Haya ndio yaliyowapeleka Young Dee na Nyandu Toz Afrika Kusini
Kama unawa-follow Young Dee na Nyandu Toz utakuwa umekutana na post zao nyingi kwenye akaunti zao za mitandao ya kijamii zinazooonesha wako Afrika kusini.
Haikuwa imewekwa wazi sababu zilizowapeleka huko, japo kutokana na ongezeko la wasanii wengi wa Bongo kwenda kufanya video Afrika Kusini, wengi walihisi pia na wao ndicho kilichowapeleka.
Young D na Nyandu wamesema kuwa wameenda Afrika Kusini kufanya show. “Nipo hapa na Nyandu Toz maeneo ya Johannesburg kwaajili ya maandalizi ya show...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo531 Jul
New Video: Bx ft Mr Blue, Nyandu Toz & Young Dee – Kesho
9 years ago
Bongo507 Oct
Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
11 years ago
GPL20 Jul
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-6bxX-a8nnfk/VWlzaZLdC-I/AAAAAAAABrY/ixcla0lu6Gs/s72-c/cowobama.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-3hEtkhRT1-Jtzj4Kx8R0x-kNXUh9UJGa5IRJkPTm29x0sbWklmSz3QfRv3E2LgYbRbEz0rN*5QszqpSGlIrdnt/LULUNAYOUNG.jpg?width=650)
FUMANIZI LA LULU, YOUNG DEE UTATA
10 years ago
GPL19 Sep
10 years ago
GPLYOUNG DEE AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
GPLYOUNG DEE: AKANA MADAI YA KUKACHA SHULE