Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haya ndio yaliyowapeleka Young Dee na Nyandu Toz Afrika Kusini

N-Y

Kama unawa-follow Young Dee na Nyandu Toz utakuwa umekutana na post zao nyingi kwenye akaunti zao za mitandao ya kijamii zinazooonesha wako Afrika kusini.

N-Y

Haikuwa imewekwa wazi sababu zilizowapeleka huko, japo kutokana na ongezeko la wasanii wengi wa Bongo kwenda kufanya video Afrika Kusini, wengi walihisi pia na wao ndicho kilichowapeleka.

Young D na Nyandu wamesema kuwa wameenda Afrika Kusini kufanya show. “Nipo hapa na Nyandu Toz maeneo ya Johannesburg kwaajili ya maandalizi ya show...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

New Video: Bx ft Mr Blue, Nyandu Toz & Young Dee – Kesho

Hii ni Video Mpya kutok akwa rapper Bx akiwa amewashirikisha Mr Blue,Nyandu Toz na Young Dee ngoma inaitwa “Kesho” Video imeongozwa na Nick Dizzo

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa

Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram

Wiki iliyopita mmoja wa waanzilishi wa kundi la Mtu Chee, Country Boy alisema kuwa Young Dee amejiengua kwenye kundi hilo na nafasi yake imechukuliwa na Young Killer. Wiki hii kuna cover imeanza kusambazwa ya ngoma mpya ya Mtu Chee ambayo kweli wanaonekana Country Boy, Stamina na Young Killer. Bongo5 imemtafuta Young Killer kutaka kufahamu kuhusu […]

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Africanjam.Com

11 years ago

GPL

FUMANIZI LA LULU, YOUNG DEE UTATA

Stori:  Musa Mateja na Mayasa Mariwata
MWISHONI mwa wiki iliyopita, taarifa zilienea katika mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari Bongo kwamba msanii wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young Dee’ na nyota wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ wamebambwa na polisi wa doria wakivunja amri ya sita ndani ya gari aina ya Hyundai, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, tukio lililojaa utata mkubwa. ...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

GPL

YOUNG DEE AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Young Dee akiwa katika studio za Global TV online. Host wa kipindi cha Mtu Kati cha Global TV, Pamela Daffa (kushoto) akijiandaa kufanya mahojiano na Young Dee.…

 

10 years ago

GPL

YOUNG DEE: AKANA MADAI YA KUKACHA SHULE

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Young Dee akiwa katika studio za Global TV online. makala: Chande Abdallah
Leo hii kwenye Live Chumba cha Habari ya Global Publishers tunaye bwa’ mdogo machachari anayewakilisha vilivyo kwenye muziki wa Hip Hop, Young Dee. Dogo anafanya poa na nyimbo zake kadhaa kama: Dada Anaolewa, Tunapeta, Fununu na Siyo Mchoyo. Katika mahojiano na safu hii inayorushwa pia kupitia Global Tv Online,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani