HIVI HIKI KIBAO KINAMAANISHA NINI VILE????
![](http://4.bp.blogspot.com/-aVbY39yROXQ/VXcjERIxTkI/AAAAAAAHdbs/xQpyb3FbttA/s72-c/MMGL1508%2Bcopy.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Oct
JITIRIRISHE NA KIBAO HIKI CHA SAUTI SOL NA KITAKUFANYA UMPENDE ZAIDI WAKO WA MOYO
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/10/10689880_10152742541473713_2389561723125307402_n.jpg)
9 years ago
Bongo530 Dec
Una kipaji cha kuimba? Unaweza kushinda zawadi kibao kutoka #TecnoOwnTheStage kwa kufanya hivi
![12356592_764354003692580_994120953_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12356592_764354003692580_994120953_n-300x194.jpg)
Je una kipaji cha kuimba? Unahisi unaweza kuwafunika washiriki wa shindano la Tecno Own The Stage?
Basi una nafasi ya kushinda zawadi kibao kutoka Tecno.
Unachotakiwa kufanya ni kuupload video ya sekunde 15 ya wimbo alioimba mshiriki yeyote na kuipost kwenye ukurasa wa Facebook wa TECNO Own The Stage.
Video yako ikipata likes nyingi utashinda zawadi kila wiki.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Cog6P*b0AmXUarEeSt4wchvBgmekA1ZlfjYWNYEV7ckASgmkBGT5cZNqz1obXuanmJ-aljN9pENAdobPZN0HA0F*/couplehappilysleeping.jpg?width=650)
HIVI MAPENZI YAMEKUFANYIA NINI?
Mpenzi msomaji wa safu hii ya XXLove, shukrani nyingi zikufikie kwa maoni na ushauri wako. Baada ya wiki iliyopita kukupa mbinu za kupigania penzi lako kwa maana ya kulia au kulisusa siyo dawa, wiki hii napenda nijue wewe msomaji wa makala haya, mapenzi yamekufanyia nini? Ninaamini kila mtu atakuwa na jibu kulingana na vile mapenzi yalivyomfanyia katika maisha yake ya uhusiano.Kwa kuanza tu, wapo watu waliofika ughaibuni kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JJ0UkxMqMBGZ2HzV9jZ4Um-5GworLqQAbvsjg9qaLFj6YQkPl5nL3bpypZ39A55IJAmiVzxb0WDp7KSqT05a25f/mahaba.jpg)
HIVI UNAMNYIMA NINI, UMEBADILIKAJE MPAKA AKUSALITI?
Kesi za wapenzi na wanandoa kusalitiana zimekuwa zikiongezeka kila kukicha. Uaminifu umekosekana baina ya wale wanaodai wanapendana kiasi kwamba hakuna anayeweza kusimama na kusema kuwa, hasalitiwi. Utafiti unaonesha kwamba, hata wale ambao wanajiaminisha kuwa wapenzi wao ni watulivu wasio na mawazo ya kuchepuka, wamekuwa wakizungukwa bila wao kujua.
Si hivyo tu, wapo ambao wanajua wazi kwamba wapenzi wao hawajatulia lakini ili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nc61tuPNc3NHIwUBc0xBbv8J3OcUiDeh55umvzs-bGmYEqnlASqVl7nqVI3teCwbqjdI3sGRqQxwIhKnflv4h3P53xNRf4Vo/ClairMacDougallFE0328LiberianGirlSoldierEmbed8.jpg?width=650)
HIVI UNAPOMTESA ‘HAUSIGELI’ WAKO UNATARAJIA NINI?
NDUGU zangu, leo ngoja niwazungumzie watu ambao kwa uelewa wangu ni muhimu sana kwenye jamii yetu. Nawazungumzia wasaidizi wa kike wa kazi za ndani ambao tumezoea kuwaita mahausigeli huku wengine wakiwapachika jina la mabeki tatu. Hawa ni watu muhimu sana. Msaada unaotolewa na wasichana hawa hasa kwa watu wenye familia ni mkubwa lakini kinachoniuma ni kwamba baadhi yao wamekuwa wakinyanyasika sana.
Juzi nilisoma habari moja...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania