Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpenzi wa Meyiwa azuiwa mazishini

Familia ya nahodha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’, Senzo Meyiwa imemzuia mpenzi wa mwanasoka huyo na mama wa mtoto wake, Kelly Khumalo, kuhudhuria mazishi yake mjini Durban, kwa mujibu wa New Age.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HAUSIGELI ADAIWA KUFARIKI, AIBUKIA MAZISHINI

Dustan Shekidele, Morogoro
Maajabu! Dada mmoja msaidizi wa kazi za ndani maarufu kama Hausigeli, aitwaye Sophia Omari (24) ambaye ndugu zake walitangaza kuwa alifariki kwa kunywa sumu, aliibuka nyumbani kwao mtaa wa Tuelewane, Kihonda mjini Morogoro Jumanne wiki hii wakati wanandugu wakijiandaa kwa ajili ya mazishi ya mwili wake, Ijumaa lina mkasa kamili. Sophia Omari anayedaiwa kufa na kuibukia mazishini. Sophia aliyetinga...

 

10 years ago

CloudsFM

SHEIKH WA WILAYA YA MBEYA AFA GHAFLA MAKABURINI BAADA YA KUTOA MAWAIDHA MAZISHINI

Sheikh mkuu wa wilaya ya Mbeya mjini, Bakari Mketo amefariki dunia ghafla makaburini mara baada ya kuswalisha swala ya mazishi katika makaburi ya Nonde jijini na mkoani Mbeya jioni ya jana.
Sheikh huyo maarufu kwa jina la Mketo mkazi wa Nonde anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 50-60 amekutwa na mauti katika eneo la makaburi hayo ya Nonde mara tu baada ya kumaliza kutoa mawaidha kwa watu waliojumuika kumzika mama aliyefariki katika hospitali ya rufaa Mbeya juzi na msiba wake kuwekwa...

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!

Niwazi kila mmoja wetu ana historia katika maisha yake ya kimapenzi. Huenda mpaka sasa wewe msomaji ulishawahi kuwa na uhusiano na watu zaidi ya mmoja. Wala siyo ajabu! Yawezekana pia kati ya wale uliowahi kuwa nao wapo uliomwagana nao kwa shari lakini wapo pia ulioachana nao kiroho safi. Jambo ambalo leo nataka kulizungumzia ni hili la mtu kuendelea kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani eti kwa sababu waliachana kwa...

 

10 years ago

BBC

Meyiwa 'one of the best in Africa'

Built like a pocket rocket and 'one of Africa's best goalkeepers'

 

10 years ago

BBCSwahili

Muuaji wa Meyiwa ni Kitendawili

Polisi nchini Africa Kusini wameanzisha msako dhidi ya mtu aliyempiga risasi kipa na kapteni wa timu ya taifa hilo Senzo Meyiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Senzo Meyiwa azikwa

Mazishi makubwa yafanywa Durban, Afrika Kusini, ya nahodha wa timu ya taifa, Senzo Meyiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Wauaji wa Meyiwa kutambuliwa

Polisi nchini Africa Kusini wameonesha nyuso zinazo dhaniwa kuwa ni wauaji wa Senzo Meyiwa.

 

10 years ago

BBC

'Utter devastation' at Meyiwa death

The death of South Africa captain Senzo Meyiwa in a shooting causes shock and outrage among his team-mates.

 

10 years ago

BBC

Samuel Meyiwa and the funeral pose

The pose inspired by footballer Senzo Meyiwa's funeral

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani