MTANZANIA ALIESHIRIKI MASHINDANO YA NEW YORK MARATHON
![](http://4.bp.blogspot.com/-ntDeZH1j6pA/VF_pET6995I/AAAAAAAAqCk/0pQmY4mHei8/s72-c/553249_10152718595243159_8345749301274346649_n.jpg)
Kirimia Kilenga ni Mtanzania anaeshiriki mashindano ya New York Marathon na kufanikisha kumaliza mbio hizo ndefu na kisha kujipatia medal ya ushirikia, Kirimia mwenye makazi yake katika jiji la New York alifanikisha kumaliza mbio hizo zilizoshirikisha watu zaidi ya Mil 50. NYC Marathon ni maarufu duniani zinazofanyika kila mwaka katika jiji la New York kupitia miji tano ya ndani miji hiyo ujulikanayo kama 5 boroughs ambayo ni Brooklyn, Bronx, Queens, Manhattan, na Staten Island huku ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Mtanzania ang’ara Uhuru Marathon
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Wakenya watawala mbio za New York Marathon
10 years ago
Michuzi10 Mar
NSSF yang'ara mashindano ya mbio za Kilimanjaro marathon
NSSF ilishiriki ikiwa kama mdhamini wa mbio za KM 5 ambazo zilishirikisha washiriki zaidi ya 3500. Pamoja na udhamini huo NSSF ilipata nafasi ya kutoa elimu kwa wakazi mbalimbali wa Mkoa wa kilimanjaro walioshiriki na kutembelea kwenye banda lao.
![Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Cresentius Magori (wa tatu kulia) akishiriki kwenye mbio za Kilimanjaro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/web.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Mashindano ya Tigo Igombe Marathon yafana mjini Tabora
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Mashindano ya Tigo Kili Half Marathon yafana mjini Moshi
Kaimu Meneja wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Cecile Tiano (wa pili) kushoto, akiwa katika picha na baadhi ya viongozi wa kampuni hiyo kabla ya kuanza kwa mashindano ya Tigo Kili Half Marathon iliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ushirika Mjini Moshi.
Washindi wa mashindano ya Tigo Kili Marathon, kwa upande wa Wanawake, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, katika mashindano hayo yaliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chuo cha Ushirika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA-boczHD4*NExK*JZrmFozx1eVjX3tpJ6FglFjY-6OSo27GRQY-a3J1pfoj6pBaKAvu6CXfGxhI48538IYPSKGq/farah.jpg)
MO FARAH AZIRAI, MKENYA GEOFFREY MUTAI AKISHINDA MBIO ZA NEW YORK MARATHON
10 years ago
GPLMFANYAKAZI WA GLOBAL PUBLISHERS ALIVYOSHIRIKI MASHINDANO YA SERENGETI MARATHON MKOANI SIMIYU