Hatma ya Ukawa saa 48
WAKATI viongozi na makada na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakitarajia kupata mgombea wao wa nafasi ya urais mwishoni mwa wiki hii mjini Dodoma, hali bado haijaeleweka ndani ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mapema wiki hii, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilifanya kikao cha dharura cha Kamati Kuu, ambamo pamoja na ajenda nyingine, kikao kilitafakari kwa kina hatma ya Ukawa wakati huu Uchaguzi Mkuu ukikaribia.
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Hatima ya Ukawa saa 72
10 years ago
Mwananchi01 May
Ukawa wakuna vichwa saa 48
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Ukawa wasitisha kampeni saa 24
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Ukawa kumuaga Mawazo kwa saa tano
* Wapigwa marufuku kula, kunywa wakati wa kuaga
*Lowassa, Mbowe na Sumaye kuongoza waombolezaji
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela imetoa saa tano kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutumia Uwanja wa Furahisha kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Alphonce Mawazo, kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.
Akitoa ratiba mpya ya kuaga mwili wa Mawazo, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Geita mjini hapa jana, Kaimu...
10 years ago
Michuzi02 Jul
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SHpp_fO_DDI/VixchP6GpcI/AAAAAAAEDBg/UbnSUZ6MF9E/s72-c/12019924_982954451746889_5814827121358446274_n.jpg)
WATU WAMESHAANZA KUPIGA KURA SAA MOJA ASUBUHI KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SHpp_fO_DDI/VixchP6GpcI/AAAAAAAEDBg/UbnSUZ6MF9E/s640/12019924_982954451746889_5814827121358446274_n.jpg)
Hapa wananchi wakihakiki majina yao kwenye ubao wa kuhakiki majina hili kupata fursa ya kupiga kura
![](http://2.bp.blogspot.com/-I-_GT_Dmufs/VixdwFfiWQI/AAAAAAAEDCM/omlq8skLY6s/s640/12108172_1349776185036796_947448282307777563_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovvBR0y4W7s/VixchMoKJiI/AAAAAAAEDBc/gLo-M3vGmWA/s640/12042905_982954431746891_8111603354285238081_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VGRfEdcil1I/Vixchg6SFmI/AAAAAAAEDBk/kwEkxdST6qs/s640/12141532_982955748413426_5171724414566659013_n.jpg)
Mabox ma 3 ya kupigia kura kuanzia uraisi ubunge na udiwani.
9 years ago
Michuzi01 Nov
10 years ago
Michuzi30 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CcPcHcmihOc/VVUusfh2mKI/AAAAAAAHXV8/UaKwEvbKUeQ/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
HII NI NYUMBA YA MICHEZO TANZANIA….YAHUSIKAJE?? SAA 3 ASUBUHI HADI SAA SITA ZA MCHANA-SPORTS HEADQUATERS..
![](http://3.bp.blogspot.com/-CcPcHcmihOc/VVUusfh2mKI/AAAAAAAHXV8/UaKwEvbKUeQ/s640/unnamed%2B(8).jpg)
1. MAULID KITENGE NI NANI?,Huyu ni mtangazaji nguli wa Sports Tanzania, aliyetumia kipindi cha miaka kumi na nne(14) kwenye moja kati ya vituo maarufu nchini Tanzania, na mwanzilishi wa Sports E FM Radio, ambae anafahamika sana kwa utangazaji wake maridhawa, na maswali yenye kutia...