Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hawa Ndio Walioweka Rekodi Ya Kufunga Ndoa kwenye JENEZA

Miongoni mwa matukio ya kushangaza kama sio kufurahisha yaliyofanywa siku ya Jumamosi Feb.14 katika siku ya wapendanao Valentine’s day, ni lile la wachumba kumi walioamua kufunga ndoa zao wakiwa ndani ya jeneza huko Bangkok, Thailand.Inasemekana kuwa wapenzi hao walifanya hivyo kwa kuamini kuwa ni njia ya kuondoa mikosi katika ndoa zao.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MESSI AFIKIA REKODI YA MAGOLI YA KUFUNGA KWENYE UEFA CHAMPIONS LEAGUE


Mshambuliaji kutoka nchini Argentina na klabu ya Barcelona Lionel Andrés "Leo" Messi Cuccittini amekuwa wa kwanza kuifikia rekodi ya ufungaji mabao mengi kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, iliyokuwa inashikiliwa na aliyekua mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid pamoja na Schalke 04 ya nchini Ujerumani Raúl González Blanco.
Messi ameifikia rekodi hiyo usiku wa kuamkia hii leo baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili katika mchezo wa mzunguuko wa nne wa michuano ya ligi ya...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Hawa ndio New Boyz, waliompa shavu AY kwenye video yake na Sean Kingston

Vijana wa kundi la New Boyz wa Marekani, Earl “Ben J” Benjamin na Dominic “Legacy” Thomas wataonekana kwenye video ya wimbo mpya wa AY aliomshirikisha Sean Kingston. Video hiyo itatoka mwezi ujao. “Kuna jamaa wa New BoyZ jamaa fulani wanahit huku, kuna video wamefanya na jamaa fulani ina view milioni 32, so ni jamaa wakubwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Vituko vya Valentine’s day: Ndoa zafungwa kwa staili yake ndani ya jeneza siku ya wapendanao! (Picha)

Miongoni mwa matukio ya kushangaza kama sio kufurahisha yaliyofanywa siku ya Jumamosi Feb.14 katika siku ya wapendanao Valentine’s day, ni lile la wachumba kumi walioamua kufunga ndoa zao wakiwa ndani ya jeneza huko Bangkok, Thailand. Inasemekana kuwa wapenzi hao walifanya hivyo kwa kuamini kuwa ni njia ya kuondoa mikosi katika ndoa zao. Chanzo: Daily Mail

 

11 years ago

GPL

PICHA YA MANDELA AKIWA KWENYE JENEZA YAWA DILI

Na Mwandishi Wetu
HATIMAYE historia imeandikwa, Mzee Nelson Mandela, rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini amezikwa jana katika shughuli kubwa iliyoshuhudiwa na mamilioni ya watu duniani kote kupitia runinga huku picha ya mwili wake ukiwa ndani ya jeneza ikiwa ndiyo dili kubwa. Mazishi ya Mzee Madiba aliyefariki dunia Desemba 5, 2013 yalifanyika katika kijiji alichokulia, Qunu, Mkoa wa Mthatha katika Jimbo la Eastern Cape...

 

9 years ago

Bongo5

Alexis Sanchez aweka rekodi ya kufunga Hat-trick katika ligi tatu tofauti

Mshambuliaji Alexis Sanchez wa Arsenal ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kupiga hat-trick katika ligi kuu tatu tofauti duniani, Serie A, La Liga na EPL. Hat-trick yake ya kwanza ilikuwa wakati anaichezea Udenise ya Italia ambapo waliifunga Palermo mabao 7-0 katika mchezo wa ligi kuu soka nchini Italia mwaka 2011. Hat-trick ya pili ameipata […]

 

10 years ago

CloudsFM

MENINA KUFUNGA NDOA?

Msanii wa Bongo Fleva,Menina amepongezwa na mashabiki wake baada ya kutupia picha kwenye mtandao akiwa amevaa shela la harusi huku watu wakijiuliza huenda ameolewa kwa siri au anatarajia kufunga ndoa.

Menina aliandika hivi Alhamdulilah finally soon to come Allah! Ibarik inshaallah gheir nakupenda saana #habib wangu......
Baadhi ya mshabiki walimpongeza: sophybeiby @meninahladivah heee hongera ndo hata kunitonya mdogo wangu haya mwaya kila la kheri Nakupenda sana.

ramadhanijuma58 Umependeza...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

MillardAyo

Kulala kwenye jeneza eti inapunguza stress ??!! Cheki na hii ya Wakorea.. (+Video)

Moja ya nchi ambazo zinaongoza kwa watu wake kujiua Korea nayo ipo… zinatrajwa sababu mbalimnbali za watu kuamua kujiua ikiwemo ishu ya msongo wa mawazo au stress !! Umewahi kupatwa msongo wa mawazo ??!! Ilipokutokea hali hiyo uliamua nini ?? Nakusogezea hii kutoka Korea Kusini ambako unaambiwa wao wameona moja ya mbinu poa za kupunguza […]

The post Kulala kwenye jeneza eti inapunguza stress ??!! Cheki na hii ya Wakorea.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

CloudsFM

ELTON JOHN KUFUNGA NDOA

Mwanamuziki nguli wa nchini Uingereza,Elton John anatarajia kuolewa katika ndoa ya jinsia moja na mpenzi wake wa siku nyingi aliyedumu naye kwa miaka 20,David Furnish.
Mwanamuziki huyo anatarajia kufunga ndoa mwezi Desemba 21,mwaka huu,Elton John ana umri wa miaka 67 na mpenzi wake ana umri wa miaka 52 wametangaza nia ya kufunga ndoa baada ya kuishi muda mrefu kama mume na mke.
Pamoja na kuwa baadhi ya nchi hazikubaliani na suala la kufunga ndoa kwa watu wa jinsia moja,lakini wanaume hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani