HAWAENDANI, LAKINI NDIYO HIVYO TENA!
Aunt Ezekiel na Moze Iyobo. NImtazamo wa wengi kuwa baadhi ya mastaa ambao wapo kwenye uhusiano hawaendani kabisa kutokana na muonekano wao, tabia zao na hata fani zao kuwa tofauti. Kuna mastaa wa Bongo na wa Mamtoni ambao mapenzi yao yalivyoanza yaliwashtua watu mbalimbali na wengine kudai hayafiki mbali huku wale wanaotazamiwa kuendana kwa kila kitu wakimwagana vibaya mfano, Diamond Platnumz na Wema Sepetu, Rihanna na Chris...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
DMX aachiwa kutoka jela, lakini anaweza kurudishwa tena!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGHFJsSXwgVfR0vLdKfk73uhOy455a7FEwNVpV9ZEX0sK4HO-mpspLDwxPEuE-e1wqNPThbSva6BVRd*ecfLmPda/simba.jpg?width=650)
Simba ndiyo basi tena.. yazimwa Taifa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GbKVovvMPe9SIwywmKQp9IeBXNzpxPMm1mPOnefA0HCASbefAN3GNDRfJS*YZdoLdeYIO1**C1hFB-iqgrEBSk2/MBASHA.gif?width=650)
MBASHA: MIMI NA FLORA NDIYO BASI TENA!
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Sumaye kwake ndiyo ni ndiyo
10 years ago
Bongo Movies22 Jun
Wema:Jamani Nikiwa Bungeni Sitaongea Hivyo
Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ambaye ametangaza nia ya kugombea nafasi ya ubunge wa viti maalumu Singida,amesema anafurahishwa na kitendo cha mashabiki wake kumwigiza sauti akiwa bungeni kwa kuwa wameonyesha kumkubali kabla hajafika ‘Mjengoni’.
Alisema sauti hiyo inayomuigiza alitumiwa kupitia simu yake na haikumkwaza zaidi ya kufurahia kwamba watu wengi wanakubali awe bungeni.
“Nafurahi kwa kuwa wengi wameshanipeleka bungeni wakati mimi ndiyo kwanza nipo katika harakati za kuomba...
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Mtu wa pili akutwa na virusi hivyo DR Congo
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Mtu wa kwanza akutwa na virusi hivyo Kenya
9 years ago
Bongo504 Jan
Faiza ajizushia kifo, aeleza kwanini alifanya hivyo
![Faiza Ally](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Faiza-Ally-300x194.jpg)
Faiza Ally hufanya kile akili yake inamtuma na ndio maana hivi karibuni alijizushia kifo chake mwenyewe na kusababisha tafrani kubwa.
Faiza Ally akiwa mwenye machozi
Kipitia ukurasa wake wa Facebook, aliandika: Faiza Ally kafa akiwa anatoka location
Akizungumzia sababu ya kuandika ujumbe huo, Faiza ameiambia Bongo5 kuwa alifanya hivyo baada ya kukasirishwa na madirector wa filamu yake mpya ambao wamekuwa wakimsumbua.
“Niliamua tu kuandika kuwa nimekufa,” amesema. “Hawa director wangu wa...