Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatari ya Steroids kwa wanamichezo, warembo

“MIMI hufikiria kuhusu madhara ya kutumia Steroids … Nitaishi muda gani? Lakini bado ninahitaji kuzitumia sasa,” haya ni maneno ya John, mwanamichezo wa kunyanyua vyuma vizito. Je, unaridhika na mwili...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

ZME Science

Mpemba on steroids: the surprising way to heat some things faster

Mpemba on steroids: the surprising way to heat some things faster  ZME Science

 

9 years ago

Habarileo

TOC: Wanamichezo pigeni kura kwa amani

KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC) imewataka wanamichezo wote wenye haki ya kupiga kura kujitokeza kwa wingi kesho kutumia haki yao ya kikatiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanamichezo jiandaeni kwa bidii Michezo Afrika

Tanzania itashiriki kwa mara ya 11 kwenye Michezo ya Mataifa ya Afrika (All African Games) nchini Kongo Brazzaville. Kwa mara ya kwanza taifa lilishiriki kwenye michezo hiyo 1965 ikiwa ni miaka mitatu baada ya kupata Uhuru 1961 wakati huo ikiitwa Tanganyika

 

11 years ago

TheCitizen

Say what? Brothels use toxic steroids to make child prostitutes look ‘plump’

Dhaka. A steroid used for fattening cattle is proving hugely popular in Bangladesh's brothels to make young sex workers look older and plumper despite the dangerous side effects on their health. 

 

11 years ago

Dewji Blog

Mhe. Kombani awapongeza wanamichezo OR-MUU kwa ushindi mkubwa

IMG_5882

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma  Mh. Celina O. Kombani (Mb) akikabidhiwa kombe la ubingwa wa Mpira wa Pete la Mei Mosi 2014 kutoka kwa Kapteni wa timu Elizabeth Fusi katika hafla fupi aliyoiandaa kuwapongeza mabingwa hao mapema leo ukumbi wa Utumishi. (Picha Na. Happiness Shayo).

Na Mary Mwakapenda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (OR MUU), Mhe. Celina O. Kombani amesema michezo ni sehemu ya maisha na hujenga afya bora hivyo kuleta...

 

5 years ago

BBC

Steroids at 16: South Africa's schoolboy rugby scene faces a widespread doping problem

Doping in South African schoolboy rugby is casting a shadow over the whole sport. Salmon van Huyssteen's story is just one chapter.

 

9 years ago

Michuzi

TASWA KUTOA TUZO KWA RAIS KIKWETE PAMOJA NA WANAMICHEZO WANAOFANYA VIZURI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARICHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kitatoa tuzo kwa Rais Jakaya Kikwete pamoja na wanamichezo 10 waliofanya vizuri zaidi katika miaka 10 akiwa Rais wa Tanzania.Tukio hilo ambalo pia litahudhuriwa na Rais Kikwete, litafanyika Oktoba 8, mwaka huu ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam likiwa na lengo la wanamichezo kumuaga Rais Jakaya Kikwete.TASWA itakabidhi tuzo maalum kwa Rais ikiwa ni kuthamini mchango wake kwa maendeleo ya michezo wakati...

 

11 years ago

Michuzi

Wanamichezo 45 waagwa rasmi kwa ajili ya kwenda nje kufanya maandalizi ya mashindano ya Jumuiya ya Madola

Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe akizungumza na wanamichezo wanaoenda kuweka kambi katika nchi za New Zealand, Ethiopia, China na Uturuki ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Jumuiya ya Madola mapema mwezi julai. Kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leornard Thadeo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leornard Thadeo akifafanua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani