DKT. MWANJELWA AIPONGEZA TPSC KUUNDA VIKOSI KAZI DHIDI YA CORONA ILI KUTEKELEZA AGIZO LA KUPOKEA WANAFUNZI JUNI MOSI, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-h_Hf9J7MRF8/Xs_LyZ1Yp7I/AAAAAAALr5M/RebMGyZ5L0IQu46Jy_uTx7bjiZ35gPnJACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0001AAAA-768x512.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania Kampasi ya Singida (hawapo pichani) mara baada ya kupokea taarifa ya Mtendaji Mkuu na Mkuu wa Chuo hicho kuhusu Mkakati wa Uendeshaji Mafunzo kwa Kuzingatia Tahadhari Dhidi ya Maambukizi ya Corona, utakaoanza kutekelezwa na Chuo hicho pindi kitakapofunguliwa tarehe 01/06/2020.Baadhi ya watumishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RKTHyBr3b8Y/Xs_NFzxD-mI/AAAAAAAAzKw/RyaV02cqlD8U_-M2UpsdEfA_c_aWTH5bQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0001AAAA-768x512.jpg)
DKT. MWANJELWA AIPONGEZA TPSC KUUNDA VIKOSI KAZI DHIDI YA CORONA ILI KUTEKELEZA AGIZO LA KUPOKEA WANAFUNZI JUNI MOSI , 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-RKTHyBr3b8Y/Xs_NFzxD-mI/AAAAAAAAzKw/RyaV02cqlD8U_-M2UpsdEfA_c_aWTH5bQCLcBGAsYHQ/s400/IMG_0001AAAA-768x512.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YWWBFQp9Rk4/XmK1NNSCJyI/AAAAAAALhpQ/tbDs_VgSsAkIUFbaIzEjVeu8poYbcLj_wCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv725c801b30f1m2ds_800C450.jpg)
Mwakilishi wa WHO aipongeza Iran kwa mapambano yake dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-YWWBFQp9Rk4/XmK1NNSCJyI/AAAAAAALhpQ/tbDs_VgSsAkIUFbaIzEjVeu8poYbcLj_wCLcBGAsYHQ/s640/4bv725c801b30f1m2ds_800C450.jpg)
Dr. Christoph Hamelmann ameashiria ziara na ukaguzi wake akiwa pamoja na wataalamu kutoka China katika hospitali na taasisi za afya nchini Iran na kusema: Wataalamu wa China wameathiriwa sana na huduma zinazotolewa katika hospitali hizo.
Mwakilishi wa WHO amesema kuwa, kuwepo vituo bora na madhubuti vya huduma...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
TPSC yajitosa kutekeleza BRN kwa vitendo
ILI kuhakikisha wananchi wanahudumiwa vizuri, serikali ilianzisha mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambao taasisi mbalimbali za umma zinapaswa kuutekeleza na hatimaye wananchi wapate huduma zinazokidhi matarajio yao. Wizara na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NlRXtxQNYXQ/XteS9B9HFkI/AAAAAAALsdA/Evy_01Fv0sI_S9uYd6CGUehTpyyx6vRrgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
NDALICHAKO AAGIZA WANAFUNZI KUPEWA MIKOPO KUFIKIA JUNI 5,2020
Waziri Ndalichako ameyasema hayo leo Juni 3, 2020 jijini Dar es Salaam wakati akikabidhi magari manne kwa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) ambacho ni miongoni mwa vyuo vinne vitakavyonufaika na mkopo huo wa Benki ya Dunia kupitia mradi wao wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IlGNHgsiky0/XpGpvDLM2kI/AAAAAAAAksI/Lw4RfP52mqYpqttQoV7ON1I3dx0AnojZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200409-WA0041.jpg)
MBUNGE KINGU AUNGA MKONO AGIZO LA RAIS KUCHAPA KAZI KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IlGNHgsiky0/XpGpvDLM2kI/AAAAAAAAksI/Lw4RfP52mqYpqttQoV7ON1I3dx0AnojZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0041.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dua2Ma9Z88I/XpGpvU5UZHI/AAAAAAAAksE/vEKhlEI_dF8w2FldTVB_Qcx0yKDLl0TRQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0042.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-E5imuJPMzd8/XpGpvZskT0I/AAAAAAAAksA/LtEAhoFGFmEPIFp_o0SJYpjT6HuLbLCoACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0044.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BK118IChCpA/XpGpwYn8h-I/AAAAAAAAksM/nXy_erFCfH0nljwwq1jRGVKeaJMvNewTQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200409-WA0045.jpg)
Na Dotto Mwaibale, Singida.
MBUNGE wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu ameendelea kuunga mkono agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kuwataka wananchi kote nchini kuendelea kuchapa kazi katika kipindi hiki ambacho...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-tKIygr1Kie8/XuiNGIdIUDI/AAAAAAAC7tA/rceEwuTobBki-eKucUr6hp0P3OlYPuEFACLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA KUFUNGULIWA SHULE ZOTE ZILIZOKUWA ZIMEFUNGWA KISA CORONA, JUNI, 29, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-tKIygr1Kie8/XuiNGIdIUDI/AAAAAAAC7tA/rceEwuTobBki-eKucUr6hp0P3OlYPuEFACLcBGAsYHQ/s400/6.jpg)
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Jumanne June 16, 2020 wakati akilihutubia Bunge kabla ya kulifunga ili kupisha mchakato wa uchaguzi wa Rais, Bunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Octoba Mwaka huu
Amesema hali ya Corona nchini inaendelea vizuri na imepungua sana
“Kutokana na mwendendo wa corona kuendelea kuwa mzuri, corona imepungua sana, naomba nitangaze...
5 years ago
Michuzi21 Apr
MAOMBI YA KITAIFA DHIDI YA JANGA LA CORONA KUFANYIKA APRILI 22,2020
WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Viongozi wa madhehebu ya Dini nchini, imeandaa maombi maalum Kitaifa kuiombea Nchi dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu inayotokana na Virusi vya Corona.
Maombi hayo yatakayoongozwa na Viongozi Wakuu wa madhehebu ya Dini nchini, yatafanyika Jumatano tarehe 22 Aprili, 2020 katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar Es Salaam, kuanzia Saa 3.00 Asubuhi ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Tamisemi yaanza kutekeleza agizo
10 years ago
Habarileo15 Oct
Rukwa wahaha kutekeleza agizo la JK
MKOA wa Rukwa unakabiliwa na changamoto ya kukamilisha agizo la Rais Jakaya Kikwete juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini ifikapo mwishoni mwa mwaka huu, baada ya kubainika asilimia 10.6 ndizo zimekamilisha ujenzi huo.