Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAKUNA MAMLAKA ZINAZORUHUSIWA KUWAPIMA WANAFUNZI WA KIKE UJAUZITO - DKT. AKWILAPO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

KUFUATIA taarifa zinazozunguka katika mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusiana na upimwaji wa ujauzito kwa wanafunzi wa kike shuleni Wizara ya Elimu imetoa tamko la ufafanuzi kuhusiana na jambo hilo kwa kueleza kuwa taarifa hiyo sio rasmi kutoka Wizarani.

Taarifa iliyotolewa na Katibu mkuu wa Wizara ya Elimu Dkt. Leonard Akwilapo imeeleza kuwa hakuna sera au utaratibu unaoruhusu wakuu wa shule au mamlaka zozote zinazoruhusiwa kuwapima wanafunzi wa kike...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI TAULO ZA KIKE 'PEDI' ZA MIL 7.8 KWA WANAFUNZI WA KIKE DARASA LA SABA 2020 Inbox x

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) akiwa ameshikilia Taulo laini za kike na wanafunzi wanaosoma darasa la saba katika shule mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 bogMbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi Taulo laini za kike ‘Pedi’ zinazofuliwa zenye thamani ya shilingi milioni 7.7 zilizotokana na mchango wake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

SEREKALI YATAKIWA KUTOWAFUKUZA WATOTO WA KIKE WENYE UJAUZITO MASHULENI

Na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii, Arusha
Serikali imetakiwa kutazama upya uwezekano wa kubadili sheria inayomnyima haki ya kuendelea na masomo mwanafunzi wa kike pindi anapopata ujauzito akiwa shuleni.
Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa wiki na Afisa elimu taaluma ,mkoa wa Arusha,Kabesi katundu Kabeja wakati akifungua mkutano wa siku mbili wa umoja wa wakuu wa shule za msingi kutoka nchi ya Kenya uliofanyika katika hotel ya Leons iliyopo Sakina kwa Idi ,jijini hapa,ambapo walimu zaidi ya 1000...

 

5 years ago

Michuzi

ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI

Naibu Katibu Mkuu Tamisemi anayeshughulikia Elimu, Gerald Mweli akitoa ripoti ya kurejea shuleni kwa wanafunzi wa kidato cha sita.
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi wenye ulemavu wapata ujauzito Geita

Wanafunzi watatu ambao ni walemavu wa akili wanaosoma Shule Maalumu ya Msingi Mbugani, Halmashauri ya Mji Geita wamekatiza masomo baada ya kubakwa na kupata mimba.

 

10 years ago

CloudsFM

WANAFUNZI WENYE ULEMAVU WA AKILI WAPATA UJAUZITO GEITA

Wanafunzi watatu ambao ni walemavu wa akili wanaosoma Shule Maalumu ya Msingi Mbugani, Halmashauri ya Mji Geita wamekatiza masomo baada ya kubakwa na kupata mimba.
Wanafunzi hao wameacha masomo tangu mwanzoni mwa mwaka huu kwa sababu ya ujauzito, baada ya kubakwa na watu wasiojulikana wakiwa njiani kwenda shule.

Akizungumza ofisini kwake juzi, Mwalimu Mkuu Kitengo cha Wanafunzi Walemavu, Mtawa Blacia Mghamba alisema wanafunzi hao wamefanyiwa vitendo hiyo kutokana na shule hiyo kutokuwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA WASICHOWEZA NI MRADI UNAOLETA MATUMAINI MAPYA KWA WATOTO WA KIKE-MASHULENI‏

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya Mwenge iliyopo mkoani Lindi wakifurahia baada ya kugawia pedi za kujikinga wanapokuwa kwenye hedhi .Mpango kwa kuwagawia wasichana pedi na kuwapatia elimu ya Afya na uzazi uko chini ya mradi wa Hakuna Wasichoweza unaoendeshwa na taasisi ya T-Marc na kudhaminiwa na USAID na Vodacom Foundation na unawalenga wanafunzi waliopo mashuleni na wasio mashuleni zoezi hili limeanza kufanyika katika mikoa ya Lindi na Mtwara.Wanafunzi wa shule ya msingi ya...

 

10 years ago

GPL

HAKUNA WASICHOWEZA NI MRADI UNAOLETA MATUMAINI MAPYA KWA WATOTO WA KIKE-MASHULENI‏

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya Mwenge iliyopo mkoani Lindi  wakifurahia baada ya kugawia pedi za kujikinga wanapokuwa kwenye hedhi .Mpango kwa kuwagawia wasichana pedi na kuwapatia elimu ya Afya na uzazi uko chini ya mradi wa Hakuna Wasichoweza unaoendeshwa na taasisi ya T-Marc na kudhaminiwa na USAID na Vodacom Foundation na unawalenga wanafunzi waliopo mashuleni na wasio mashuleni zoezi hili limeanza kufanyika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wa kike watakiwa kujitambua

WANAFUNZI wa kike nchini wametakiwa kujitambua pindi wanapokuwa wanatekeleza majukumu yao shuleni kwa ajili ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowakabili katika kufikia malengo ya kielimu. Kauli hiyo ilitolewa juzi na...

 

10 years ago

Mwananchi

Moto wateketeza bweni la wanafunzi wa kike Dar

Jengo  la ‘Block B’  la Hostel za Mabibo,  za wanafunzi wa kike wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), jijini hapa limeungua kwa moto na kuteketeza vifaa na mali kadhaa  za wanafunzi waliokuwa wakiishi kwenye jengo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani