Gwajima:Siogopi mtu wala kufa
Na Asifiwe George,Dar es Salaam
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima,amesema haogopi mtu yeyote wala kufa bali ataendelea kuinyoosha nchi anapoona haiendi sawa.
Alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana,wakati wa mahubiri yaliyofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe.
Alisema uhusiano wake na watu mbalimbali wakiwamo wanasiasa utaendelea kubaki palepele.
Kwa mujibu Askofu Gwajima, baadhi ya watu wamekuwa wakimhusisha kuwa na urafiki na Waziri Mkuu wa zamani, Edward...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49aoqw6bPxdG7Ctgb7D-K9oAuGBbIFXzZ40VzXH8c89QXv8qfOgnzl4ABbuAz9IWXijTtc5WOuH-7ubbxXSq75L6/Afa.gif?width=650)
ADAIWA KUFA, AIBUKIA DUKANI KWA MTU
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZToOum_RVXs/U5YnaBaWalI/AAAAAAAFpYo/uTgZypjwxKg/s72-c/article-2653031-1E9D4A0D00000578-29_636x391.jpg)
ulinzi wa kufa mtu kombe la dunia brazil
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZToOum_RVXs/U5YnaBaWalI/AAAAAAAFpYo/uTgZypjwxKg/s1600/article-2653031-1E9D4A0D00000578-29_636x391.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyXzn05zBcUy6awpB88*Uy3BA5UOdREAJ29hz5cO7vu-zAjlEeS7QCpTt9ta-g3GWxnLEYlD85bXocUlGUSZMdvN/familia.jpg?width=650)
FAMILIA KUFA AJALINI ‘KUNA MKONO WA MTU!'
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5xw24_e43CY/U_ckxhNxUYI/AAAAAAAGBWM/WtN5oI0nSAE/s72-c/bella.jpg)
CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI YA KUFA MTU KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014 PALE MLIMANI CITY
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xw24_e43CY/U_ckxhNxUYI/AAAAAAAGBWM/WtN5oI0nSAE/s1600/bella.jpg)
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).
Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie...
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Christian Bella kutoa burudani ya kufa mtu katika fainali ya Tanzania Movie Talents (TMT) tarehe 30 August 2014 Mlimani City
Christian Bella
Na Josephat Lukaza
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).
Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la...
10 years ago
Bongo524 Aug
New Video: Chris Bee f/ G Sacha & Silvia – Wala Wala
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Belle 9: Siogopi wanasiasa
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MKALI wa RnB asiye na tuzo, Abelnego Damian ‘Belle 9’, ameweka wazi kwamba kujiamini ndiko kulikomfanya atoe video mpya ya wimbo wake wa ‘Shauri Zao’ licha ya pilika nyingi za kuelekea uchaguzi wa Oktoba 25.
Belle 9 alisema wengi walidhani ataogopa kuachia video hiyo mpya kwa hofu ya kukosa mashabiki kutokana na mchakato na mvutano mkubwa wa mashabiki wa muziki kuwa katika masuala ya siasa.
“Mimi siogopi wanasiasa, unajua watu wengi wanasahau kwamba kuna muda watu...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s72-c/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s1600/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...