Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatari kwa usalama wa Ndovu

Mkutano wa kimataifa kuhusu masilahi ya wanyamapori, ulifanyika mjini London siku ya Alhamisi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

'Mvi hatari kwa usalama'

Hilo limejitokeza huko Kilifi Pwani ya Kenya ambako wazee wamekuwa wakiuawa na watu wasiojulikana kwa kisingizio kuwa ni wachawi.

 

9 years ago

BBCSwahili

US: Maneno ya Trump ni hatari kwa usalama

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema matamshi ya Donald Trump kwamba Waislamu wanafaa kuzuiwa kuingia Marekani ni hatari kwa usalama.

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin asema Nato ni hatari kwa usalama

Rais wa Urusi Vladimir Putin ametia saini karatasi mpya ya sera ya kitaifa kuhusu usalama ambayo inataja mpango wa upanuzi wa shirika la kujihami la Nato kama hatari kwa usalama.

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA

Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Mhe. Pereira Ame Silima (Mb.) (wa kwanza toka kushoto) akimweleza jambo Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania, Abigail Ambweni (wa tatu toka kushoto) wakati Baraza hili lilipotia saini makubaliano na kampuni hiyo kuendeleza ushirikiano katika kampeni za usalama barabarani ambazo Vodacom imekuwa ikidhamini tangu mwaka 2014. Akisikiliza pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza hilo na Kamanda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kortini kwa pembe za ndovu

WAKAZI wawili wa Tabata, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa makosa ya kukutwa na meno ya tembo ya sh. milioni 275.5 bila kibali. Mbele...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kwa Picha: Ndovu dhidi ya mamba

Ndama wa tembo alinusurika kibahati baada ya kuvamiwa na mamba akinywa maji nchini Zimbabwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Kizimbani kwa pembe za ndovu za Sh5 bilioni

Wafanyabiashara wawili wakazi wa Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Frank Moshi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana na kusomewa mashtaka matatu ya kufanya biashara ya pembe za ndovu zenye thamani ya zaidi ya Sh5.4 bilioni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zawadi ya mpunga kwa ndovu Sri Lanka

Mzee mmoja nchini Sri Lanka amewakabidhi ndovu shamba la mpunga .Ndovu hao wanalindwa na watawa wa hekalu ya kibuddha.

 

9 years ago

Mwananchi

Kwa nini pembe za ndovu zinapita kirahisi JNIA?

Katika tovuti ya The Citizen toleo la jana kulikuwa na habari kuhusu wanajeshi wawili wanaofanya kazi ya ukaguzi wa mizigo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kuhusika na utoroshaji wa pembe za ndovu  zenye uzito wa kilo 262 na thamani ya Sh826 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani