Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEVOTA MBIONI KURITHI MIKOBA YA MTITU

Na Gladness Mallya
BAADA ya hivi karibuni Katibu wa Bongo Movie Unity, William Mtitu kutangaza kujiuzulu na kuiacha nafasi hiyo wazi, Katibu Msaidizi, Devota Mbaga amefunguka kuwa anajiandaa kushika nafasi na kwamba kujiuzulu kwake hakusaidii chochote kwani wanachama wanahitaji fedha. Staa katika tasnia ya filamu Bongo, Devota Mbaga. Akistorisha na paparazi wetu Devota alisema hatua ya Mtitu kujiuzulu haisaidii kitu,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Jadon Sancho: Je mchezaji huyu ana kipaji cha kurithi mikoba ya Messi

Jadon Sancho ana sifa zinazofanana na za Lionel Messi, lakini anaweza kufikia kiwango cha mshambuliaji huyo wae Barcelona?

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kurithi ardhi kwa kutumia sheria

Kurithi ni njia ambayo ni ya zamani zaidi kuliko njia zote za upatikanaji wa ardhi. Kurithi kumeanza enzi za mababu mpaka leo kupo.

 

11 years ago

GPL

UTAJIRI WA DEVOTA WAWASHTUA WASANII

Stori: Mayasa Mariwata  
MSHANGAO! Baadhi ya wasanii wa Klabu ya Bongo Movie Unity wamejikuta wakipigwa butwaa baada ya kutinga nyumbani kwa staa mwenzao, Devota Mbaga ambaye ni katibu wa klabu hiyo na kukuta akiishi maisha ya kifahari. Katibu wa klabu ya Bongo Muvi, Devota Mbaga. Akipiga stori na gazeti hili, mmoja wa wasanii ambao walitia timu nyumbani kwa msanii huyo, Kigamboni, Dar ambaye hakuwa tayari jina lake...

 

11 years ago

Mwananchi

Hali ya Devota yaanza kuimarika

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Morogoro, Dk Ritha Lyamuya amesema hali ya mtoto Devotha Malole aliyefichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa miaka mitano inaimarika na kwamba bado anapatiwa matibabu.

 

11 years ago

GPL

DEVOTA ACHEKELEA OFISI BONGO MOVIE

Stori: mayasa mariwata MUIGIZAJI wa filamu nchini, ambaye ni Katibu wa klabu ya Bongo Movie Unity, Devota Mbaga amesema amefurahi sana kuona kundi lao likipata ofisi za kuendeshea kazi zao. Muigizaaji wa filamu nchini, ambaye ni Katibu wa klabu ya Bongo Movie Unity, Devota Mbaga (kushoto pichani). Akipiga stori na paparazi wetu, alisema kwa kipindi kirefu klabu hiyo haikuwa na ofisi hivyo akiwa kama kiongozi muda wote aliumiza...

 

10 years ago

GPL

DEVOTA AWAKUMBUKA MZEE SMALL, KUAMBIANA

Stori: Rhoda Josiah WAKATI wasanii mbalimbali wakijumuika pamoja katika kisomo cha kuwakumbuka marehemu kilichotayarishwa na Bongo Movie jijini Dar juzikati, mdada anayefanya poa kwenye anga la filamu, Devota Mbaga, amejikuta kwenye simanzi nzito akiwakumbuka Mzee Small na Adam Kuambiana, akisema walikuwa watu wake wa karibu aliotoka nao mbali. Mdada anayefanya poa kwenye anga la filamu, Devota Mbaga. “Siku ya leo ni...

 

11 years ago

GPL

MIAKA 20 YA NDOA, DEVOTA AZAWADIWA GARI

Stori: Hamida Hassan Katibu Msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devota Mbaga amezawadiwa gari aina ya Toyota Harrier Lexus na mumewe aliyemtaja kwa jina la Mr. Mbaga baada ya kudumu katika ndoa kwa muda wa miaka 20. Devota Mbaga Akizungumza na Ijumaa, Devota alisema anamshukuru Mungu kwa kukaa katika ndoa yake kwa amani na hatimaye kutimiza miaka hiyo kwani ni wachache wanaotimiza umri huo.… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wananchi wa Handeni wampinga Omari Kigoda kurithi jimbo la Baba yake

Omari Kigoda

                                                                                 Omari Kigoda

[TANZANIA]  Baadhi ya wanachama  Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Handeni  Mkoani Tanga pamoja na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo wamesikitishwa kwa hatua ya Chama hicho kumpitisha Omari Kigoda (pichani) kuwania Ubunge ndani ya CCM  katika kinyang’anyiro cha kuziba  nafasi iliyoachwa wazi kufuatia kifo cha Baba yake mzazi marehemu Dkt. Abdallah Kigoda.

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani