Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Habari kadhaa za ulaya : afya na ugaidi - sehemu ya 1

Safu yako leo msomaji itaangalia baadhi ya habari moto moto zilizowaka Ulaya juma lililopita. Iliyoshika mpini ni ugaidi wa IS.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kadhaa ulaya : kujitenga kwa scotland na sinema ya mombasa-sehemu ya 4

Uingereza imechachamaa majuma machache yaliyopita. Ni kama Tsunami linakaribia.

 

10 years ago

Mwananchi

Habari kadhaa ulaya : ndoo za maji, wagonjwa, wanyama n.k- (2)

>Tuendelee na  baadhi ya habari zilizomeremeta Ulaya juma lililopita.Tuanze na akina mama. Hakimu mstaafu mwanamke , Jane Mary  Mowatt (66) alikosolewa baada ya mahojiano kuhusu ubakaji. Alidai wanawake wanaobakwa baada ya kulewa ( hadi wakajisahau) hujitakia wenyewe.  Wanapofika kizimbani na kujitetea hawakujua kilichotokea sawasawa shauri hawakujitambua “wanajipalia makaa.”

 

10 years ago

Mwananchi

Kadhaa Ulaya : Kumbukumbu za vita vikuu , wanahabari wa kweli, nk- (3)

Habari iliyogota Uzunguni wiki iliyopita ni ipi zaidi ya ugaidi?

 

9 years ago

StarTV

Waziri wa Afya afanya ziara ya kushtukiza abaini dosari kadhaa Hospital ya Bombo Tanga

 

Waziri wa afya Maendeleo ya Jamii jinsia, Wazee na watoto Ummy Mwalimu amefanya ziara ya ghafla katika hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na kukutana na dosari mbalimbali

 

Moja ya mambo yaliyomkera Ummy ni kuwakosa madaktari wa zamu katika hospitali hiyo pamoja na ukosefu wa mashuka kwa wagonjwa hali iliyowalazimu kutandika kanga zao.

 

 

Ilikuwa ni ziara ya kustukiza iliyofanywa na Waziri wa afya maendeleo ya jamii ,jinsia wazee na watoto katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Tanga ikiwemo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Ulaya

Polisi katika nchi kadhaa barani Ulaya wamewakamata washukiwa kadhaa wenye itikadi kali za kidini katika misako iliyofanywa usiku kucha.

 

10 years ago

Mwananchi

Tezi kibofu, afya na kinga ya maradhi yanayotukabili -sehemu ya 1

Wiki hii, Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, alikuwa Marekani kufanyiwa matibabu ya tezi ya uume, hospitali ya John Hopkins, Baltimore. Kitakwimu maradhi haya huwafika asilimia 45 ya wanaume walioshapitisha miaka 60.

 

10 years ago

Mwananchi

Ijue afya yako -jongo husababishwa na namna tunavyokula -sehemu ya 2

Jumapili iliyopita tuliangalia maradhi ya kuvimba tezi kibofu au tezi dume. Tatizo hili hugeuka saratani baadaye, pia huwakabili wanawake katika kizazi au matiti. Hivyo ni muhimu tunapofikisha miaka 40 kukaguliwa na waganga kuhakikisha viungo viko sawa.

 

9 years ago

Michuzi

TAASISI, MASHIRIKA NA MAKAMPUNI YAASWA KUTUMIA SEHEMU YA FAIDA WANAYOPATA KUSAIDIA HUDUMA ZA AFYA.

  Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam(CBE) Prof.Emanuel Mjema(kushoto) akizungumza na viongozi  na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Kisarawe leo  kabla ya kukabidhi msaada wa  shuka 176 kusaidia wodi ya Wazazi ya hospitali hiyo. Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam(CBE) Prof.Emanuel Mjema(kushoto) akikabidhi msaada wa shuka 176 kwa Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe Dkt.Martin Msokela (kulia) leo. Mashuka hayo yametolewa na chuo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Taasisi,Mashirika na Makampuni yaaswa kutumia sehemu ya faida wanayopata kusaidia Huduma za AFYA

image Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam(CBE) Prof.Emanuel Mjema(kushoto) akizungumza na viongozi  na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Kisarawe leo  kabla ya kukabidhi msaada wa  shuka 176 kusaidia wodi ya Wazazi ya hospitali hiyo.

Aron Msigwa -MAELEZO. [Kisarawe, PWANI]. Wito umetolewa kwa Taasisi, mashirika na makampuni kote nchini kujenga utamaduni  wa kutumia sehemu ya faida wanayoipata katika kuisaidia jamii kupitia sekta ya afya ambayo inakabiliwa na changamoto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani