Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAUSIGELI ADAIWA KUFARIKI, AIBUKIA MAZISHINI

Dustan Shekidele, Morogoro
Maajabu! Dada mmoja msaidizi wa kazi za ndani maarufu kama Hausigeli, aitwaye Sophia Omari (24) ambaye ndugu zake walitangaza kuwa alifariki kwa kunywa sumu, aliibuka nyumbani kwao mtaa wa Tuelewane, Kihonda mjini Morogoro Jumanne wiki hii wakati wanandugu wakijiandaa kwa ajili ya mazishi ya mwili wake, Ijumaa lina mkasa kamili. Sophia Omari anayedaiwa kufa na kuibukia mazishini. Sophia aliyetinga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hausigeli’ adaiwa kubakwa na mwajiri

MTOTO mwenye umri wa miaka 14, mkazi wa maeneo ya Mghalani, mkoani hapa, ambaye ni mfanyakazi wa ndani ‘Hausigeli’, anadaiwa kubakwa na mwajiri wake na kumsababishia maumivu makali. Kaimu Kamanda...

 

10 years ago

GPL

ADAIWA KUFA, AIBUKIA DUKANI KWA MTU

Waandishi wetu SIMULIZI inashangaza! Hussein Mohamed (28) amewekewa msiba nyumbani kwa wazazi wake baada ya kuambiwa kijana huyo amefariki dunia.Tukio hilo lilijiri hivi karibuni Magomeni ya Makuti, Dar ambapo habari zilisema, Hussein alicharangwa mapanga Vingunguti Dar na watu wasiojulikana na amefariki dunia. . .....Soma zaidi===>http://bit.ly/1HzJASa ...

 

11 years ago

GPL

KHAA! MZUNGU DAR ADAIWA KUMLAZIMISHA HAUSIGELI AFANYE MAPENZI NA MBWA WAKE

Stori: Waandishi Wetu KHAA! Katika hali ya kushangaza, dada wa kazi za nyumbani (hausigeli) mkazi wa Tabata  jijini Dar aliyetambulika kwa jina moja la Aneth, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudai kuwa bosi wake ambaye ni Mzungu amemlazimisha kufanya mapenzi na mbwa wake. Mapolisi wakiwa wametinga nyumbani kwa mzungu na silaha. Kushoto ni hausigeli.
Mzungu huyo ambaye jina tunalihifadhi, alidaiwa kufanya tukio hilo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mpenzi wa Meyiwa azuiwa mazishini

Familia ya nahodha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’, Senzo Meyiwa imemzuia mpenzi wa mwanasoka huyo na mama wa mtoto wake, Kelly Khumalo, kuhudhuria mazishi yake mjini Durban, kwa mujibu wa New Age.

 

10 years ago

CloudsFM

SHEIKH WA WILAYA YA MBEYA AFA GHAFLA MAKABURINI BAADA YA KUTOA MAWAIDHA MAZISHINI

Sheikh mkuu wa wilaya ya Mbeya mjini, Bakari Mketo amefariki dunia ghafla makaburini mara baada ya kuswalisha swala ya mazishi katika makaburi ya Nonde jijini na mkoani Mbeya jioni ya jana.
Sheikh huyo maarufu kwa jina la Mketo mkazi wa Nonde anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 50-60 amekutwa na mauti katika eneo la makaburi hayo ya Nonde mara tu baada ya kumaliza kutoa mawaidha kwa watu waliojumuika kumzika mama aliyefariki katika hospitali ya rufaa Mbeya juzi na msiba wake kuwekwa...

 

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

9 years ago

GPL

HAUSIGELI AJINYONGA!

Dustan Shekidele, Moro Mfanyakazi wa ndani ‘hausigeli’ mmoja mkoani hapa aliyefahamika kwa jina moja la Rehema (16) ambaye alifanya kazi hiyo kwa wiki moja, akimshikia mwenzake aliyekwenda kijijini kwao lfakara wilayani Kilombero kumuuguza mama yake, amejifungia chumbani kisha kujinyonga kwa kutumia kanga....Soma zaidi===>http://goo.gl/CN1Ati ...

 

11 years ago

GPL

HAUSIGELI ALIVYOMUUA...

Stori: MWANDISHI WETU, SINGIDA SAKATA la wafanyakazi wa ndani kunyanyaswa na mabosi wao limeingia katika sura ya kipekee, safari hii mabosi wamegeukwa ambapo mmoja amedaiwa kuuawa na hausigeli wake aliyetajwa kwa jina la Valentina Karenge (17). Ndugu wa marehemu akiuandaa mwili kwa ajili ya kuagwa
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mfanyakazi huyo wa ndani mkoani Singida kudaiwa kumuuua tajiri yake kwa kumchoma kisu...

 

10 years ago

GPL

VOLCANO JAPAN: 30 WAHOFIWA KUFARIKI

Moshi kutoka katika mlipuko wa volcano uliotokea jana kwenye Mlima Ontake, Japan. Jivu la volcano likiwa limefunika nyumba zilizo jirani na mlima huo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani