HAKUNA MAMLAKA ZINAZORUHUSIWA KUWAPIMA WANAFUNZI WA KIKE UJAUZITO - DKT. AKWILAPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-MuldpTzID6E/XmZBQcg-dAI/AAAAAAALiQM/Es2SM0nRC6wG_xv6u5aVLpTTTTd8dgmawCLcBGAsYHQ/s72-c/4o3a3464-630x420.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
KUFUATIA taarifa zinazozunguka katika mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na upimwaji wa ujauzito kwa wanafunzi wa kike shuleni Wizara ya Elimu imetoa tamko la ufafanuzi kuhusiana na jambo hilo kwa kueleza kuwa taarifa hiyo sio rasmi kutoka Wizarani.
Taarifa iliyotolewa na Katibu mkuu wa Wizara ya Elimu Dkt. Leonard Akwilapo imeeleza kuwa hakuna sera au utaratibu unaoruhusu wakuu wa shule au mamlaka zozote zinazoruhusiwa kuwapima wanafunzi wa kike...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI TAULO ZA KIKE 'PEDI' ZA MIL 7.8 KWA WANAFUNZI WA KIKE DARASA LA SABA 2020 Inbox x
Na Kadama Malunde - Malunde 1 bogMbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi Taulo laini za kike ‘Pedi’ zinazofuliwa zenye thamani ya shilingi milioni 7.7 zilizotokana na mchango wake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani...
10 years ago
MichuziSEREKALI YATAKIWA KUTOWAFUKUZA WATOTO WA KIKE WENYE UJAUZITO MASHULENI
Serikali imetakiwa kutazama upya uwezekano wa kubadili sheria inayomnyima haki ya kuendelea na masomo mwanafunzi wa kike pindi anapopata ujauzito akiwa shuleni.
Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa wiki na Afisa elimu taaluma ,mkoa wa Arusha,Kabesi katundu Kabeja wakati akifungua mkutano wa siku mbili wa umoja wa wakuu wa shule za msingi kutoka nchi ya Kenya uliofanyika katika hotel ya Leons iliyopo Sakina kwa Idi ,jijini hapa,ambapo walimu zaidi ya 1000...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Wanafunzi wenye ulemavu wapata ujauzito Geita
10 years ago
CloudsFM29 Oct
WANAFUNZI WENYE ULEMAVU WA AKILI WAPATA UJAUZITO GEITA
Wanafunzi watatu ambao ni walemavu wa akili wanaosoma Shule Maalumu ya Msingi Mbugani, Halmashauri ya Mji Geita wamekatiza masomo baada ya kubakwa na kupata mimba.
Wanafunzi hao wameacha masomo tangu mwanzoni mwa mwaka huu kwa sababu ya ujauzito, baada ya kubakwa na watu wasiojulikana wakiwa njiani kwenda shule.
Akizungumza ofisini kwake juzi, Mwalimu Mkuu Kitengo cha Wanafunzi Walemavu, Mtawa Blacia Mghamba alisema wanafunzi hao wamefanyiwa vitendo hiyo kutokana na shule hiyo kutokuwa na...
10 years ago
Vijimambo19 Feb
HAKUNA WASICHOWEZA NI MRADI UNAOLETA MATUMAINI MAPYA KWA WATOTO WA KIKE-MASHULENIâ€
![](http://api.ning.com/files/Xl7BOeGlGv*0H2eBOTOfQUF39gWoYuDoV2rXjwM4MOqSK87iXeKjGa0ZF2*BuRh7cpoL1jjeixf9bTZG1MCcBejXH1xjeoeh/pictureno10.jpg)
![](http://api.ning.com/files/Xl7BOeGlGv*VCd6ErvCy98njWKdI2Q1YTmEUGBLwOqhvpmdDXEM-yMpkzZJtRS6-zhWkGRWFUNmiYS9Xd-L9*XejunUj8zgY/pictureno1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv*0H2eBOTOfQUF39gWoYuDoV2rXjwM4MOqSK87iXeKjGa0ZF2*BuRh7cpoL1jjeixf9bTZG1MCcBejXH1xjeoeh/pictureno10.jpg)
HAKUNA WASICHOWEZA NI MRADI UNAOLETA MATUMAINI MAPYA KWA WATOTO WA KIKE-MASHULENI
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Wanafunzi wa kike watakiwa kujitambua
WANAFUNZI wa kike nchini wametakiwa kujitambua pindi wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao shuleni kwa ajili ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowakabili katika kufikia malengo ya kielimu. Kauli hiyo ilitolewa juzi na...
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Moto wateketeza bweni la wanafunzi wa kike Dar