Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATUKUPINDUA ILI TUTAWALIWE - MZEE NASSOR MOYO

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Nassor Moyo afukuzwa CCM

Mzee Hassan Nassour Moyo.MWANASIASA mkongwe na kada wa CCM aliyepata kushika nyadhifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na uwaziri, Mzee Hassan Nassor Moyo amefukuzwa uanachama wa chama hicho ambacho yeye ni mmoja wa waasisi wake, akiwa mwanachama namba 7.

 

10 years ago

Mwananchi

Dawa ni kuung’oa moyo wa jipu ili lisiote tambazi

Habari kuhusu watendaji wakuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kutimuliwa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) baada ya kutoa majibu yasiyoridhisha, inasikitisha.

 

10 years ago

Mtanzania

Mzee Moyo afukuzwa CCM

hassan-nassor-moyoNA SARAH MOSSI, ZANZIBAR

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimemfukuza uanachama mmoja wa waasisi wa chama hicho Visiwani, Mzee Hassan Nassor Moyo.

Hatua hiyo ilitangazwa jana na Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja, Aziza Iddi Mapuri katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari mjini hapa.

Mapuri alisema Mzee Moyo anadaiwa kukisaliti chama hicho kwa kukiuka maadili na kutoa matamshi yasiyokubaliana na sera za chama chao.

Alisema Mzee Moyo alitumia majukwaa ya siasa katika mikutano...

 

10 years ago

Mtanzania

Mzee Moyo: Sijutii kufukuzwa CCM

hassan-nassor-moyoNa Is-haka Omar, Zanzibar
WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Ndani mstaafu, Mzee Nassor Moyo, amesema hajutii kufukuzwa uanachama ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hatarajii kukata rufaa.
Akizungumza na MTANZANIA mjini hapa jana, Moyo alisema ataendelea kuwa muumini wa Serikali tatu na kudai mamlaka kamili ya Zanzibar hadi mwisho wa maisha yake.
Alisema anaamini kile anachosimamia ndani ya moyo wake, hivyo hakuna chama wala taasisi yoyote yenye uwezo wa kubadilisha kile anachokiamini kusimamia...

 

11 years ago

Mwananchi

Mzee Moyo awataka CCM wajipime

Mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Mzee Hassan Nassor Moyo amesema wajumbe wa CCM ndani ya Bunge la Katiba wanatakiwa kujiuliza sababu zilizolifanya kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutoka nje ya Bunge na ndipo watafute suluhu.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kama mzee Moyo, ameyaona Kingunge

Jabir Idrissa NANI katika CCM waliopo sasa, akiwemo Mwenyekiti wao Jakaya Mrisho Kikwete, makamu Philip Mangula na Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana, anayekijua kwa ufasaha chama hiki – asili yake, itikadi yake, sera yake, malengo yake – […]

The post Kama mzee Moyo, ameyaona Kingunge appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzee Moyo: Walionifukuza ni watoto wasiojua kitu

Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa wa Mjini Magharibi imetangaza mfukuza uanachama kada na mmoja wa waasisi wa chama hicho, Nassor Hassan Moyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Mzee Moyo: Sina mpango kujiunga chama chochote

hassan-nassor-moyoNa Elizabeth Hombo, aliyekuwa Tanga

MWASISI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mapinduzi ya Zanzibar, Nassor Hassan Moyo amesema hafikirii kujiunga na chama chochote cha siasa, baada ya kuvuliwa uanachama wa CCM.

Wiki iliyopita, Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja, Aziza Iddi Mapuri alitangaza kumfukuza mwanasiasa huyo mkongwe kwa madai ya kukisaliti kwa kukiuka maadili na kutoa matamshi yasiyokubaliana na sera za chama chake.

Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA nyumbani kwake...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ya Dodoma yasikuvunje moyo — Mzee Msuya amwambia Rais Kikwete

D92A9760

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri mkuu Mstaafu mzee Cleopa David Msuya. (Picha na Maktaba).

Waziri Mkuu na Makamu wa Rais Mstaafu, Mheshimiwa Cleopa David Msuya amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya na amemshauri kutokuvunjwa moyo na kile ambacho amekielezea kama “mambo madogo madogo” yanayoendelea ndani ya Bunge Maalum la Katiba.

Aidha, Mzee Msuya amesema kuwa Rais Kikwete hatasahauliwa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani