Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HII NDIO DAR ES SALAAM

 Baadhi ya watu wakiendelea kutupa taka mahari ambapo hairuhusiwi kutupa taka na istoshe kuna kibao kimeandikwa kuwa usitupe taka lakini cha kushangaza watu wanaendelea kutupa taka pembezoni mwa barabara inayoelekea TRA ya mwenge jijini Dar.Hii ndio hali halisi ya eneo hilo

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hii ndio taasisi inayotoa huduma ya matibabu bure jijini Dar

10995988_1437850883176131_1662728636697019795_n

Taasisi ya Mkono wa Tumaini inayofanya kazi za kusaidia jamii kwa kutoa huduma za matibabu bure maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Jumamosi iliyopita, imeweza kuendelea la jukumu la kusaidia jamii ya watu wa Kinondoni hasa maeneo ya Kinondoni shamba na maeneo ya jirani kuwasaidia kupata unafuu kwa matibabu wale wasio na uwezo wa kumudu gharama za kuwaona madaktari.

10995988_1437850883176131_1662728636697019795_n
Baadhi ya wananchi wa Kinondoni wakisubiri kupewa huduma na waataalam wa taasiso hiyo

Taasisi hiyo, inayofanya kazi...

 

10 years ago

Michuzi

taswira ya Dar es salaam asubuhi hii

 Taswira ya asubuhi barabara ya Kivukoni jijini Dar es salaam kuashiria kwamba mgomo wa madereva wa mabasi unaendelea kwa siku ya pili leo

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video)

Bado headlines za anayetajwa kuwa kocha ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola anakwenda kufundisha klabu gani zinazidi kuchukua nafasi, tayari Pep Guardiola ametaja nchi atakayokwenda kufundisha soka baada ya kukiri kuwa hatoendelea na kuifundisha klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Pep Guardiola amekiri kuamua kuondoka ndani ya klabu ya FC Bayern, baada ya kuitumikia […]

The post Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video) appeared first...

 

10 years ago

Michuzi

SOKO LA HISA WIKI HII JIJINI DAR ES SALAAM


Meneja Mradi na biashara wa soko la hisa hapa nchini, Patrick Msusa akizungumza na na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusiana na kushuka kwa soko la hisa kwa asilimia 85.85 ukilinganisa na wiki iliyopita ambapo ziliuwa hisa 14,685 na kushuka kwa wiki hii hisa 2,1077 zilizouzwa. Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika ofisi za soko la hisa leo jijini Dar es Salaam.Picha na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.

 

10 years ago

Michuzi

KUPIMA VVU NDIO MPANGO MZIMA-LINDA GOLI LAKO29th NOV, 2014 is the HIV Testing Day for Dar es Salaam


Amref Health Africa in partnership with Ministry of Health, TACAIDS,UNAIDS  in Tanzania and Salama Foundation will offer free HIV testing in multiple selected sites in Dar es salaam City on 29thNovember 2014. This is part of the national HIV Testing Campaign to mark the World AIDs Day in 2014.


In Tanzania, sixty-two percent (62) of women and 47 percent of men have ever been tested and received the results of their HIV test according to the THMIS 2011/12. The results lead to a gap of 53% for...

 

9 years ago

Michuzi

POP UP BONGO KUFANYIKA JUMAMOSI HII TRINITI OYSTERBAY DAR ES SALAAM

Na Mwandishi WetuWASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oyster bay katika tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo. 
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Akizungumzia kuhusiana na tamasha hilo mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli alisema kuwa milango...

 

10 years ago

Michuzi

MAONYESHO YA TIBA ASILI KIMATAIFA KUFANYIKA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM KUANZIA ALHAMISI HII


MAONYESHO ya Biashara ya Kimataifa ya Tiba Asili ya Mwafrika yamepangwa kufanyika jijini Dar es Salaam katika Viwanja vya Mnazi Mmoja kuanzia Novemba 16 hadi 23. 
Maonyesho hayo ambayo yanafanyika nchini kwa mara ya kwanza yameandaliwa na Jukwaa la Tiba Asili Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii na Mamlaka ya ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE). Mwenyekiti wa Kamati ya Manndalizi ya Maonyesho hayo, Boniventure Mwalongo alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Mnada mkubwa wa Isuzu Pick-Up Double Cabin na Malori kufanyika Jumamosi hii Kijitonyama, Dar es salaam

We shall sell 19 Isuzu PickUP Double Cabin and 9 Volvo & Leyland DAF trucks by public auction this Saturday 10th May 2014. Viewing is as from Today and Tomorrow at Mancity Car wash grounds, Kijitonyama , Mabatini road. For further info's Contact : Universal Auction Center, +255754 284926

 

9 years ago

Michuzi

JK AMPONGEZA RAIS MTEUL JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM JIONI HII


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa  Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva  kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii Oktoba 29, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani