Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hapa Real ‘BBC’, kule Barca ‘MNS’

>Miaka 85 ya uhasama, pambano la 261 baina ya Real Madrid na Barcelona ‘El Clasico’ leo kutashuhudiwa ushindani wa aina yake baina ya washambuliaji bora zaidi duniani kwa sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hapa Yanga, kule Azam hapatoshi

‘Cheche cheche... Simizi kambeba Tembo,’ huo ni wimbo utakaotawala leo kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro wakati kocha wa Yanga, Marcio Maximo atakapoonyesha kazi kijana wake Mecky Mexime wa Mtibwa Sugar.

 

9 years ago

Mwananchi

Hapa Ngoma, kule Tchetche hapatoshi

Baada ya mapumziko ya kupisha michezo ya kimataifa, Yanga itawakaribisha Azam Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa ikijivunia ubora wa safu ya ushambuliaji inayoongozwa na Mzimbabwe Donald Ngoma na Mrundi Ammis Tambwe.

 

9 years ago

Mwananchi

Miaka 85 ya uhasama Real, Barca

Ni miaka 85 tangu Real Madrid na Barcelona zikutane kwa mara ya kwanza katika mchezo baina yao, ambao umepewa jina la El- Clasico.

 

11 years ago

Mwananchi

Real, Barca, Atletico mtifuano

Bilbao imefunga mabao 15, huku wakishinda mechi 13 kwenye uwanja wao mpya wa San Mames

 

9 years ago

Mwananchi

Celta Vigo yazifuata Barca, Real kileleni

Celta Vigo imelingana pointi na Real Madrid na Barcelona katika kilele cha msimamo wa La Liga, shukrani zikienda kwa Nolito aliyefunga bao dakika ya mwisho ya mchezo katika ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Villarreal waliokuwa 10 uwanjani.

 

11 years ago

Mwananchi

Barca, Real, Atletico kikaangoni leo la liga

Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid zote zilipata ushindi mzuri katika Ligi ya Mabingwa katikati ya wiki, lakini leo na kesho watakuwa na kazi pevu katika La Liga.

 

11 years ago

Bongo Movies

Hatari tupu! Utajiri wa MSANJA MKANDAMIZAJI UNATISHA! Diamond, Jide tupa kule. Tazama hapa

UTAJIRI wa komediani maarufu nchini  Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi.

Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo wake.

HABARI MEZANI

Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti hili kama kidokezo, hapo mwandishi wetu akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo...

 

11 years ago

GPL

REAL MADRID WABEBA KOMBE LA MFALME,WAINYUKA BARCA

Mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo akiwa ameshika Kombe la Mfalme usiku wa kuamkia leo baada ya timu yake, Real Madrid kuifunga Barcelona Uwanja wa Mestalla mjini Valencia katika fainali. Ronaldo hakucheza sababu ya majeruhi. Ronaldo akimpongeza mfungaji wa bao la ushindi la Real , Gareth Bale katikati pamoja na kocha Msaidizi, Zinedine Zidane (kushoto). Kocha wa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani