Total Hair yajitosa Miss Ubungo
KAMPUNI ya Prima Total Hair imejitosa kudhamini shindano la Miss Ubungo 2014, linalotarajiwa kufanyika Land Mark Hotel, Ubungo jijini Dar es Salaam, Juni 13. Shindano hilo lilitanguliwa na shindano la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QSrit4cCMoY/U965CuTmE3I/AAAAAAAF8uQ/kddzLPq2WeQ/s72-c/1.jpg)
Globu ya Jamii yajitosa kudhamini Miss Temeke 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-QSrit4cCMoY/U965CuTmE3I/AAAAAAAF8uQ/kddzLPq2WeQ/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GUkA0yRpLng/U967_CBXDCI/AAAAAAAF8us/r_IAss0lmfE/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fEdcdqQmBGo/U967_A2AruI/AAAAAAAF8u0/xbB0byXtwGY/s1600/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jgD4_XaSdLs/U967_yhR-xI/AAAAAAAF8u4/Cpe7AIbu8Ec/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-faKmCKvfIpQ/U965Dagu-mI/AAAAAAAF8uY/O_3kW0beRF4/s1600/2.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI ZA WAREMBO HAO
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Tanzania yajitosa kutatua migogoro
9 years ago
Habarileo11 Oct
Tanapa yajitosa Tuzo za Taswa
MAMLAKA ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) ni miongoni mwa wadhamini wa Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania waliofanya vizuri zaidi katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete zinazotarajiwa kufanyika keshokutwa kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo03 Oct
Sputanza yajitosa kwa Nyosso
MWENYEKITI wa Chama cha Wanasoka Tanzania (SPUTANZA), Musa Kisoky amesema wanawasiliana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuona namna ya kumsaidia beki wa Mbeya City, Juma Said ‘Nyosso’ aliyefungiwa miaka miwili pamoja na faini ya Sh milioni mbili baada ya kumdhalilisha John Bocco wa Azam FC.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Aydin Logistics yajitosa Sabasaba
KAMPUNI ya Aydin Logistics inayojishughulisha na upakuaji mizigo bandarini na usambazaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi, imejitosa katika Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba). Aydin Logistics,...
11 years ago
Mwananchi15 May
WHO yajitosa dhidi homa ya dengue
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Ujerumani yajitosa Katiba mpya
![Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/balozi-ujerumani.jpg)
Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
UBALOZI wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani nchini umejitosa katika mjadala wa Bunge la Katiba mpya linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.
Pamoja na hali hiyo, Ujerumani imekanusha kuhusika kusaidia kikundi chochote nchini kinachojihusisha na masuala ya siasa, ikiwamo suala la Katiba.
Tamko kwa vyombo vya habari lililotolewa jana na Ofisa Mawasiliano wa Ubalozi wa Ujerumani, John Merikion, limesema Serikali ya...
11 years ago
Mwananchi22 Mar
IPTL yajitosa kusaidia vijana kiuchumi
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
TPSC yajitosa kutekeleza BRN kwa vitendo
ILI kuhakikisha wananchi wanahudumiwa vizuri, serikali ilianzisha mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambao taasisi mbalimbali za umma zinapaswa kuutekeleza na hatimaye wananchi wapate huduma zinazokidhi matarajio yao. Wizara na...