Gunia la mahindi Sh. 12,000/-
WAKULIMA na wavuvi wa mjini Sumbawanga wameendelea kusota kutokana na kushuka kwa bei ya mahindi na samaki wabichi wanaovuliwa katika Ziwa Tanganyika wilayani Kalambo kwa kukosa soko la uhakika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Oct
Gunia la mahindi laua watoto wawili
WATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na gunia la mahindi nyumbani kwao katika kijiji cha Katunguru, kata ya Usisya wilayani Urambo mkoani hapa.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi
11 years ago
Mwananchi09 Sep
NFRA kuuza tani 75,000 mahindi kuepusha kuharibika
10 years ago
Michuzi
WAKULIMA ZAIDI YA 12,000 KUNUFAIKA NA MBEGU BORA ZA MAHINDI NA ALIZETI MKOANI


5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
11 years ago
KwanzaJamii27 Apr
Mtoto aliyetupwa ndani ya gunia na mama yake
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Tiwa Savage awashangaza mashabiki kuvaa gauni la gunia
Mwanamuziki machachari wa Nigeria, Tiwa Savage.
MWANAMUZIKI machachari wa Nigeria, Tiwa Savage, majuzi aliwashangaza mashabiki wake kwa kuvaa gauni la gunia kwenye hafla ya fasheni ya kampuni ya prodyuza ya Marvin Records.
….Akiwa amevaa gunia.
Bila kujali macho na maneno ya watu, nyota huyo mwenye mtoto mmoja alitinga katika hafla hiyo iliyokwenda kwa jina la One Lagos Concert iliyofanyika eneo la Ikorodu akiwa ‘ng’aring’ari’ katika gauni lililoshonwa kutokana na vipande vya magunia.
Katika...
5 years ago
Michuzi
Njombe:Anusurika kuuawa kwa tuhuma za kuiba gunia za mkaa

Mtu mmoja anaefahamika kwa jina la Issa Setti maarufu Mngoni ambaye ni dereva bodaboda kituo cha Lutilage mjini Njombe amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali wa mtaa wa Idundilanga akituhumiwa kuiba gunia mbili za mkaa.
Wakizungumza kwa hisia kali wakazi wa mtaa huo wenye mikasa mingi ya wizi na uporaji akiwemo Joseph Kasiani na Grace Michael wamesema kijana huyo amekuwa na tabia ya wizi na udokozi wa kupindukia kwa kipindi kirefu na kutupiwa lawama na...
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Ivan Rakitic: Kiungo wa kati wa Barcelona anasema yeye sio gunia la viazi