TPSC yajitosa kutekeleza BRN kwa vitendo
ILI kuhakikisha wananchi wanahudumiwa vizuri, serikali ilianzisha mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambao taasisi mbalimbali za umma zinapaswa kuutekeleza na hatimaye wananchi wapate huduma zinazokidhi matarajio yao. Wizara na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-snhW14_9834/VkrcKtuPrgI/AAAAAAAIGUM/by4cMH0m2WA/s72-c/IMG_6395.jpg)
TANZANIA YATAKA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA KUTEKELEZA KWA VITENDO DHANA YA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-snhW14_9834/VkrcKtuPrgI/AAAAAAAIGUM/by4cMH0m2WA/s640/IMG_6395.jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
#HapaKaziTu: Mbunge mteule wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye aanza kutekeleza kwa vitendo jimboni
Mbunge mteule wa Jimbo la Mtama, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape akisaini mkataba wa kupata vifaa vya huduma za afya mbele ya Mwambata wa Siasa wa Ubalozi wa China nchini Tanzania Mis Song Rui katika ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Watu wa China.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye ameanza kazi ya kuwatumikia wakazi wa jimbo hilo baada ya kusaini mkataba maalum na Ubalozi wa China nchini wa kusaidia vifaa vya huduma ya Afya kwa jimbo la...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Mbunge mteule wa jimbo la Singida Magharibi aanza kutekeleza kwa vitendo ahadi zake jimboni!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h_Hf9J7MRF8/Xs_LyZ1Yp7I/AAAAAAALr5M/RebMGyZ5L0IQu46Jy_uTx7bjiZ35gPnJACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0001AAAA-768x512.jpg)
DKT. MWANJELWA AIPONGEZA TPSC KUUNDA VIKOSI KAZI DHIDI YA CORONA ILI KUTEKELEZA AGIZO LA KUPOKEA WANAFUNZI JUNI MOSI, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-h_Hf9J7MRF8/Xs_LyZ1Yp7I/AAAAAAALr5M/RebMGyZ5L0IQu46Jy_uTx7bjiZ35gPnJACLcBGAsYHQ/s640/IMG_0001AAAA-768x512.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania Kampasi ya Singida (hawapo pichani) mara baada ya kupokea taarifa ya Mtendaji Mkuu na Mkuu wa Chuo hicho kuhusu Mkakati wa Uendeshaji Mafunzo kwa Kuzingatia Tahadhari Dhidi ya Maambukizi ya Corona, utakaoanza kutekelezwa na Chuo hicho pindi kitakapofunguliwa tarehe 01/06/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG_0002AAA-1024x682.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RKTHyBr3b8Y/Xs_NFzxD-mI/AAAAAAAAzKw/RyaV02cqlD8U_-M2UpsdEfA_c_aWTH5bQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0001AAAA-768x512.jpg)
DKT. MWANJELWA AIPONGEZA TPSC KUUNDA VIKOSI KAZI DHIDI YA CORONA ILI KUTEKELEZA AGIZO LA KUPOKEA WANAFUNZI JUNI MOSI , 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-RKTHyBr3b8Y/Xs_NFzxD-mI/AAAAAAAAzKw/RyaV02cqlD8U_-M2UpsdEfA_c_aWTH5bQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_0001AAAA-768x512.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vp03YZcSa2g/VEuXt3nwIAI/AAAAAAAGtWM/wly3d_C-Wuw/s72-c/Ombeni-Sefue.jpg)
BALOZI SEFUE AAHIDI KUTEKELEZA MIRADI YA AFYA BRN
![](http://2.bp.blogspot.com/-vp03YZcSa2g/VEuXt3nwIAI/AAAAAAAGtWM/wly3d_C-Wuw/s1600/Ombeni-Sefue.jpg)
Balozi Sefue aliyasema hayo mara baada ya kutembelea jijini Dar es Salaam juzi, maabara inayokutanisha wataalamu mbalimbali kutoka SErikali na sekta binafsi wanaochambua miradi michache ya afya itakayoingizwa katika mfumo wa utekelezaji wa haraka wa miradi wa BRN.
“Binafsi nimefurahishwa na maeneo ya kipaumbele mnayoendelea...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-A1PGqdMKqN4/VGxkX_XlO9I/AAAAAAAANMo/QGp072BwG6w/s72-c/DSC_3594.jpg)
TRL YAPOKEA MABEHEWA 50 YA KUBEBA MAKONTENA, NI MKAKATI WA KUTEKELEZA BRN
![](http://4.bp.blogspot.com/-A1PGqdMKqN4/VGxkX_XlO9I/AAAAAAAANMo/QGp072BwG6w/s640/DSC_3594.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TWz6w2xU2c0/VGxkaPrwJcI/AAAAAAAANMw/KeHDmCIqW5w/s640/DSC_3493.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LeU3A1XcyeI/VGxkNdB5dwI/AAAAAAAANMA/2J5_NOf1tr0/s640/CONTAINER%2BCARRIER1.jpg)
9 years ago
Habarileo03 Oct
Sputanza yajitosa kwa Nyosso
MWENYEKITI wa Chama cha Wanasoka Tanzania (SPUTANZA), Musa Kisoky amesema wanawasiliana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuona namna ya kumsaidia beki wa Mbeya City, Juma Said ‘Nyosso’ aliyefungiwa miaka miwili pamoja na faini ya Sh milioni mbili baada ya kumdhalilisha John Bocco wa Azam FC.
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Kombani apongeza TPSC kwa kutoa wahitimu bora
HIVI karibuni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, alikipongeza Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kwa kutoa wahitimu bora. Kombani alitoa pongezi...