Ukawa wasitisha kampeni saa 24
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umetangaza kusitisha kampeni zake kwa saa 24 ili kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mwenyekiti mwenza wa umoja huo, Dk Emmanuel Makaidi, ambaye anazikwa leo jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogTUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Hatma ya Ukawa saa 48
WAKATI viongozi na makada na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakitarajia kupata mgombea wao wa nafasi ya urais mwishoni mwa wiki hii mjini Dodoma, hali bado haijaeleweka ndani ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mapema wiki hii, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilifanya kikao cha dharura cha Kamati Kuu, ambamo pamoja na ajenda nyingine, kikao kilitafakari kwa kina hatma ya Ukawa wakati huu Uchaguzi Mkuu ukikaribia.
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho...
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Hatima ya Ukawa saa 72
10 years ago
Mwananchi01 May
Ukawa wakuna vichwa saa 48
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Saa nane za uzinduzi wa kampeni za CCM Dar
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Ukawa kumuaga Mawazo kwa saa tano
* Wapigwa marufuku kula, kunywa wakati wa kuaga
*Lowassa, Mbowe na Sumaye kuongoza waombolezaji
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela imetoa saa tano kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutumia Uwanja wa Furahisha kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Alphonce Mawazo, kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.
Akitoa ratiba mpya ya kuaga mwili wa Mawazo, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Geita mjini hapa jana, Kaimu...
9 years ago
Habarileo27 Aug
Ukawa Morogoro wazindua kampeni
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Jimbo la Morogoro Mjini vimezindua kampeni zao kwa kumnadi mgombea wa ubunge kupitia Chadema, Marcossy Albanie pamoja na wagombea wa udiwani kwa kata 29.
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Siku 10 kampeni za Lowassa Ukawa
11 years ago
MichuziUKAWA waendelea na Kampeni yao Pemba