ADAIWA KUFA, AIBUKIA DUKANI KWA MTU
![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49aoqw6bPxdG7Ctgb7D-K9oAuGBbIFXzZ40VzXH8c89QXv8qfOgnzl4ABbuAz9IWXijTtc5WOuH-7ubbxXSq75L6/Afa.gif?width=650)
Waandishi wetu SIMULIZI inashangaza! Hussein Mohamed (28) amewekewa msiba nyumbani kwa wazazi wake baada ya kuambiwa kijana huyo amefariki dunia.Tukio hilo lilijiri hivi karibuni Magomeni ya Makuti, Dar ambapo habari zilisema, Hussein alicharangwa mapanga Vingunguti Dar na watu wasiojulikana na amefariki dunia. . .....Soma zaidi===>http://bit.ly/1HzJASa ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulnV0WIlUIdWXveWjYyb5P8kQ8JCjssdHhD2w-BYq5*MgNLHo15jh56nzfY9zpOXqSuIPB0MEQHJ3Ex*aSfBTzvn/2.jpg?width=650)
HAUSIGELI ADAIWA KUFARIKI, AIBUKIA MAZISHINI
11 years ago
Habarileo18 May
Adaiwa kujinyonga hadi kufa
MKAZI wa Morogoro Said Tenga (53), amekutwa amekufa kwa kujinyonga chumbani.
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Gwajima:Siogopi mtu wala kufa
Na Asifiwe George,Dar es Salaam
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima,amesema haogopi mtu yeyote wala kufa bali ataendelea kuinyoosha nchi anapoona haiendi sawa.
Alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana,wakati wa mahubiri yaliyofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe.
Alisema uhusiano wake na watu mbalimbali wakiwamo wanasiasa utaendelea kubaki palepele.
Kwa mujibu Askofu Gwajima, baadhi ya watu wamekuwa wakimhusisha kuwa na urafiki na Waziri Mkuu wa zamani, Edward...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZToOum_RVXs/U5YnaBaWalI/AAAAAAAFpYo/uTgZypjwxKg/s72-c/article-2653031-1E9D4A0D00000578-29_636x391.jpg)
ulinzi wa kufa mtu kombe la dunia brazil
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZToOum_RVXs/U5YnaBaWalI/AAAAAAAFpYo/uTgZypjwxKg/s1600/article-2653031-1E9D4A0D00000578-29_636x391.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyXzn05zBcUy6awpB88*Uy3BA5UOdREAJ29hz5cO7vu-zAjlEeS7QCpTt9ta-g3GWxnLEYlD85bXocUlGUSZMdvN/familia.jpg?width=650)
FAMILIA KUFA AJALINI ‘KUNA MKONO WA MTU!'
10 years ago
Bongo Movies03 May
Wellu Sengo Adaiwa Kutoka na Mume wa Mtu, Steven Nyerere
Saaaasa????? @stevenyerere2 ndo umeoa mke wa pili au?? Yaan mkeo anavyokupenda!!! Sehemu zote muhimu au outing badala ya kutoka na mkeo unatoka na huyo....jana mliman city pia mlikuwa wote...sasa kama vipi tutambulishane otherwise wanawake tutaandamana!! Ole wako useme ni movie..... .projects .BongoMovies!!!
@sengomatilda 1. Steve ni mume wa mtu! 2. Familia yake inamuhitaji! 3. Mkewe hayuko tayari kuvunja ndoa yake 4.Wewe ni mrembo unastahili upate wako 5. Steve ana maneno matamu ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6wLHhRCmsGg/VooST1V7ywI/AAAAAAAALBw/7hwUlYbPCdU/s72-c/Image1.jpg)
MTU MMOJA ADAIWA KUKUTWA AMEFARIKI LEO ASUBUHI JIJINI MBEYA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6wLHhRCmsGg/VooST1V7ywI/AAAAAAAALBw/7hwUlYbPCdU/s640/Image1.jpg)
Kifo cha Mtu huyo ambaye inaelezwa ni kijana wa makamo alikutwa amefariki kwenye uchochoro wa nymba hiyo mara baada ya kubainika na baadhi ya Wananchi,waliokuwa wakikatiza mtaa huo kuelekea mtaa mwingine,Baadhi ya Mashudhua wa eneo hilo wameeleza kuwa mtu huyo si mkazi wa mtaa huo,
"Mtu huyo si Mkazi wa Eneo...
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF WAAHIDI KUANGUSHA SHOO YA KUFA MTU DAR LIVE SIKUKUU YA X-MAS
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5xw24_e43CY/U_ckxhNxUYI/AAAAAAAGBWM/WtN5oI0nSAE/s72-c/bella.jpg)
CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI YA KUFA MTU KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014 PALE MLIMANI CITY
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xw24_e43CY/U_ckxhNxUYI/AAAAAAAGBWM/WtN5oI0nSAE/s1600/bella.jpg)
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).
Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie...