Habari kadhaa ulaya : ndoo za maji, wagonjwa, wanyama n.k- (2)
>Tuendelee na baadhi ya habari zilizomeremeta Ulaya juma lililopita.Tuanze na akina mama. Hakimu mstaafu mwanamke , Jane Mary Mowatt (66) alikosolewa baada ya mahojiano kuhusu ubakaji. Alidai wanawake wanaobakwa baada ya kulewa ( hadi wakajisahau) hujitakia wenyewe. Wanapofika kizimbani na kujitetea hawakujua kilichotokea sawasawa shauri hawakujitambua “wanajipalia makaa.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Habari kadhaa za ulaya : afya na ugaidi - sehemu ya 1
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s72-c/07.jpg)
Chanzo cha maji cha Ruvu Chini kuwatua akina mama ndoo za maji
![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s640/07.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGSyjo2g948/VlmiKAqUMlI/AAAAAAAIIww/2LL3Pn6iSPs/s640/08.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6SnvV-6I7U/VlmiFECqDFI/AAAAAAAIIv8/zxtfB1EvtdQ/s640/03.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Habarileo09 Jan
Ndoo ya maji Chalinze yafikia Sh 700
UONGOZI wa Mradi wa Maji wa Wami Chalinze wilayani Bagamoyo, umetakiwa kutoa taarifa juu ya ukosefu wa maji, uliodumu takribani mwezi mzima sasa.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Wananchi wauziwa ndoo ya maji 1,000/-
WAKAZI wa Kitongoji cha Nsololo wilayani Uyui katika Mkoa wa Tabora, hawana huduma ya maji ya kisima kwa zaidi ya miezi saba sasa, baada ya kisima kilichokuwepo kufungwa na uongozi wa eneo hilo.
10 years ago
Habarileo22 Dec
Ndoo ya maji Kimara yauzwa 1,000/-
WAKAZI wa Kimara jijini Dar es Salaam wanaendelea kununua ndoo ya majisafi kwa Sh 1,000 na maji hayo hayapatikani kwa urahisi.
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Kadhaa Ulaya : Kumbukumbu za vita vikuu , wanahabari wa kweli, nk- (3)
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Kadhaa ulaya : kujitenga kwa scotland na sinema ya mombasa-sehemu ya 4
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZutqsnA6MqNxanbB4ae1Xk7OA0vFQ9ff-RQveAKFG64v2a0AzC4YSN-TKpwh7PV0pPXohW8hhpVtjmh6qk9qEBML/NEYWAMITEGO.jpg?width=650)
NAY WA MITEGO AMWAGIWA NDOO YA MAJI KWENYE BETHIDEI
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
VIJIMAMBO:Uwoya Amwagiwa Ndoo Nzima ya Maji -Siku Yake Yakuzaliwa
Leo ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mwigizaji wa filamu, Irene Uwoya katika hali asiyoitalajia alijikuta akimwagiwa ndoo mzima ya maji ya baridi jana usiku huku akiimbiwa wimbo wa “Happy Birhday”.
Ndoo hiyo ya maji alimwagiwa na mwigizaji mwenzake Kajala nakushangiliwa na wenzake akiwemo Wolper.
Leo Uwoya aliandika bandiko hili mtandaoni
“Yani sina chakusema mlicho nifanya janaaa!asanteni sana nawapenda wote ila Kajala maji yalikuwa ya baridiii” Kisha akaweka kipande kifupi cha video cha...