HAPO ZAMANI,MIRAJI MALEWA AKIWA NA RAFIKI ZAKE.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo508 Sep
Video: Elani — Hapo Zamani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeClslFi0JtJgpqUPmE4VkLq0OJ5v3lLjZEMfjwy1apZpwsi-uy295rQ*bXkSacqmmU66ymBvp7n1D2cMpoS9HHS/redHANDED.jpg?width=650)
RED HANDED! NJEMBA AUVAA MTEGO AKIWA NA MKE WA RAFIKI YAKE GESTI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i9O4KpjmWQI/VNQHPzIKefI/AAAAAAAAX-c/R0nmmhEjIq4/s72-c/wema%2Bna%2Bommy%2Bd.jpg)
TATU ZA WEMA AKIWA NA ZILIZO WAVUTIA WENGI HAPO JANA HUKO INSTAGRAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-i9O4KpjmWQI/VNQHPzIKefI/AAAAAAAAX-c/R0nmmhEjIq4/s640/wema%2Bna%2Bommy%2Bd.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rsJUZshAy9g/VNQHQL6pCvI/AAAAAAAAX-g/slGegWHE-24/s640/wema%2Bsepetu%2Bna%2Bommy567.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dES0HBi7ssc/VNQHQE3gCNI/AAAAAAAAX-o/vBeONl4N1rE/s640/wema%2Bsepetuu780.jpg)
9 years ago
StarTV04 Jan
Mchezaji wa zamani wa Ivort Coast apatikana akiwa amefariki baada ya kupotea Â
Mwili wa mlinzi wa zamani wa timu ya Wigan Athletic ya England Steve Gohouri umepatikana kando ya mto Rhine Magharibu mwa mji wa Krefeld nchini Ujerumani.
Gohouri mchezaji wa kimataifa wa zamani wa Ivort Coast aliyechezea Wigani mechi 42 kati ya mwaka 2010 na 2012,alikwenda Paris kuitembelea familia yake lakini hakurudi na hakuonekana tena.
Desemba 12 mwaka uliopita Gohouri polisi iliripoti kupotea kwake baada ya kuhudhuria sherehe ya Krismass akiwa na klabu yake ya TSV Stetnbach ya...
10 years ago
Vijimambo07 May
EMMANUEL ADEBAYOR AWATOLEA UVIVU NDUGU ZAKE, AWATUMA UJUMBE MZITO KUPITIA FACEBOOK JITIRIRIKIE HAPO CHINI
![](http://api.ning.com/files/LDRZ*VdxUTHq6kh*YmWuM4XVW-X0fFUN6E5huDhEWkflZjcnopxdLB1rZHYF0SDzxmTgUEiOwAh4RYVvoUS*E1y1lpqlTHP9/adebayor.jpg)
Adebayor ameamua kuandika ujumbe mzito kwenye ukurasa wake wa Facebook akikana tuhuma ambazo amekuwa akitupiwa na ndugu zake huku akiweka wazi mambo yote mazuri aliyoitendea familia yake.
Staa huyo pia aliwahi kukana tuhuma alizotupiwa na dada yake kwamba alimfukuza mama yaka mzazi kwenye nyumba yake kwa tuhuma za ushirikina...
10 years ago
Bongo512 Mar
Matonya ataja sababu za kwanini ngoma zake hazihit kama zamani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k7T1dgUl1FaUrYffK49q*Ko93PJcj73QljORVTBKUidMRORyJqbXjd6QSgjHRUGemSIR-ptKSqZSaMjbnwsqO-O/davidop1602x903.jpg?width=650)
DAVIDO AELEZA ANAVYOCHANGANYA NYIMBO ZAKE AKIWA NJE
10 years ago
CloudsFM12 Dec
Stara Thomas afanya mahojiano na kipindi cha Leo Tena,kuachia albam ya ngoma zake za zamani
Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva,Stara Thomas akizungumza kwenye kipindi cha Leo Tena leo amezungumzia mambo mengi kuhusu muziki wake pia anatarajia kuachia albamu yake ya nyimbo zake zote za zamani hivi karibuni.
Stara akifanya mahojiano na mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena,Husna Abdul.
11 years ago
CloudsFM25 Jul
KIKONGWE AUAWA KWA KUCHARANGWA MAPANGA AKIWA NA WAJUKUU ZAKE WAWILI
Matukio ya mauaji ya wanawake vikongwe kutokana na ugomvi wa mashamba yameendelea kujitokeza mkoani Shinyanga ambapo huko katika kitongoji na kijiji cha Magwata kata ya Mwamalili katika manispaa ya Shinyanga,mwanamke aitwaye Sayi Nyenje(75) ameuawa kwa kukatwa mapanga shingoni na kiganjani akiwa amelala na wajukuu zake.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari kutoka wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga SAP Justus Kamugisha tukio hilo limetokea Julai 23,mwaka huu saa 11 alfajiri.
...