Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatujachelewa kuepushia nchi mitafaruku, ilivyo lolote laweza kutokea

KAMA kuna neno wakilishi linaloweza kuelezea hali ya mambo tulimo hapa nchini leo, neno hilo ni “

Joseph Mihangwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO HALI ILIVYO JIJINI MBEYA LEO KUTOKANA NA MGOMO WA MADEREVA UNAOENDELEA NCHI NZIMA

Madereva wengi nchini wamefanya mgomo wa vyombo vya usafiri, tangu jana asubuhi mpaka leo ambapo bado haijajulikana hatma ya mgomo huo, wakazi wa jiji la mbeya wajikuta wakiwa katika wakati mgumu kutokana na adha ya usafiri kutokana na vyombo hivyo kuweka mgomo, wasafiri wa mikoa na wilaya mbali mbali bado wapo katika hali ngumu sambamba na wanafunzi wasomao mbali kidogo na mji wa jiji la Mbeya.picha zote na Fadhiri Atick (Mr.Pengo) Mbeya.Sehemu wa Madereva wa Mabasi jijini Mbeya...

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA: Zao la Karafuu laweza kuwa uti wa mgongo wa Uchumi Zanzibar

Na Pili Khatib na Zuhura Omar, MUM 
 Kuimarisha Zao la Karafuu ni sawa na kuimarisha Uchumi na Maendeleo ya nchi, jitihada za Wadau ni muihimu ili kufika lengo la Serikali la kuifanya Sekta ya Zao la Karafuu kuwa uti wa mgongo wa Uchumi liweze kufikiwa.
Kutokana na umuhimu wa Sekta ya Karafuu kwa Maendeleo ya Uchumi Serikali imefanya mageuzi makubwa katika sekta hiyo kwa lengo la kuongeza uzalishaji na tija kwa Wakulima na Taifa kwa jumla.
Katika utekelezaji wa Mageuzi hayo yaliyoanza mwaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Slaa: Sina lolote la kumkumbuka Rais Kikwete

>Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema hakuna jambo lolote litakalomfanya amkumbuke Rais Jakaya Kikwete baada ya uongozi wake mwakani, akisema anachofanya sasa kiongozi huyo ni kuzindua miradi iliyowekwa na Serikali ya Awamu ya Tatu.

 

9 years ago

Bongo5

Update: Soundcity hamuwezi kututisha kwa lolote — Meneja wa P-Square awajibu!

Beef kati ya kituo cha runinga Soundcity TV ya Nigeria na kundi la P-Square inazidi kupamba moto. Meneja wa kundi la P-Sqaure ambaye pia ni kaka yao, Jude Okoye amekijibu kituo hicho kilichotoa maelezo ya kwanini hakioneshi video za P-Square (Ingia hapa). Jude ametumia Twitter kuishutumu Soundcity kuwa haiwalipi wasanii mirahaba na wao hawalalamiki, hivyo […]

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MFALME ABDULLAH: NI UKUMBUSHO TOSHA MALI SI LOLOTE MBELE YA MUNGU!

Aliyebebwa na kisha kulazwa hapa ni Mfalme Abdullah wa Saudia. Aliswaliwa na kuzikwa huko Riyadh mapema wiki hii.
Kuna mengi tunajifunza kwa kifo cha Mfalme huyu wa Duniani, Allah ampe kheri na jazaa huko akhera , ameen. Mfalme ambaye alikua na utajiri usomithilika, alikua na nguvu za kusema kile nataka hiki sitaki, alikua na uwezo mkubwa, lakini yote haya ulifika muda ikawa ni mwisho wake. Mwisho wa maamuzi. Hata akivuliwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Mjumbe Hauwawi! Naiwakilisha jinsi ilivyo!

TAFAKARI EWE UNAYEJIITA MWANA CHADEMA 
----------------------------------------------
Inasikitisha sana kuona ukabila na undugu kama huu Tz...

1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman
Mbowe (mchaga,kilimanjaro)

2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu
Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)

3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama -
Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga,
kilimanjaro)

4. Mkurugenzi wa Rasilimali wa chama- Ndugu
Suzan Lymo (mchag,Kilimanjaro)

5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu
John Mrema...

 

10 years ago

Michuzi

HALI ILIVYO DARAJA LA RANDO, KAWE

Daraja la Rando lililopo Kawe jijini Dar lionekanavyo baada ya kukumbwa na mafuriko kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha maeneo mbalimbali hapa nchini na  kupelekea usumbufu wa kutokufikika kwa baadhi maeneo ya ng'ambo ya daraja hilo, tunafahamu kwamba magari mara nyingi ndio yanasubiana kupishana lakini hapa imekuwa ni tofauti, kwani hapa Pikipiki (Bodaboda) ndio zinapishana kwa mtindo huo kwa kupita moja baada ya nyingine.   Hali ni tete katika daraja hilo ambalo lilitengenezwa kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Missouri hali ilivyo kwa sasa

"Usiku wa jana ulikuwa ni wa maafa. Tunajiandaa kuungana tena na kikosi maalam cha Taifa, kukabiliana na hali hii.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yailaumu Tanzania kwa hali ilivyo DRC

Umoja wa mataifa imezituhumu serikali za Tanzania na Burundi kuhusiana na hali katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani