,CHALINZE



OFISA Lishe wa halmashauri ya Chalinze,mkoani Pwani, Zainab Waziri ,ametoa rai kwa jamii kuacha kula ovyo bila mpangilio na kuzingatia lishe bora kwa afya ya binadamu ili kujiepusha kupata uzito mkubwa, vitambi na matumbo makubwa kwa akinamama.

Akizungumza wakati wa zoezi la upimaji uzito wa mwili,sukari ,shinikizo la damu na upimaji wa hali ya lishe, kwa watumishi wa halmashauri hiyo ,alisema wameamua kufanya zoezi hilo ikiwa ni maazimio ya kikao cha kamati ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uingereza yasisitiza Miraa ni haramu

Uingereza imesistiza kwa marufuku iliyowekewa mmea wa Miraa itaanza kutekelezwa tarehe 24 mwezi Juni

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani