Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauaji wa Meyiwa kutambuliwa

Polisi nchini Africa Kusini wameonesha nyuso zinazo dhaniwa kuwa ni wauaji wa Senzo Meyiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

UNHCR yahamasisha wakimbizi kutambuliwa

Shirika la Wakimbizi duniani UNHCR linazindua Kampeni ya kuwapa haki za msingi Wakimbizi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi wapiganiwa kutambuliwa kikatiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Issa  Suleiman anayetokea  Zanzibar kupitia kundi la wavuvi amesema kuwa anataka kundi hilo litambuliwe kikatiba. Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano jana alisema kuwa kundi...

 

11 years ago

Mwananchi

Bandari bubu tatu kutambuliwa rasmi

Mkoa wa Tanga upo kwenye mchakato wa kurasimisha bandari bubu tatu ili zipandishwe hadhi na kufanya kazi chini uangalizi wake, tofauti na sasa zinatumika kupitisha biashara za magendo na wahamiaji haramu.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Waliokufa, majeruhi ajali ya basi waanza kutambuliwa


NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
MAITI mbili kati ya nne za ajali ya basi la kampuni ya Air Bus iliyotokea juzi wilayani Gairo, zimetambuliwa.
Basi hilo lilipata ajali likiwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora.
Aidha, majeruhi 30 wa ajali hiyo bado wamelazwa katika hospitali za Berega na ya rufani ya mkoa wa Morogoro, wakipatiwa matibabu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul,  alisema jana ofisini kwake mjini hapa kuwa waliotambuliwa ni Amina Rashid (50), mkulima na mkazi wa...

 

10 years ago

BBC

Meyiwa 'one of the best in Africa'

Built like a pocket rocket and 'one of Africa's best goalkeepers'

 

10 years ago

GPL

CBE YAENDESHA UTAFITI KUWASAIDIA MACHINGA KUTAMBULIWA RASMI

Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam  Prof. Emanuel Mjema (kulia) akitoa ufafanuzi kuhusu utafiti  wa wafanyabiashara wadogo wadogo (wamachinga) unaofanywa na chuo hicho kwa kushirikiana  na  Shirika la Wafanyabiashara  kutoka nchini  Finland (FBMA)  kwa lengo la kubaini  fursa za biashara zilizopo , faida, changamoto  na mchango wao katika maendeleo ya taifa pindi watakapoingizwa kwenye...

 

11 years ago

GPL

WAGONJWA WASUBIRI KUTAMBULIWA NA NDUGU ZAO HOSPITALINI MUHIMBILI

KAMERA yetu jana ilitembelea Taasisi ya Tiba na Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), wodi za…

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI ZINAZOWAJIBIKA KWA JAMII KUTAMBULIWA MACHI, 2015

Katibu wa Kamati ya Tathmini wa Taasisi ya Ushauri wa Biashara, Ernest Mwamwaja (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu kampuni zinazowajibika kwa jamii kutambuliwa Machi mwaka huu. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Utafiti wa Shughuli za Maendeleo ya Jamii, Abraham Shempemba na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Ushauri wa Biashara, Dickson Hyera.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI mbali mbali zinazotoa huduma kwa jamii zinatarajiwa kutambuliwa na...

 

10 years ago

StarTV

Katiba inayopendekezwa, Wanaume Serengeti Mara wataka kutambuliwa

Na Ramadhan Mvungi,

Arusha.

 

Wanaume katika Vijiji vya Sing’isi, Isenye na Harara wilayani Serengeti mkoani Mara wamehoji sababu za kutokutambuliwa kwao katika Katiba inayopendekezwa kama ilivyo kwa makundi mengine yakiwemo ya watoto, wanawake na walemavu.

 

Mjadala umejitokeza wakati ambapo Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imeteua taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali kutoa elimu kwa wananchi kuhusu Katiba pendekezwa kabla ya zoezi la upigaji kura linalotarajiwa kufanyika Aprili 30 mwaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani