Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hakuna Mungu kama wewe (c)BaylorMensChoir University of Baylor "Flash Mob 2014"

Haki zote za video zinamilikiwa (c) BaylorMensChoir University of Baylor 


Ibada ya Kiswahili Maalum ya Mavuno – Jumamosi, Novemba 29, 2014 * Hakuna Mungu kama wewe!** Mshukuruni Mungu kwa yote! *
Usikose Ibada ya Mavuno Jumamosi Novemba 29, 2014 Karibu na Umkaribishe Rafiki!!!

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAMA WEWE UMEJIFUNGUA SALAMA, MTOTO WAKO NI MZIMA MSHUKURU MUNGU

Makala Makongoro Oging’
DUNIANI kuna mengi kiasi kwamba kama mama  umebeba ujauzito kwa miezi tisa na kujifungua mtoto salama na mtoto wako ni mzima unapaswa kumshukuru Mungu kwani kuna watu ambao wanapata usingizi wa mang’amung’amu kutokana na mateso ya watoto wao. Mtoto Godwin Florence Rweyemamu (3) akilia kwa maumivu anayoyapata. Mtoto Godwin Florence Rweyemamu (3), mkazi wa Kijiji cha Kamala, Kata...

 

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

10 years ago

Africanjam.Com

TECHNOLOGY: HOW TO MAKE A FLASH DISK BOOTABLE (FORMAT USING FLASH DRIVE)

Tweet

METHOD 1: 

A bootable USB flash drive can be a pretty useful tool when diagnosing a computer. Luckily, they're easy to make and easy to use. Check out this guide for a complete walkthrough.

Decide on the purpose of your flash drive. An often-used tool is the MS-DOS bootable drive. Booting to MS-DOS will allow you to troubleshoot older Windows installations, as well as run a variety of diagnostic and repair tools. To create an MS-DOS bootable flash drive, you will need a blank flash drive,...

 

11 years ago

CloudsFM

Kama wewe upo Kahama hii inakuhusu...

HIVI NI BAADHI YA VITUO VINAVYOUZA TIKETI ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA KUANZIA MUDA HUU:
Uwanjani kutakuwa na gari moja, Bijampora kutakuwa na gari moja, Fantoni kutakuwa na gari moja, Stendi kuu kutakuwa na gari moja, Galaxy/Social/Chila kutakuwa na gari moja.

TAADHARI:
Kinywaji cha aina yeyote ile kutoka nje ya eneo la uwanja wa kahama hakitaruhusiwa kuingia.. Huduma ya chakula na vinywaji kutoka Serengeti Breweries Limited vitapatikana kwa wingi.

Pia yeyote mwenye umri chini ya miaka 18...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kama Wewe ni Mwanandoa, Usome Hapa Uchunguzi wa JB

Kuna mabadiliko makubwa mwanaume anayapata akifika umri wa miaka 40.nazungumzia kupevuka kwa akili,maamuzi yenye hekima,busara ,uvumilivu n.k.katika uchunguzi wangu ndoa nyingi zenye wanaume chini ya umri wa40 zina misuko suko sana. nawashauri wanawake wawavumilie wanaume hawa kwani baada ya muda wanakuwa bora zaidi....Maoni

Jacob Stephen ‘@jb_jerusalemfilms’ on Instagram

 

10 years ago

Vijimambo

SIDHANI KAMA SHIDA NI SUTI AU WEWE UNASEMAJE?

The suit wasn't the problem, it was the lack of attention to detail, he may do the same thing which  is the no one does.

 

10 years ago

Bongo Movies

Kama Wewe ni Shabiki wa Kitale, Ana Jambo Hapa

Kuna watu bwana akili zao sijui hata zipoje.?? eti mtu ananitumia sms anadai kwamba kutokana na unavyoigiza kama mtumiaji wa madawa ya kilevya ( TEJA ) Acha kwa sababu watoto wetu mtaani wanakuiga matokeo yake wanakuwa mateja kweli.....Ebu jamani nisaidieni watu kama hawa wanaonitumia sms za namna hii mimi niwajibu vipi???

-Kitale

Chanzo: Mkudesimbaoriginal “Kitale Raisi wa Mateja”via Instagram

 

9 years ago

Global Publishers

Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa

Oprah-Winfrey3OPRAH WINFREY.

Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.

Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”

Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani