Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFANYAKAZI WA GLOBAL PUBLISHERS ALIVYOSHIRIKI MASHINDANO YA SERENGETI MARATHON MKOANI SIMIYU

Mfanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Jimmy Haroub (wa kwanza kushoto) baada ya kumaliza mbio za kilomita 21 za Serengeti Marathon mkoani Simiyu hivi karibuni.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Mpiganaji Haruni Sanchawa wa Global Publishers aagwa Dar, kuzikwa Serengeti Mkoani Mara

MWANDISHI wa habari wa Global Publishers Ltd, Haruni Sanchawa, aliyefariki dunia Desemba 9 mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar, ameagwa leo nyumbani kwa mjomba wake Kitunda jijini Dar es Salaam na kusafirishwa kuelekea Mugumu-Serengeti, mkoani Mara, ambapo atazikwa kijiji cha Lemungololi.
Sanchawa alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya tumbo, alifariki saa chache baada kuhamishiwa katika hospitali hiyo baada ya kupewa rufaa kutoka Hospitali ya Amana alipokuwa amelazwa kwa siku...

 

11 years ago

GPL

MFANYAKAZI WA GLOBAL KUSHIRIKI MARATHON KESHO

Mfanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers, Jimmy Haroub. Na Ibrahim Mussa
MFANYAKAZI wa Kampuni ya Global Publishers, Jimmy Haroub anatarajiwa kushiriki katika mbio za Sokoine Marathon zitakazofanyika Monduli mkoani Arusha, kesho Jumamosi. Jimmy ambaye ni mmoja wa wanamichezo wenye uwezo mkubwa ndani ya kampuni hiyo, amesema amejiandaa vizuri na yupo tayari kwa ushindani. Akizungumza na Championi Ijumaa, Jimmy alisema kuwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mfanyakazi wa Global, Haruni Sanchawa aagwa Dar, kuzikwa Serengeti-Mara

DSC_0941Marehemu Haruni Sanchawa enzi za uhai wake.1.Mke wa Marehemu, Adelina Haruni Sancha akiuagwa mwili pamoja na wanaye wawili.Mke wa Marehemu, Adelina Haruni Sancha akiuagwa mwili pamoja na wanaye wawili.2.Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (wa kwanza mbele ) akiwa na huzuni msibani hapo.Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (wa kwanza mbele ) akiwa na huzuni msibani hapo.3.Waombolezaji wakiwa msibani.Waombolezaji wakiwa msibani.4.Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigiongo (wa pili kulia) akiomboleza msibani hapo.Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigiongo (wa pili kulia) na wafanyakazi wa Global wakiomboleza msibani hapo.6.Baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers waomboleza.Baadhi ya wafanyakazi wa Global Publishers wakiomboleza.7.Huzuni ikiwa imetanda msibani hapo.Huzuni ikiwa imetanda msibani hapo.8.Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Haruni Sanchawa likishushwa Nyumbani kwa Mjombake Kitunda Dar kwa ajili ya kuagwa.Jeneza lenye mwili wa marehemu Haruni...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS YATOA MSAADA WA AMBULANCE BUPANDWA MHELA MKOANI MWANZA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers Ltd wachapishaji wa magazeti ya Championi, Risasi, Ijumaa, Amani, Uwazi na Ijumaa Wikienda, Eric Shigongo, jana alikabidhi gari la kubebea wagonjwa…

 

10 years ago

GPL

MAD ICE ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS, ALONGA NA GLOBAL TV ONLINE

Mad Ice akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo. Mad Ice akibadilishana mawazo na Mwandishi wa Global, Andrew  Carlos kabla ya mawasiliano.…

 

11 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS...

Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, imeanza mbio za kuutokomeza ugonjwa wa homa ya ini ambao kitaalamu unafahamika kama Hepatitis B. Mbio hizo, zitaambatana na uzinduzi wake kitaifa utakaofanyika Machi 7, mwaka huu, Hospitali ya Mkoa wa Kitabu Ilala, Amana, Dar es Salaam, mgeni rasmi akiwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric...

 

10 years ago

Vijimambo

MTANZANIA ALIESHIRIKI MASHINDANO YA NEW YORK MARATHON

  Kirimia Kilenga ni Mtanzania anaeshiriki mashindano ya New York Marathon na kufanikisha kumaliza mbio hizo ndefu na kisha kujipatia medal ya ushirikia, Kirimia mwenye makazi yake katika jiji la New York alifanikisha kumaliza mbio hizo zilizoshirikisha watu zaidi ya Mil 50. NYC Marathon ni maarufu duniani zinazofanyika kila mwaka katika jiji la New York kupitia miji tano ya ndani miji hiyo ujulikanayo kama 5 boroughs ambayo ni Brooklyn, Bronx, Queens, Manhattan, na Staten Island huku ...

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Habari yatoa kipigo kwa RAS Simiyu katika mashindano ya SHIMIWI

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Timu ya mpira wa miguu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kusonga mbele katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Watumishi wa Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yanayoendelea mjini Morogoro.
Wakicheza kwa kuonana timu hiyo ikiongozwa na Nahodha wao Carlos Mlinda walilisakama lango la wapinzani wao RAS Simiyu ambapo katika kipindi cha kwanza mcheza aliyevalia jezi yenye namba 11 Erick Mfugale aliwapatia goli la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani