Askofu Gwajima: Bila mshenga hakuna ndoa
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amesema tabia ya baadhi ya watu kumuita majina mengi ikiwa ni pamoja na ‘mshenga’, ni kielelezo dhairi kuwa sasa ni wakati wa mabadiliko na kwamba bila mshenga ndoa haiwezi kuwapo.
Askofu Gwajima aliyasema hayo jana kwenye Ibada iliyofanyika kwenye kanisa la Ufufuo na uzima lililopo Ubungo.
Matamshi hayo ameyatoa ikiwa imepita takribani wiki moja tangu aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s72-c/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
"Muumbaji wa ndoa ni Mungu peke yake............Hakuna mwalimu wa ndoa hapa duniani" - Tumaini Kilangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s640/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
10 years ago
Habarileo27 Mar
Polisi wamsaka Askofu Gwajima
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam wamefungua jalada la uchunguzi dhidi ya tuhuma za Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima za tuhuma za kumkashifu Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki, Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo.
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Sura mbili za Askofu Gwajima
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
SIKU chache baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kukamatwa na kuhojiwa na polisi na hatimaye kuzimia, utata mpya umeibuka juu ya kiongozi huyo wa kiroho.
Utata huo unahusu uraia, historia yake, utajiri na umiliki wa silaha ambayo Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linadai haina kibali huku yeye akidai ana vibali vyote.
Hali hiyo imeibuka huku nyuma ya pazia kukiwa na sintofahamu juu ya hatima yake.
Ingawa Askofu Gwajima,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ68nflh*yi*KOkfEZovvvUmYktR6Vd4*dRitkb*zQqvHoae7HYp4Iq2Xfu5inz5-F4V6UVwhCnPnOaBlWRT20H-9/Gwajima.jpg?width=650)
KILICHOMPONZA ASKOFU GWAJIMA CHAJULIKANA
10 years ago
Habarileo12 Apr
Askofu Gwajima ajipalia makaa
HATUA ya mawakili wa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, kutengeneza ubishi wa kisheria katika agizo la Polisi la kuwasilisha nyaraka za mali za Askofu huyo, imeelezwa kuwa ni ukaidi ambao hautamsaidia kisheria.
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Askofu Gwajima taabani polisi
NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
HALI ya afya ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, imebadilika ghafla baada ya kushindwa kupanda ngazi katika ofisi za Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam jana.
Askofu Gwajima alifika kituoni hapo saa 2 asubuhi akiwa ameongozana na maaskofu zaidi ya watano.
Katika hali ya kushangaza, wakati akipanda ngazi kuelekea kwa Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, alifanikiwa kupanda mbili, lakini alipojaribu ya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
Tenesco yamshtaki Askofu Gwajima Polisi
Askofu Josephat Gwajima Imeandikwa na Theopista Nsanzugwanko Imechapishwa: 04 Septemba 2015 Askofu Josephat Gwajima SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limelishtaki Polisi Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima kutokana na kuharibu miundombinu ya […]
The post Tenesco yamshtaki Askofu Gwajima Polisi appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Kardinali Pengo amjibu Askofu Gwajima
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Askofu Gwajima sasa aja kivingine