Globu ya Jamii yajitosa kudhamini Miss Temeke 2014

Washiriki wa Shindano la Miss Temeke 2014,wakiwa kwenye picha ya pamoja kwenye kambi yao ya Mazoezi iliyoanza rasmi Agosti 3,katika viwanja vya Chang'ombe,Jijini Dar es Salaam.Globu ya Jamii kwa kushirikiama na Michuzi Media Group wamejitosa kudhamini Shindano hilo,ambapo watatoa zawadi nono kwa mrembo atakaeshita taji la Miss Photogenic.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI ZA WAREMBO HAO
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Tahariri ya Globu ya Jamii: Sakata la Miss Tanzania 2014 Sitti Abbasi Mtemvu lipatiwe muarobani

11 years ago
GPL
SITTI MTEMVU MISS TEMEKE 2014
11 years ago
Michuzi
nani kuibuika miss temeke 2014??

Jumla ya warembo 17 kutoka vitongoji vya Mbagala, Kurasini na Chang;ombe watapanda jukwaani kuwania taji hilo, huku washindi wa tatu watapata nafasi ya kushiriki shindano la Miss Tanzania mwaka 2014.
Akizungumza Dar es Salaa jana Mkurugenzi BMP Promotions, Benny Kisaka, alisema kuwa maandalizi ya shindano hilo...
11 years ago
GPL
WASHIRIKI WA MISS TEMEKE 2014 HAWA HAPA
11 years ago
GPL
FAINALI MISS TEMEKE 2014 KUFANYIKA AGOSTI 22
11 years ago
Michuzi
Mambo yapamba moto kuelekea fainali za Miss Temeke 2014




11 years ago
Michuzi
Miss Temeke 2014 apatikana usiku huu,TCC Club Chang'ombe jijini Dar


Miss Temeke 2014,Sitti Mtemvu akiwa ni mwenye tabasamu zito mara baada ya kutwaa taji hilo usiku huu.

11 years ago
Michuzi21 Jul
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Total Hair yajitosa Miss Ubungo
KAMPUNI ya Prima Total Hair imejitosa kudhamini shindano la Miss Ubungo 2014, linalotarajiwa kufanyika Land Mark Hotel, Ubungo jijini Dar es Salaam, Juni 13. Shindano hilo lilitanguliwa na shindano la...