Hatari kwa usalama wa Ndovu
Mkutano wa kimataifa kuhusu masilahi ya wanyamapori, ulifanyika mjini London siku ya Alhamisi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
'Mvi hatari kwa usalama'
Hilo limejitokeza huko Kilifi Pwani ya Kenya ambako wazee wamekuwa wakiuawa na watu wasiojulikana kwa kisingizio kuwa ni wachawi.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
US: Maneno ya Trump ni hatari kwa usalama
Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema matamshi ya Donald Trump kwamba Waislamu wanafaa kuzuiwa kuingia Marekani ni hatari kwa usalama.
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Putin asema Nato ni hatari kwa usalama
Rais wa Urusi Vladimir Putin ametia saini karatasi mpya ya sera ya kitaifa kuhusu usalama ambayo inataja mpango wa upanuzi wa shirika la kujihami la Nato kama hatari kwa usalama.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s72-c/001.POLISI.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s1600/001.POLISI.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kortini kwa pembe za ndovu
WAKAZI wawili wa Tabata, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa makosa ya kukutwa na meno ya tembo ya sh. milioni 275.5 bila kibali. Mbele...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kwa Picha: Ndovu dhidi ya mamba
Ndama wa tembo alinusurika kibahati baada ya kuvamiwa na mamba akinywa maji nchini Zimbabwe.
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Kizimbani kwa pembe za ndovu za Sh5 bilioni
Wafanyabiashara wawili wakazi wa Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Frank Moshi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana na kusomewa mashtaka matatu ya kufanya biashara ya pembe za ndovu zenye thamani ya zaidi ya Sh5.4 bilioni.
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Zawadi ya mpunga kwa ndovu Sri Lanka
Mzee mmoja nchini Sri Lanka amewakabidhi ndovu shamba la mpunga .Ndovu hao wanalindwa na watawa wa hekalu ya kibuddha.
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Kwa nini pembe za ndovu zinapita kirahisi JNIA?
Katika tovuti ya The Citizen toleo la jana kulikuwa na habari kuhusu wanajeshi wawili wanaofanya kazi ya ukaguzi wa mizigo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kuhusika na utoroshaji wa pembe za ndovu zenye uzito wa kilo 262 na thamani ya Sh826 milioni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania