Glorious kamili uzinduzi wa John Lissu

KUNDi la muziki wa Injili la Glorious Celebration la jijini Dar es Salaam limethibitisha kushiriki katika uzinduzi wa albamu ya Uko Hapa ya msanii John Lissu.
Uzinduzi wa albamu hiyo unatarajiwa kufanyika Oktoba 5 mwaka huu, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam, ambapo waimbaji mbalimbali watakuwepo.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions inayodhamini uzinduzi huo, Alex Msama ilisema maandalizi muhimu kuhusiana na uzinduzi huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
LISSU AWAZUIA WABUNGE WA CHADEMA KUHUDHURIA UZINDUZI WA ACT-WAZALENDO

Lissu awazuia wabunge wa chadema kuhudhuria uzinduzi wa act-wazalendo.Lissu awazuia wabunge wa Chadema kuhudhuria Uzinduzi wa Chama cha ACT-WAZALENDO. Amesema atakaye hudhuria ni msaliti ndani ya Chadema na hatua kali zitachukuliwa dhidi ya mbunge huyo
9 years ago
Michuzi
11 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Askofu Kameta abariki uzinduzi wa John Lisu
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Kanda ya Mashariki, Lawrance Kameta amebariki uzinduzi wa mwimbaji wa nyimbo za Injili John Lisu wa albamu ya ‘Uko Hapa’...
11 years ago
Michuzi
uzinduzi wa album John Lisu wafana sana Diamond jubilee hall

5 years ago
Michuzi
WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU

Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...
10 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Kwa nini Rose Kamili si kamili
MALUMBANO ya kisiasa nchini yanazidi kupamba moto baada ya mke wake wa zamani wa Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema Dk Willibrod Slaa, Rose Kamili kuibuka na kusema amesikitishwa na kauli alizozitoa mume wake huyo alipozungumza na waandishi wa habari Septemba Mosi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kamili alisema wakati Dk. Slaa anatangaza kung’atuka kwenye siasa alisema amekuwa akila mihogo na familia yake, jambo ambalo si la kweli.
Alisisitiza kuwa japokuwa mihogo siyo chakula...
10 years ago
TheCitizen10 Dec
53 glorious years of independence — and still going strong
10 years ago
TheCitizen18 Sep
Majimaji dare to dream of glorious season
10 years ago
GPL