Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gunia la mahindi Sh. 12,000/-

WAKULIMA na wavuvi wa mjini Sumbawanga wameendelea kusota kutokana na kushuka kwa bei ya mahindi na samaki wabichi wanaovuliwa katika Ziwa Tanganyika wilayani Kalambo kwa kukosa soko la uhakika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Gunia la mahindi laua watoto wawili

Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan KagandaWATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na gunia la mahindi nyumbani kwao katika kijiji cha Katunguru, kata ya Usisya wilayani Urambo mkoani hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

11 years ago

Mwananchi

NFRA kuuza tani 75,000 mahindi kuepusha kuharibika

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA), Charles Walwa amesema wakala huyo atauza tani 75,000 za mahindi zilizonunuliwa mwaka jana na kununua tani nyingine 200,000 katika msimu huu.

 

10 years ago

Michuzi

WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI

Baadhi ya wakuliwa wa mkoani Shinyanga, wakiwa na maofisa wa Agrics wakati wa mafunzo na uingiaji mkataba wa makubaliano yliofanyika Kijiji cha Ishololo, Wilaya ya Shinyanga Vijijini. Warsha hiyo iliongozwa na Lazaro Japhet (aliyesimama wa tatu kushoto mstari wa mbele. Zaidi ya wakulima 12,000 wanataraji kufaidika na mbegu za mahindi na alizeti kutoka Kampuni ya Agrics. Mahindi yaliyooteshwa kisayansi na kampuni ya Agrics kwa lengo la kuthibitisha ubora wa mbegu zinazotolewa kwa wakulima wa...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

KwanzaJamii

Mtoto aliyetupwa ndani ya gunia na mama yake

Na Albano Midelo BARAKA Ndunguru mtoto wa kike aliyesimama pichani, alizaliwa mwaka 1999 akiwa na mwezi mmoja aliwekwa kwenye gunia na kutupwa kwenye mkondo wa maji ya mvua na mama yake katika kijiji cha Tukusi wilayani Mbinga mkoani Ruvuma. Hata hivyo Baraka  aliokotwa na msamaria mwema  na kupelekwa katika kituo cha kulelea watoto yatima cha watawa wabenediktine wa shirika la mtakatifu Agnes Chipole Songea mkoani Ruvuma ambapo amekuwa analelewa hadi sasa akiwa anasoma darasa la sita katika...

 

9 years ago

Global Publishers

Tiwa Savage awashangaza mashabiki kuvaa gauni la gunia

Tiwa-Savage-headies-600x600Mwanamuziki machachari wa Nigeria, Tiwa Savage.

MWANAMUZIKI machachari wa Nigeria, Tiwa Savage, majuzi aliwashangaza mashabiki wake kwa kuvaa gauni la gunia kwenye hafla ya fasheni ya kampuni ya prodyuza ya Marvin Records.

image (4)….Akiwa amevaa gunia.

Bila kujali macho na maneno ya watu, nyota huyo mwenye mtoto mmoja alitinga katika hafla hiyo iliyokwenda kwa jina la One Lagos Concert iliyofanyika eneo la Ikorodu akiwa ‘ng’aring’ari’ katika gauni lililoshonwa kutokana na vipande vya magunia.

Katika...

 

5 years ago

Michuzi

Njombe:Anusurika kuuawa kwa tuhuma za kuiba gunia za mkaa


 Na Amiri kilagalila,Njombe

Mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Issa Setti maarufu Mngoni ambaye ni dereva bodaboda kituo cha Lutilage mjini Njombe amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali wa mtaa wa Idundilanga akituhumiwa kuiba gunia mbili za mkaa.

Wakizungumza kwa hisia kali wakazi wa mtaa huo wenye mikasa mingi ya wizi na uporaji akiwemo Joseph Kasiani na Grace Michael wamesema kijana huyo amekuwa na tabia ya wizi na udokozi wa kupindukia kwa kipindi kirefu na kutupiwa lawama na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ivan Rakitic: Kiungo wa kati wa Barcelona anasema yeye sio gunia la viazi

Ivan Rakitic amepata njia ya kipekee ya kuikosoa barcelona kwa jinsi ilivyomfanyia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani