Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hamilton ashinda tena huko Russia

Dereva wa Mercedes Lewis Hamilton aliibuka mshindi wa mkumbo wa Russia wa mbio za magari ya langalanga

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hamilton mshindi wa Russia Grand Prix.

Dereva wa mashindano ya mbio za magari langa langa Lewis Hamilton ameshinda huko Urusi katika Russia Grand Prix.

 

9 years ago

BBCSwahili

Lewis Hamilton ashinda langalanga Japan

Lewis Hamilton amejitetea baada ya kumpiku Nico Rosberg kwenye kona hatari katika mbio za magari ya langalanga ya Japan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Lewis Hamilton ashinda taji la Japan GP

Dereva wa magari yaendayo kasi Lewis Hamilton ameshinda michuano ya Suzuki na kutwaa taji la 41 katika mchezo huo

 

9 years ago

Bongo5

Hamilton ashinda mbio za ‘Russian Grand Prix’

Dereva wa Mercedes, Lewis Hamilton ameibuka mshindi wa mbio za Russian Grand Prix. Huo ni unakuwa ushindi wa tatu wa dunia. Hamilton alikuwa katika nafasi ya pili kuelekea dakika za mwisho mwisho za mashindano hayo kabla ya dereva mwenza wa Mercedes Nico Rosberg kukabiliwa na matatizo ya injini. Mjerumani Nico Rosberg alilazimika kuyaaga mashindano aliposhindwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Hamilton ashinda taji la tatu la mashindano ya United States Grand Prix

Dereva wa magari, Lewis Hamilton ameendelea kufanya vizuri na kung’ara zaidi msimu huu baada ya kutwaa taji katika michuano ya United States Grand Prix. Hamilton ameshinda michuano hiyo ya dunia na kutwaa taji lake la tatu kwa msimu huu wa michuano ya Formula 1. Hamilton ambaye ni dereva wa timu ya Mercedes, anakua Muingereza wa […]

 

10 years ago

Vijimambo

ALIYEJIBADILI JINSIA ASHINDA KESI HUKO KENYA

Audrey amekuwa akitaka baraza la mitihani kubadili jina lake na utambulisho wake wa kijinsia
Mwanamke aliyebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke na kutaka jina lake kubadilishwa kwenye cheti chake cha mtihani ameshinda kesi yake dhidi ya baraza la kitaifa la mitihani nchini Kenya.Mahakama imelazimisha baraza hilo kumpa Adrey Mbugua cheti kipya kinachoonyesha hali yake mpya ya kijinsia hasa kwa kuwa anapokea matibabu ya kufanikisha jinsia yake kubadilika kabisa.
Bi Mbugua alilishitaki...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ASHINDA TUZO ZINGINE ZA KIMATAIFA HUKO NCHINI JAMAICA.

Msanii wa Bongo Flavour ambae anaendelea kufanya Vizuri siku baada ya siku Diamond Platnumz ametangazwa mshindi kwenye Tuzo za Kimataifa za International Reggae and World Music Awards (IRAWMA) kwenye kipengele cha Nyimbo Bora ya Kiafrika kupitia Track yake ya MdogoMdogo, Tuzo hizo zilizofanyika huko nchini Jamaica siku ya tarehe 4 mwezi huu. Kupitia Mitandao wa kijamii diamond aliandika “It always seems impossible until it's Done!...ningependa kuwataarifu Wadau wangu kwamba...

 

10 years ago

GPL

BLATTER ASHINDA TENA URAIS WA FIFA

Sepp Blatter baada ya ushindi. Blatter akiwa na mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan. SEPP Blatter ameshinda tena Urais wa FIFA kwa awamu ya tano baada ya kumshinda mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan. Blatter amepata kura 133 dhidi ya 73 za mpinzani wake huyo katika raundi ya kwanza ya kinyang'anyiro hicho kilichofanyika nchini Uswizi leo licha ya kukumbwa na skendo za… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dilma Rousseff ashinda tena Urais Brazil

Rais wa Brazil Dilma Rousseff amechaguliwa tena kuiongoza nchi hiyo, katika uchaguzi uliojaa ushindani mkali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani