Hatima ya Balotelli Liverpool ipo gizani
Mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli ameambiwa kuwa hatima yake ipo mikononi mwake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Balotelli hajarejea kambini-Liverpool
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Balotelli awatibua tena Liverpool
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Liverpool yamnyakua Mario Balotelli
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Sh bilioni 65.7 za makontena gizani
*Ni za ufisadi wa Bil. 80/- ulioibuliwa na Majaliwa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI vita dhidi ya wakwepa kodi katika Bandari ya Dar es Salaam ikipamba moto, umeibuka utata wa Sh bilioni 80 ambazo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alisema ni kodi ya makontena 329 kutoka kwa wafanyabiashara 58, walioyatoa bandarini bila kuyalipia kodi.
Akitoa ufafanuzi wa ukusanyaji wa fedha hizo, Desemba 12, Kaimu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk. Philip Mpango, aliwaeleza waandishi wa...
10 years ago
Mwananchi01 Mar
Urais wa Membe, Lowassa gizani
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Kukaa gizani sasa basi
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Mauaji kachero wa Serikali gizani
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
SIKU tatu tangu Mkuu wa Idara ya Ulinzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Emily Kisamo, kuuawa kwa kuchinjwa na kichwa kutengenishwa na kiwiliwili, giza bado limetanda juu ya sababu za mauaji hayo.
Mwili wa marehemu Kisamo uliokotwa juzi katika eneo la Kikwarukwaru, Kata ya Lemara jijini hapa ukiwa umefichwa ndani ya gari lake.
Juzi Kamanda Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alipotafutwa kwa njia ya simu alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnmk6QZEEFcacOSN4GSgJ7lKEdX1smPgPZ523fofPa6LU6YrjoZosTx0S8*dzCiETIYQnPfCgJsYoT5jmwQllepM/shangingi.jpg)
JAMANI, MNAKULA GIZANI MNAMFICHA NANI?-2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJALE1kpr*KEagUetotCbErtc4BwdddZiI0b6btTpATlUOrAxQqb*pQB-06aMOqzKOo*tI65Aiit2IiYXsl1JgTa/COUPLES.jpg?width=650)
KULA GIZANI HUPUNGUZA UTAMU WAKE