Ukawa wakuna vichwa saa 48
>Saa 48 zilizotumika kikaoni kutafuta muafaka wa majimbo yenye utata ndani ya umoja wa vyama vya upinzani vilivyo chini ya Ukawa, zimekatika bila mafanikio na mvutano unaonekana kubakia kwenye majimbo 12 kati ya 239 waliyopanga kugawana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo18 Oct
Kikapu Zanzibar wakuna vichwa waamuzi
KAIMU Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa Kikapu Zanzibar (BAZA), Abdallah Hassan, amekiri kuwepo na upungufu katika sekta ya waamuzi kwenye mchezo wao, hali inayosababisha kuwepo malalamiko mengi kila wanapokuwa na mashindano au ligi.
10 years ago
Mwananchi17 Oct
CCM wakuna vichwa Uchaguzi Serikali za Mitaa
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Hatma ya Ukawa saa 48
WAKATI viongozi na makada na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakitarajia kupata mgombea wao wa nafasi ya urais mwishoni mwa wiki hii mjini Dodoma, hali bado haijaeleweka ndani ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mapema wiki hii, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilifanya kikao cha dharura cha Kamati Kuu, ambamo pamoja na ajenda nyingine, kikao kilitafakari kwa kina hatma ya Ukawa wakati huu Uchaguzi Mkuu ukikaribia.
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho...
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Hatima ya Ukawa saa 72
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Ukawa wasitisha kampeni saa 24
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Ukawa kumuaga Mawazo kwa saa tano
* Wapigwa marufuku kula, kunywa wakati wa kuaga
*Lowassa, Mbowe na Sumaye kuongoza waombolezaji
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela imetoa saa tano kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutumia Uwanja wa Furahisha kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Alphonce Mawazo, kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.
Akitoa ratiba mpya ya kuaga mwili wa Mawazo, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Geita mjini hapa jana, Kaimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k2NcSvwfzUQ/XrEbYFtC7jI/AAAAAAALpLc/RiqFvNh4OhcpnF1cITliB1aXbCYw7jlmACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-05%2Bat%2B9.55.49%2BAM.png)
RAIS MAGUFULI AWA GUMZO KILA PEMBE YA DUNIA, MSIMAMO WAKE KUHUSU CORONA WAKUNA WENGI
10 years ago
Michuzi02 Jul
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SHpp_fO_DDI/VixchP6GpcI/AAAAAAAEDBg/UbnSUZ6MF9E/s72-c/12019924_982954451746889_5814827121358446274_n.jpg)
WATU WAMESHAANZA KUPIGA KURA SAA MOJA ASUBUHI KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SHpp_fO_DDI/VixchP6GpcI/AAAAAAAEDBg/UbnSUZ6MF9E/s640/12019924_982954451746889_5814827121358446274_n.jpg)
Hapa wananchi wakihakiki majina yao kwenye ubao wa kuhakiki majina hili kupata fursa ya kupiga kura
![](http://2.bp.blogspot.com/-I-_GT_Dmufs/VixdwFfiWQI/AAAAAAAEDCM/omlq8skLY6s/s640/12108172_1349776185036796_947448282307777563_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovvBR0y4W7s/VixchMoKJiI/AAAAAAAEDBc/gLo-M3vGmWA/s640/12042905_982954431746891_8111603354285238081_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VGRfEdcil1I/Vixchg6SFmI/AAAAAAAEDBk/kwEkxdST6qs/s640/12141532_982955748413426_5171724414566659013_n.jpg)
Mabox ma 3 ya kupigia kura kuanzia uraisi ubunge na udiwani.