Hamilton ashinda tena huko Russia
Dereva wa Mercedes Lewis Hamilton aliibuka mshindi wa mkumbo wa Russia wa mbio za magari ya langalanga
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Hamilton mshindi wa Russia Grand Prix.
Dereva wa mashindano ya mbio za magari langa langa Lewis Hamilton ameshinda huko Urusi katika Russia Grand Prix.
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Lewis Hamilton ashinda langalanga Japan
Lewis Hamilton amejitetea baada ya kumpiku Nico Rosberg kwenye kona hatari katika mbio za magari ya langalanga ya Japan.
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Lewis Hamilton ashinda taji la Japan GP
Dereva wa magari yaendayo kasi Lewis Hamilton ameshinda michuano ya Suzuki na kutwaa taji la 41 katika mchezo huo
9 years ago
Bongo512 Oct
Hamilton ashinda mbio za ‘Russian Grand Prix’
Dereva wa Mercedes, Lewis Hamilton ameibuka mshindi wa mbio za Russian Grand Prix. Huo ni unakuwa ushindi wa tatu wa dunia. Hamilton alikuwa katika nafasi ya pili kuelekea dakika za mwisho mwisho za mashindano hayo kabla ya dereva mwenza wa Mercedes Nico Rosberg kukabiliwa na matatizo ya injini. Mjerumani Nico Rosberg alilazimika kuyaaga mashindano aliposhindwa […]
9 years ago
Bongo526 Oct
Hamilton ashinda taji la tatu la mashindano ya United States Grand Prix
Dereva wa magari, Lewis Hamilton ameendelea kufanya vizuri na kung’ara zaidi msimu huu baada ya kutwaa taji katika michuano ya United States Grand Prix. Hamilton ameshinda michuano hiyo ya dunia na kutwaa taji lake la tatu kwa msimu huu wa michuano ya Formula 1. Hamilton ambaye ni dereva wa timu ya Mercedes, anakua Muingereza wa […]
10 years ago
Vijimambo07 Oct
ALIYEJIBADILI JINSIA ASHINDA KESI HUKO KENYA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/07/141007152134_audrey_mbugua_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Mwanamke aliyebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke na kutaka jina lake kubadilishwa kwenye cheti chake cha mtihani ameshinda kesi yake dhidi ya baraza la kitaifa la mitihani nchini Kenya.Mahakama imelazimisha baraza hilo kumpa Adrey Mbugua cheti kipya kinachoonyesha hali yake mpya ya kijinsia hasa kwa kuwa anapokea matibabu ya kufanikisha jinsia yake kubadilika kabisa.
Bi Mbugua alilishitaki...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
DIAMOND ASHINDA TUZO ZINGINE ZA KIMATAIFA HUKO NCHINI JAMAICA.
![](http://api.ning.com/files/l4W8jVdh3X8S*AUa5JCXB7xviN1I-yMnMthFlca7XXqNnq-PlKQseq7rbwbtpt5RL79VefEWXuESPr4LVwzYfhKjKsxyOx7V/ddddd.jpg?width=750)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/949x2JmyntFVYZ*rc2MIUqed5zd-C9JG1P5uFRnyxXujE-lrDCanAoGXwOATBQP6lxHkAz-1-XmUZy1XoK9c3aGto-s7JPqe/blatter.jpg)
BLATTER ASHINDA TENA URAIS WA FIFA
Sepp Blatter baada ya ushindi. Blatter akiwa na mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan. SEPP Blatter ameshinda tena Urais wa FIFA kwa awamu ya tano baada ya kumshinda mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan. Blatter amepata kura 133 dhidi ya 73 za mpinzani wake huyo katika raundi ya kwanza ya kinyang'anyiro hicho kilichofanyika nchini Uswizi leo licha ya kukumbwa na skendo za… ...
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Dilma Rousseff ashinda tena Urais Brazil
Rais wa Brazil Dilma Rousseff amechaguliwa tena kuiongoza nchi hiyo, katika uchaguzi uliojaa ushindani mkali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania