Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HII NDIO GARI ISIZO TUMIA WESE

HABARI ZA KAZI ANKAL.  KATIKA PITA PITA YANGU HAPA UGHAIBUNI NIMEIKUTA GARI ISIYOTUMIA WESE IKIPATIWA CHARGE. NAOMBA OWAONYESHE WADAU WA USAFIRI NCHI WAANZE KUWEKA MAZINGIRA YATAKAYOWEZEZA AINA YA GARI KAMA HIZI KUJA TANZANIA.
AHSANTE MDAU LUTON UK

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MSIKITI WA GADDAFI DODOMA WAMSHUKURU MEMBE - TUMIA HII

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajabu Shabani (kulia) akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (katikati), kwa waumini wa Msikiti wa Gaddafi mkoani humo jana, wakati waumini hao walipomwita kwa ajili ya kumshukuru kutokana na jitihada zake katika kuwezesha ujenzi wa msikiti huo uliojengwa kwa ufadhili wa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, marehemu Muammar Gaddafi. Kushoto ni Diwani wa Kwadelo, Alhaj Omary Kariati. Picha zote na John BadiSheikh Mkuu...

 

10 years ago

Vijimambo

HEADING TUMIA HII: MO AMONG TOP 3 IN A LIST OF 100 AFRICA’S YOUNG BUSINESS LEADERS

DSC_0317-1024x682
CEO of MeTL GROUP, Mohammed Dewji.African Business Magazine.pdf by moblog

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video)

Bado headlines za anayetajwa kuwa kocha ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola anakwenda kufundisha klabu gani zinazidi kuchukua nafasi, tayari Pep Guardiola ametaja nchi atakayokwenda kufundisha soka baada ya kukiri kuwa hatoendelea na kuifundisha klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Pep Guardiola amekiri kuamua kuondoka ndani ya klabu ya FC Bayern, baada ya kuitumikia […]

The post Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video) appeared first...

 

9 years ago

BBCSwahili

Toyota ndio gari maarufu zaidi duniani

Kampuni ya kutengeneza magari ya Toyota imeipiku Volkswagen kutoka kwenye nafasi ya kwanza ya makampuni yaliyouza idadi kubwa ya magari mwaka huu

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

HII NDIO DAR ES SALAAM

 Baadhi ya watu wakiendelea kutupa taka mahari ambapo hairuhusiwi kutupa taka na istoshe kuna kibao kimeandikwa kuwa usitupe taka lakini cha kushangaza watu wanaendelea kutupa taka pembezoni mwa barabara inayoelekea TRA ya mwenge jijini Dar.Hii ndio hali halisi ya eneo hilo

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani