Hali ya Devota yaanza kuimarika
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Morogoro, Dk Ritha Lyamuya amesema hali ya mtoto Devotha Malole aliyefichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa miaka mitano inaimarika na kwamba bado anapatiwa matibabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
UJAUZITO WIKI YA 17: Mifupa ya mtoto yaanza kuimarika
KATIKA wiki ya 17 ya ujauzito, mwili wa mtoto unazidi kuimarika na jambo kubwa ambalo linatokea katika wiki hii ni kuzidi kuimarika kwa mifupa yake. Mifupa inabadilika kutoka kuwa ile...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MD5miWszXmUUV5-haG6xFM7unaEqQjRT7tdNq-NxnDpP8Vf4OAmZURgfiFqmLJMpO*lNzld8Rnw4e7qJ6OxdnvO/figo.jpg?width=650)
HALI YA PELE YAZIDI KUIMARIKA BAADA YA UPASUAJI WA TEZI DUME
AFYA ya aliyekuwa staa wa timu ya taifa ya Brazil, Pele inazidi kuimarika baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume katika Hospitali ya Albert Einstein mjini Sao Paulo nchini Brazil. Hospitali hiyo imeeleza kuwa Pele mwenye umri wa miaka 74 anaendelea vizuri baada ya upasuaji huo uliofanyika wiki hii. Pele aliwahi kulazwa katika hospitali hiyo takriban miezi sita iliyopita kwa upasuaji wa dharura ili kuondoa mawe katika figo...
10 years ago
VijimamboAskofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hali ya afya yake inaendelea kuimarika
Na Goodluck Eliona, Mwananchi Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.Akizungumza kwenye Misa Takatifu ya Mavuno na shukurani kwa jimbo hilo, iliyofanyika jana Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, Pengo alisema ameamua kuitumia siku...
10 years ago
MichuziHALI YA HEWA YA ZAMANI YAANZA KUREJEA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0tgc1YEj-j6AE7o992JRSOEQx1UgitCClClkkwXXPbt*0Gmbjs9AgI8gGM0uwqLirqK*5rnBxCKjP3u5Y8UK8U-A/devota.jpg)
UTAJIRI WA DEVOTA WAWASHTUA WASANII
Stori: Mayasa Mariwata Â
MSHANGAO! Baadhi ya wasanii wa Klabu ya Bongo Movie Unity wamejikuta wakipigwa butwaa baada ya kutinga nyumbani kwa staa mwenzao, Devota Mbaga ambaye ni katibu wa klabu hiyo na kukuta akiishi maisha ya kifahari. Katibu wa klabu ya Bongo Muvi, Devota Mbaga. Akipiga stori na gazeti hili, mmoja wa wasanii ambao walitia timu nyumbani kwa msanii huyo, Kigamboni, Dar ambaye hakuwa tayari jina lake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdMzhBeRYFR9poVo4vnNIQprI0*FQgwova6UF*3uj9ntT9chGLiZW8mhyY2BOTmGviEbCCEL3mAjmFiWNq0nckw8/devotha7.jpg)
DEVOTA MBIONI KURITHI MIKOBA YA MTITU
Na Gladness Mallya
BAADA ya hivi karibuni Katibu wa Bongo Movie Unity, William Mtitu kutangaza kujiuzulu na kuiacha nafasi hiyo wazi, Katibu Msaidizi, Devota Mbaga amefunguka kuwa anajiandaa kushika nafasi na kwamba kujiuzulu kwake hakusaidii chochote kwani wanachama wanahitaji fedha. Staa katika tasnia ya filamu Bongo, Devota Mbaga. Akistorisha na paparazi wetu Devota alisema hatua ya Mtitu kujiuzulu haisaidii kitu,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzdof8YY-0h7GHomJCsAPY-Z37QZQraob3MQE*6NTGIMa53ETdXfbTBwnHabXcun35r1uw*uPj8TjzU0P*yb6dfd/kuambiana.jpg)
DEVOTA AWAKUMBUKA MZEE SMALL, KUAMBIANA
Stori: Rhoda Josiah WAKATI wasanii mbalimbali wakijumuika pamoja katika kisomo cha kuwakumbuka marehemu kilichotayarishwa na Bongo Movie jijini Dar juzikati, mdada anayefanya poa kwenye anga la filamu, Devota Mbaga, amejikuta kwenye simanzi nzito akiwakumbuka Mzee Small na Adam Kuambiana, akisema walikuwa watu wake wa karibu aliotoka nao mbali. Mdada anayefanya poa kwenye anga la filamu, Devota Mbaga. “Siku ya leo ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkyGkMUeUeijZWrTtJw1F2cID-TNfIFYBR*9nstmoMDdT6havSQXPlTaI-gg*DX6FQf1I5UDHtKoEJDyKlkJaH*G/DEVO2.jpg)
DEVOTA ACHEKELEA OFISI BONGO MOVIE
Stori: mayasa mariwata MUIGIZAJI wa filamu nchini, ambaye ni Katibu wa klabu ya Bongo Movie Unity, Devota Mbaga amesema amefurahi sana kuona kundi lao likipata ofisi za kuendeshea kazi zao. Muigizaaji wa filamu nchini, ambaye ni Katibu wa klabu ya Bongo Movie Unity, Devota Mbaga (kushoto pichani). Akipiga stori na paparazi wetu, alisema kwa kipindi kirefu klabu hiyo haikuwa na ofisi hivyo akiwa kama kiongozi muda wote aliumiza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0YmIMYwp237o6uEuLoFwHEhk49Qd28p8LiQDtQxw*pbiJ-JhV-XjarlzfjVzxCikR8J1PTEtmFLjBvYppPTRGkox/devota.jpg?width=650)
MIAKA 20 YA NDOA, DEVOTA AZAWADIWA GARI
Stori: Hamida Hassan Katibu Msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devota Mbaga amezawadiwa gari aina ya Toyota Harrier Lexus na mumewe aliyemtaja kwa jina la Mr. Mbaga baada ya kudumu katika ndoa kwa muda wa miaka 20. Devota Mbaga Akizungumza na Ijumaa, Devota alisema anamshukuru Mungu kwa kukaa katika ndoa yake kwa amani na hatimaye kutimiza miaka hiyo kwani ni wachache wanaotimiza umri huo.… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania