Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sh bilioni 65.7 za makontena gizani

Pg 1*Ni za ufisadi wa Bil. 80/- ulioibuliwa na Majaliwa

 Na Fredy Azzah, Dar es Salaam

 WAKATI vita dhidi ya wakwepa kodi katika Bandari ya Dar es Salaam ikipamba moto, umeibuka utata wa Sh bilioni 80 ambazo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alisema ni kodi ya makontena 329 kutoka kwa wafanyabiashara 58, walioyatoa bandarini bila kuyalipia kodi.

Akitoa ufafanuzi wa ukusanyaji wa fedha hizo, Desemba 12, Kaimu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk. Philip Mpango, aliwaeleza waandishi wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mauaji kachero wa Serikali gizani

liberatusi-saNA JANETH MUSHI, ARUSHA

SIKU tatu tangu Mkuu wa Idara ya Ulinzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Emily Kisamo, kuuawa kwa kuchinjwa na kichwa kutengenishwa na kiwiliwili, giza bado limetanda juu ya sababu za mauaji hayo.

Mwili wa marehemu Kisamo uliokotwa juzi katika eneo la Kikwarukwaru, Kata ya Lemara jijini hapa ukiwa umefichwa ndani ya gari lake.

Juzi Kamanda Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alipotafutwa kwa njia ya simu alithibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo alisema...

 

10 years ago

Mwananchi

Urais wa Membe, Lowassa gizani

Kamati Kuu ya CCM imezidi kuwaweka gizani makada sita waliomaliza adhabu ya kufungiwa kwa miezi 12 baada ya kueleza kuwa uchunguzi dhidi yao unaendelea kwa muda usiojulikana, uamuzi utakaowazuia kujitokeza rasmi kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama hicho tawala.

 

10 years ago

Mwananchi

Kukaa gizani sasa basi

Siku za kukaa gizani kwa wakazi wa Kijiji cha Uchindile wilayani Kilombero zipo ukingoni baada ya mtambo wa kuzalisha umeme wa kilowati saba utakaotokana na mabaki ya mazao na miti kuzinduliwa na kaya zaidi ya 100 zitanufaika.

 

10 years ago

Mwananchi

Afrika ikitoka gizani wote tutapofuka!

Mfalme Juha alikuwa bingwa wa kutatua matatizo kwa njia za mkato. Anapolitatua, linarudi likiwa limetengeneza madhara mengine yaliyo mabaya kuliko tatizo lenyewe. 

 

10 years ago

GPL

JAMANI, MNAKULA GIZANI MNAMFICHA NANI?-2

MPENZI msomaji wa safu hii ni wiki nyingine tena tunakutana, karibu tuendelee na sehemu ya mwisho ya mada yetu tuliyoianza wiki iliyopita. Jamani kuhema au kuzungumza kwa raha hutuongezea raha na kutufanya tuione safari kuwa ni fupi hata kama ni ndefu.
Umeshanipata ninaposema kusafiri kweupe kuna raha yake?  Kama hujanipata baki na ubozi wako. Wanawake tumeshazoea kuzungumza tukiwa safarini lakini wengine tuna aibu utatujua...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Nchi sasa gizani siku saba.

NA RESTUTA JAMES 7th September 2015 Shirika la umeme nchini (Tanesco), limetangaza nchi kuingia ‘gizani’ kwa wiki nzima kuanzia leo kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi inayozalisha umeme kutoka Songosongo na kuanza majaribio ya gesi […]

The post Nchi sasa gizani siku saba. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

LINDI NA MTWARA HATARINI KUINGIA GIZANI

Mikoa ya mtwara na lindi iko hatarini kuingia gizani kutokana na kiwanda kilichopo msimbati kinachotumika kuchakata gesi inayotumika kufua umeme katika mikoa hiyo sehemu ya ardhi yake mita miamoja na sita, kumezwa na maji ya bahari na kubakia mita 25 kufika eneo la kiwanda.Akizungumza na vyombo vya habari katika eneo la tukio naibu waziri nishati na madini mheshimiwa CHARLES KITWANGA amesema tukio hilo limetokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za malawi na msubiji na hivyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatima ya Balotelli Liverpool ipo gizani

Mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli ameambiwa kuwa hatima yake ipo mikononi mwake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kukatika kwa umeme Bangladesh gizani

Bangladesh imekumbwa na tatizo kubwa la ukosefu wa umeme baada ya umeme kukatika nchi nzima

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani