HII NDIO DAR ES SALAAM
Baadhi ya watu wakiendelea kutupa taka mahari ambapo hairuhusiwi kutupa taka na istoshe kuna kibao kimeandikwa kuwa usitupe taka lakini cha kushangaza watu wanaendelea kutupa taka pembezoni mwa barabara inayoelekea TRA ya mwenge jijini Dar.
Hii ndio hali halisi ya eneo hilo
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Nov
Hii ndio taasisi inayotoa huduma ya matibabu bure jijini Dar
![10995988_1437850883176131_1662728636697019795_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10995988_1437850883176131_1662728636697019795_n-300x194.jpg)
Taasisi ya Mkono wa Tumaini inayofanya kazi za kusaidia jamii kwa kutoa huduma za matibabu bure maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Jumamosi iliyopita, imeweza kuendelea la jukumu la kusaidia jamii ya watu wa Kinondoni hasa maeneo ya Kinondoni shamba na maeneo ya jirani kuwasaidia kupata unafuu kwa matibabu wale wasio na uwezo wa kumudu gharama za kuwaona madaktari.
Baadhi ya wananchi wa Kinondoni wakisubiri kupewa huduma na waataalam wa taasiso hiyo
Taasisi hiyo, inayofanya kazi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3Uic4o6ghX8/VUhX2NBwOyI/AAAAAAAHVX8/Lo8mEg52cRc/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
taswira ya Dar es salaam asubuhi hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Uic4o6ghX8/VUhX2NBwOyI/AAAAAAAHVX8/Lo8mEg52cRc/s640/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EX4UuKeE7x4/VUhX2KaNRCI/AAAAAAAHVYA/CTJQyECdjgI/s640/unnamed%2B(40).jpg)
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video)
Bado headlines za anayetajwa kuwa kocha ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola anakwenda kufundisha klabu gani zinazidi kuchukua nafasi, tayari Pep Guardiola ametaja nchi atakayokwenda kufundisha soka baada ya kukiri kuwa hatoendelea na kuifundisha klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Pep Guardiola amekiri kuamua kuondoka ndani ya klabu ya FC Bayern, baada ya kuitumikia […]
The post Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video) appeared first...
10 years ago
MichuziSOKO LA HISA WIKI HII JIJINI DAR ES SALAAM
Meneja Mradi na biashara wa soko la hisa hapa nchini, Patrick Msusa akizungumza na na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusiana na kushuka kwa soko la hisa kwa asilimia 85.85 ukilinganisa na wiki iliyopita ambapo ziliuwa hisa 14,685 na kushuka kwa wiki hii hisa 2,1077 zilizouzwa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-txWbMM1gV6s/VHZ_HvMosbI/AAAAAAAGzrk/Le-j08tlGT0/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
KUPIMA VVU NDIO MPANGO MZIMA-LINDA GOLI LAKO29th NOV, 2014 is the HIV Testing Day for Dar es Salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-txWbMM1gV6s/VHZ_HvMosbI/AAAAAAAGzrk/Le-j08tlGT0/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NKeq8Klimq0/VHZ_Pp6jX5I/AAAAAAAGzrs/2YCjbEt5jiQ/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
In Tanzania, sixty-two percent (62) of women and 47 percent of men have ever been tested and received the results of their HIV test according to the THMIS 2011/12. The results lead to a gap of 53% for...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hFJp_lVmeIc/VlP8Zq0exnI/AAAAAAAAL80/LWjmojgQGi8/s72-c/Mbili.jpg)
POP UP BONGO KUFANYIKA JUMAMOSI HII TRINITI OYSTERBAY DAR ES SALAAM
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Akizungumzia kuhusiana na tamasha hilo mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli alisema kuwa milango...
10 years ago
MichuziMAONYESHO YA TIBA ASILI KIMATAIFA KUFANYIKA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM KUANZIA ALHAMISI HII
MAONYESHO ya Biashara ya Kimataifa ya Tiba Asili ya Mwafrika yamepangwa kufanyika jijini Dar es Salaam katika Viwanja vya Mnazi Mmoja kuanzia Novemba 16 hadi 23.
Maonyesho hayo ambayo yanafanyika nchini kwa mara ya kwanza yameandaliwa na Jukwaa la Tiba Asili Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na Mamlaka ya ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE). Mwenyekiti wa Kamati ya Manndalizi ya Maonyesho hayo, Boniventure Mwalongo alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa...
11 years ago
Michuzi09 May
Mnada mkubwa wa Isuzu Pick-Up Double Cabin na Malori kufanyika Jumamosi hii Kijitonyama, Dar es salaam
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CGu-FeZzoqQ/VjI3bkQOpvI/AAAAAAAIDXg/z6eSR9JF6ao/s72-c/j11.jpg)
JK AMPONGEZA RAIS MTEUL JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-CGu-FeZzoqQ/VjI3bkQOpvI/AAAAAAAIDXg/z6eSR9JF6ao/s640/j11.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii Oktoba 29, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qou44moVYi4/VjI3dOuNzTI/AAAAAAAIDXo/m0sZzU3th6M/s640/j7.jpg)