GLOBAL PUBLISHERS YATOA MSAADA WA AMBULANCE BUPANDWA MHELA MKOANI MWANZA
![](http://api.ning.com:80/files/OyRBKp4pk3QDJMV2VEV850V8ZcqubpaIAfljKybwIOQsyEKhPnoaREiu0zrBdvkTWAhE70IkCm3IXvERzVa7K-trRugQUUzf/MSAADA1.jpg?width=650)
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers Ltd wachapishaji wa magazeti ya Championi, Risasi, Ijumaa, Amani, Uwazi na Ijumaa Wikienda, Eric Shigongo, jana alikabidhi gari la kubebea wagonjwa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSUZAN PETER ACHANGIWA MSAADA WA BIASHARA NA WAFANYAKAZI GLOBAL PUBLISHERS
Mhariri Mtendaji wa Global Publishers Limited, Richard Manyota, akimkabidhi mtoto Peter Hassan ‘harambee’ ya wafanyakazi wa Global Publishers.
Mtoto Peter akiwa ameshika fedha baada ya kukabidhiwa na Manyota. Pembeni ni Susan Peter…
11 years ago
GPLMAWAKALA WA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS WAFANYIWA TAMASHA LA MICHEZO MWANZA
Wauza magazeti wanawake mkoani Mwanza wakichuana katika mbio za magunia. Wauza magazeti wanaume wakimaliza mbio za magunia.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX5HO9vTVfrMrcWcmp6*9nQmipT0iBM5k9GMnm3wlT1BZCzCSJaDsWCwsbCoCmPGwMZ2KkrRFlqjj5ZMtIsUHhte/AfisaUtawalaBw.SoudKiveapamojanamkuuwaIdarayaUsambazajibw.LawrenceKabendewakimkabidhiZawadiyash.lakitanobw.DeoDanielmwenyekit.jpg)
GLOBAL PUBLISHERS YATOA ZAWADI KWA CHAMA CHA WAUZA MAGAZETI
Mkuu wa Idara ya Usambazaji na Masoko Global Publishers Bw.Lawrence Kabende (wa pili kulia) akimkabidhi zawadi ya kitita cha shilingi laki tano Mwenyekiti wa Chama cha wauza magazeti cha jijini Dar es…
10 years ago
GPLGLOBAL PUBLISHERS LTD YATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA SIKUKUU YA KRISMASI
Ofisa Utawala wa Global Publishers Ltd, Soud Kivea akimkabidhi fedha mlezi wa Al Madina, Kuruthumu Yusuf.
Dereva wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eladius Banzi akishusha sehemu ya misaada hiyo.…
11 years ago
GPLGLOBAL PUBLISHERS LTD YAMWAGA MEZA KWA WAUZAJI WA MAGAZETI YAKE JIJINI MWANZA
Meza za wauzaji wa Magazeti ya Kampuni ya Global Publishers Ltd jijini Mwanza. KAMPUNI ya Global Publishers & General Enterprises Ltd wachapishaji wa Magazeti ya Championi, Uwazi, Amani, Risasi, Ijumaa na Ijumaa Wikienda wametoa meza kibao kwa wauzaji wa magazeti yao mkoani Mwanza ikiwa ni njia mojawapo ya kuwaboreshea mazingira ya kufanyia… ...
10 years ago
GPLMFANYAKAZI WA GLOBAL PUBLISHERS ALIVYOSHIRIKI MASHINDANO YA SERENGETI MARATHON MKOANI SIMIYU
Mfanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Jimmy Haroub (wa kwanza kushoto) baada ya kumaliza mbio za kilomita 21 za Serengeti Marathon mkoani Simiyu hivi karibuni.…
9 years ago
Michuzi12 Dec
Mpiganaji Haruni Sanchawa wa Global Publishers aagwa Dar, kuzikwa Serengeti Mkoani Mara
MWANDISHI wa habari wa Global Publishers Ltd, Haruni Sanchawa, aliyefariki dunia Desemba 9 mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar, ameagwa leo nyumbani kwa mjomba wake Kitunda jijini Dar es Salaam na kusafirishwa kuelekea Mugumu-Serengeti, mkoani Mara, ambapo atazikwa kijiji cha Lemungololi.
Sanchawa alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo, alifariki saa chache baada kuhamishiwa katika hospitali hiyo baada ya kupewa rufaa kutoka Hospitali ya Amana alipokuwa amelazwa kwa siku...
Sanchawa alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo, alifariki saa chache baada kuhamishiwa katika hospitali hiyo baada ya kupewa rufaa kutoka Hospitali ya Amana alipokuwa amelazwa kwa siku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4z3pbuzUQt0oHKfb0w1OmsfqNKYIVT6qtl4YifhLNGLZKqEZJ6380XNIdCKoCzy936ylWLayo-7PkhSAKgcCIcP/AMANA.jpg?width=650)
GLOBAL YATOA MSAADA HOSPITALI YA AMANA
Ofisa Masoko wa Global Publishers Ltd, Benjamin Mwanambuu (kushoto) akikabidhi hundi kwa Ofisa Usimamizi wa Ubora wa Hospitali ya Amana, Lucy Mbusi (kulia). Katikati anayeshuhudia ni Ofisa wa Teknolojia ya Habari  wa hospitali hiyo, Lucas Mjema. (Picha na Richard Bukos / GPL)
10 years ago
GPLGLOBAL YATOA MSAADA KWENYE KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHAKWAMA
Katibu Mtendaji wa CHAKWAMA, Hassan Khamis akimuelezea jambo Ofisa Utawala wa Global Sudi Kivea. Mhasisi wa CHAKWAMA, Bi Saida Hassan akiongea na Ofisa Sudi Kuvea.
Watoto Yatima…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania