Hawa Ndio Walioweka Rekodi Ya Kufunga Ndoa kwenye JENEZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-LNZA8YzBd_M/VOHTOGHNv1I/AAAAAAAAtXc/gZ8ElZ95fAk/s72-c/Wanandoa-Bankok.jpg)
Miongoni mwa matukio ya kushangaza kama sio kufurahisha yaliyofanywa siku ya Jumamosi Feb.14 katika siku ya wapendanao Valentine’s day, ni lile la wachumba kumi walioamua kufunga ndoa zao wakiwa ndani ya jeneza huko Bangkok, Thailand.
Inasemekana kuwa wapenzi hao walifanya hivyo kwa kuamini kuwa ni njia ya kuondoa mikosi katika ndoa zao.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ic9Z031-S3E/VFuwlLnJviI/AAAAAAAARoo/qwIronaoPCg/s72-c/Record_full.png)
MESSI AFIKIA REKODI YA MAGOLI YA KUFUNGA KWENYE UEFA CHAMPIONS LEAGUE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ic9Z031-S3E/VFuwlLnJviI/AAAAAAAARoo/qwIronaoPCg/s1600/Record_full.png)
Mshambuliaji kutoka nchini Argentina na klabu ya Barcelona Lionel Andrés "Leo" Messi Cuccittini amekuwa wa kwanza kuifikia rekodi ya ufungaji mabao mengi kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, iliyokuwa inashikiliwa na aliyekua mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid pamoja na Schalke 04 ya nchini Ujerumani Raúl González Blanco.
Messi ameifikia rekodi hiyo usiku wa kuamkia hii leo baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili katika mchezo wa mzunguuko wa nne wa michuano ya ligi ya...
10 years ago
Bongo516 Oct
Video: Hawa ndio New Boyz, waliompa shavu AY kwenye video yake na Sean Kingston
10 years ago
Bongo516 Feb
Vituko vya Valentine’s day: Ndoa zafungwa kwa staili yake ndani ya jeneza siku ya wapendanao! (Picha)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-1T3cXtIP1S0nuK00YSOPkzDLQ*rKNGOCSV8TfbjugSafiWFS5cEgrtzZTGJVLSggroUYd0CeEkI*3aTEvfSjDs/mandela.jpg?width=650)
PICHA YA MANDELA AKIWA KWENYE JENEZA YAWA DILI
9 years ago
Bongo528 Sep
Alexis Sanchez aweka rekodi ya kufunga Hat-trick katika ligi tatu tofauti
10 years ago
CloudsFM19 Dec
MENINA KUFUNGA NDOA?
Msanii wa Bongo Fleva,Menina amepongezwa na mashabiki wake baada ya kutupia picha kwenye mtandao akiwa amevaa shela la harusi huku watu wakijiuliza huenda ameolewa kwa siri au anatarajia kufunga ndoa.
Baadhi ya mshabiki walimpongeza: sophybeiby @meninahladivah heee hongera ndo hata kunitonya mdogo wangu haya mwaya kila la kheri Nakupenda sana.
ramadhanijuma58 Umependeza...
10 years ago
Vijimambo02 Dec
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Kulala kwenye jeneza eti inapunguza stress ??!! Cheki na hii ya Wakorea.. (+Video)
Moja ya nchi ambazo zinaongoza kwa watu wake kujiua Korea nayo ipo… zinatrajwa sababu mbalimnbali za watu kuamua kujiua ikiwemo ishu ya msongo wa mawazo au stress !! Umewahi kupatwa msongo wa mawazo ??!! Ilipokutokea hali hiyo uliamua nini ?? Nakusogezea hii kutoka Korea Kusini ambako unaambiwa wao wameona moja ya mbinu poa za kupunguza […]
The post Kulala kwenye jeneza eti inapunguza stress ??!! Cheki na hii ya Wakorea.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
CloudsFM19 Dec
ELTON JOHN KUFUNGA NDOA
Mwanamuziki nguli wa nchini Uingereza,Elton John anatarajia kuolewa katika ndoa ya jinsia moja na mpenzi wake wa siku nyingi aliyedumu naye kwa miaka 20,David Furnish.
Mwanamuziki huyo anatarajia kufunga ndoa mwezi Desemba 21,mwaka huu,Elton John ana umri wa miaka 67 na mpenzi wake ana umri wa miaka 52 wametangaza nia ya kufunga ndoa baada ya kuishi muda mrefu kama mume na mke.
Pamoja na kuwa baadhi ya nchi hazikubaliani na suala la kufunga ndoa kwa watu wa jinsia moja,lakini wanaume hao...