Hakuna kanuni za kumvua uongozi Ngeleja-Blandes
MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, Gosbert Blandes amesema kuwa, hakuna kanuni za bunge zinazoruhusu kumwondoa Mwenyekiti wa kamati hiyo, William Ngeleja kama ambavyo maazimio nane ya bunge yalivyoelekeza kuadhibiwa kwa wenyeviti waliotajwa katika kashfa za kutafuna Sh bilioni 307 za akaunti ya Escrow.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Ngeleja: Uongozi si hati miliki
MAFANIKIO ni jambo la kujivunia kwa mwanasiasa yeyote aliyekabidhiwa dhamana ya uongozi wa taifa lolote lenye kiu ya kupiga hatua kubwa za kimaendeleo pamoja na kuboresha maisha ya wananchi wake....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4dh6rwIpda91DvGLHF7BNxQWIJFFMvSabwuSSzGOmqSBhQolOQCXr6DIc6-BYEBvv*AO6loXZmFf3*SoiUbBst9/philip_mangula.jpg?width=600)
MANGULA AWATAKA VIONGOZI WA MATAWI KUSIMAMIA IPASAVYO KANUNI ZA UCHAGUZI, UONGOZI NA MAADILI
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
NAPE: Hakuna mgombea atakayepitishwa CCM kwa presha za makundi, ni kwa kukidhi vigezo vya kanuni na katiba za chama tu
NA BASHIR NKOROMO
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Owenya ambwaga Komu, Machemli achemka, Blandes abwaga ubunge
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Matatani kwa kumvua nguo mwanamke Kenya
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Spika: Sijapokea barua ya kumvua Zitto ubunge.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Makinda-18March2015.jpg)
Spika Makinda aliwaambia waandishi wa habari nje ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana kuwa ofisi yake haiwezi...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya
10 years ago
GPLMABOSI LAKE OIL WADAIWA KUMVUA NGUO MFANYAKAZI