DIAMOND ASHINDA TUZO ZINGINE ZA KIMATAIFA HUKO NCHINI JAMAICA.
Msanii wa Bongo Flavour ambae anaendelea kufanya Vizuri siku baada ya siku Diamond Platnumz ametangazwa mshindi kwenye Tuzo za Kimataifa za International Reggae and World Music Awards (IRAWMA) kwenye kipengele cha Nyimbo Bora ya Kiafrika kupitia Track yake ya MdogoMdogo, Tuzo hizo zilizofanyika huko nchini Jamaica siku ya tarehe 4 mwezi huu. Kupitia Mitandao wa kijamii diamond aliandika “It always seems impossible until it's Done!...ningependa kuwataarifu Wadau wangu kwamba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo515 Aug
Diamond Platnumz ashinda tuzo nyingine nchini Burundi
10 years ago
Bongo530 Sep
Diamond atajwa kuwania tuzo zingine Nigeria, ‘The African Entertainment Legend Awards’ (AELA)
11 years ago
Dewji Blog16 Jun
Obedi Laiser wa kampuni ya Tigo Tanzania ashinda tuzo ya kimataifa katika sherehe ya wafanyakazi Mjini Miami
Meneja wa Fedha na Usalama wa Tigo Pesa Bw. Obedi Laiser na viongozi wa Millicom nchini Marekani.
Tigo leo yamkaribisha nyumbani Tanzania, Bwana Obedi Laiser, baada ya kushinda tuzo ya mfanyakazi wa kimataifa katika tukio la kifahari wiki iliyopita mjini Miami,USA iliyoandialiwa na Milicom,Kampuni ya mawasiliano na vyombo vya Habari kutiko Uswizi ,inayo imiliki Tigo/Kampuni ambayo inamiliki Tigo.
Bwana Laiser aliteuliwa na Mkurugenzi mkuu wa Tigo Bwana Diego Gutierrez kwa kazi yake...
10 years ago
Bongo508 Dec
Diamond ashinda tuzo nyingine Nigeria ‘The Future Awards Africa’
10 years ago
Michuzi.jpg)
Diamond Platnumz alamba tuzo nyingine huko Nigeria
.jpg)

10 years ago
GPL
DIAMOND, VANESSA WASHINDA TUZO ZA 2014 AFRIMA HUKO NIGERIA
10 years ago
Bongo526 Oct
Diamond ashinda tuzo ya ‘Worldwide Act Africa/India’ kwenye MTV EMA
10 years ago
Vijimambo
DIAMOND ASHINDA TUZO YA BEST AFRICAN ENTERTAINER ..NIYA 14 NDANI YA MWAKA 2014 PEKEE
