HAKUNA SULUHU NJE YA NDOA, HUO NI...
![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqqaXsa0kAzPBuD2VV6UiHeitfqaUfMfml1anpkfpUnLjVJBAY60hzIDUzPxFEQHsZJgxwnzNNVBavXIjHCaJDYq/LOVE3.jpg)
Heyaheya, acha nicheke miye kwani sidaiwi na mtu, navuta hewa ya bure ya nini kujibana, najiachia nitakavyo. Kama hewa ingekuwa inauzwa kama luku mbona wengi tungepumua kwa mahesabu kama wagonjwa wa pumu. Ushaanza kusema nina maneno mengi kama vile nimebemendwa, aiiih! Jamani mbona hivyo? Kwani kucheka ni kwa wenye meno tu na siye wenye mapengo tusicheke? Tuvumiliane basi mate yakiwarukia muone kama pafyumu. Ushaanza maswali...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s72-c/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
"Muumbaji wa ndoa ni Mungu peke yake............Hakuna mwalimu wa ndoa hapa duniani" - Tumaini Kilangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s640/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq--rRXlKjKxGC*IQVPLL0LfT9s7h8wVhh9JmxkrwEjfugVI2eyAADbIWjAvHJQysSFizNofX87RJwjAxMhqFAQY/MUHIMBI.jpg)
MUHIMBILI VIFO NJE NJE KISA DAWA HAKUNA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshashuhudia magomvi makubwa misibani lakini pia tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali za marehemu ambaye familia yake ni ya watoto wanatokana na mama tofauti. Kutokana na hayo kuna umuhimu mkubwa wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TJP9R5X7WnduUic2Arb8YLrOHu-LM0R*K*di9fYcfEk8SRHi7c8xX9pVcQDjqjIiM5q8AJAt-elRB*mZ79evJ4LdS9i8GFZu/Kiba.jpg)
JOKATE, KIBA HAKUNA NDOA!
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Askofu Gwajima: Bila mshenga hakuna ndoa
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amesema tabia ya baadhi ya watu kumuita majina mengi ikiwa ni pamoja na ‘mshenga’, ni kielelezo dhairi kuwa sasa ni wakati wa mabadiliko na kwamba bila mshenga ndoa haiwezi kuwapo.
Askofu Gwajima aliyasema hayo jana kwenye Ibada iliyofanyika kwenye kanisa la Ufufuo na uzima lililopo Ubungo.
Matamshi hayo ameyatoa ikiwa imepita takribani wiki moja tangu aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhxPUoNNSpujqjFUJEo9X4NS3cwyw0yqtr*OTkBTGqB8*hO0IK18OeGo8HQhxFymh8OvTAo2pePNSSjQh*rTaHih/auntycopy.jpg)
AUNT:NI KWELI NIMEZAA NJE YA NDOA!
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SDyAhv-LsgU/VMCW9tzSRyI/AAAAAAAAAO4/GdMmiguYC2U/s72-c/mwizi.jpg)
Dalili za mwanamke anayetoka nje ya ndoa
![](http://4.bp.blogspot.com/-SDyAhv-LsgU/VMCW9tzSRyI/AAAAAAAAAO4/GdMmiguYC2U/s640/mwizi.jpg)
Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko ilivyo kwa mwanaume.
Hii inatokana na ukweli kwamba, hisia zinakuwa na nafasi kubwa sana kwa mwanamke, kwani mwanamke huishi kwa hisia zaidi kuliko mwanaume. Bado nasisitiza kwamba, haipaswi na siyo sahihi mtu kuchukulia dalili hizi kama ushahidi wa mpenzi wake kutoka nje ya ndoa. Uchunguzi wa kina kufuatia dalili hizi ni muhimu sana.
Zifuatazo hapa chini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR5B4hORtV5ZdhXZGlMbK47g1an-AsQWNDmukear9dG2u5xy0-KiOr6Fqyj8GfaLDhUKSCYHij6urv9cjRJgdq-*/8989.gif)
THEA AFURAHIA MAISHA NJE YA NDOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q31iKwkRDgw1-pD-w7Vbiv4GpWlK9pWQhXvCwW803*Gbi1zjjccmOUOunnkOuZIo6QBmgTRRgvVv6SJVBlc0fVe/kabula.jpg?width=650)
JINI SIZAI TENA NJE YA NDOA