Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hizi ndizo Sera za Bwana Liberatus Mwangombe kuhusu Darasa la Kiswahili

Untitled 2

Wanasema kwamba eti Tamko juu ya tuhuma za mgombea wakiti cha urais Bwana Liberatus Mwangombe kuhusu darasa la kiswahili. SWALI:  Jee hizi ndio tuhuma za kulishutumu Darasa la kiswahili aliozotuhumu darasa hilo……?

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HIZI NDIZO TABIA ZA FREEMASONS

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale ambapo Sir Chande, kiongozi mstaafu wa taasisi hiyo Afrika Mashariki alipokuwa akishukuru kupewa heshima na vyombo vya kitaifa na kimataifa.
Baadhi ya vitabu vinaonesha kwamba hakuna anayejua wanachokifanya wanachama wa Freemasonry lakini inaaminika kuwa viongozi wakuu wa Tanzania wanajua kila kitu.
SASA ENDELEA… Katika zama tulizo nazo swali la nani ni Freemason...

 

10 years ago

Mwananchi

Hizi ndizo sifa za mwalimu bora- 1

Ualimu ni mojawapo ya fani muhimu kwa maendeleo ya taifa lolote lile duniani. Kila mmoja wetu anatambua umuhimu na michango ya walimu katika maisha yake ya kila siku.

 

10 years ago

Mwananchi

Hizi ndizo sifa za mwalimu bora- 2

Katika makala iliyopita tuliangalia baadhi ya sifa anazotakiwa kuwa nazo mwalimu. Katika makala haya tutaendelea na sifa nyingine.

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER

Image result for atc metro DMVJUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA WATOTO WOTE KUSHIRIKI SIKU YA WHITE OAK CENTER ; SAA 5:00 ASUBUHU HADI SAA 8:00 MCHANA1700 April Lane, Silver Spring
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE  MINGINE .

KIINGILIO  BUREEEEE        











 

10 years ago

Raia Tanzania

Hizi ndizo hisia tata za mapenzi ya kweli

KATIKA suala la uhusiano wa kimapenzi, hapana shaka mpenzi mwenye kumpenda mpendwa wake kwa dhati hisia zake za kimapenzi huwa tofauti sana na yule mwenye mapenzi ya ulaghai.

Mpenzi mwenye mapenzi ya kweli hisia zake hugusa kutoka ndani ya moyo wake, ambapo wakati mwingine si rahisi hata pale mmoja anapojaribu kumshauri au kumshawishi kuhusu jambo fulani baya juu ya ampendaye akaweza kuelewa.

Mpenzi wa namna hii huwa kama mjinga ambaye ukimtishia nyau au bastola ya watoto atoe pesa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mr Chuz: Hizi ndizo kanuni 10 za maisha yangu ya kila siku

>Mtayarishaji  wa filamu na Mkurugenzi wa Kundi la Tuesday Entertainment Ltd, Tuesday Kihangala maarufu Mr Chuzi, amezitaja sababu zinazomfanya aendelee kuwepo na kufanya vizuri kwenye tasnia licha ya kuwepo kwa tuhuma nyingi na tofauti dhidi yake.

 

9 years ago

Vijimambo

HIZI NDIZO AHADI ZA CCM UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2015



 Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeipua Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2015-2020, ikitaja mambo makuu manne ya kushughulkikia katika miaka mitano ijayo, ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalumu ya makosa hayo.
Ilani hiyo, iliyoandaliwa na makada wake 32 wakiongozwa na Stephen Wasira, imeanisha jinsi chama hicho kikongwe kilivyotekeleza baadhi ya ahadi zake katika ilani ya mwaka 2010-2015 na kutaja ahadi...

 

9 years ago

Bongo Movies

Hizi ndizo sababu za Bonge la Nyau Kudatishwa na Irene Paul

Urembo na uchapakazi wa mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu, Irene Paul umemdatisha msanii wa muziki, Bonge La Nyau aka Nyauloso.

Nyauloso ameiambia Nje ya Box ya kipindi cha Planet Bongo cha EATV, kuwa anatadishwa mno na miondoko ya mwanadada huyo.

“Irene Paul kwanza ukiachana na mambo yote mimi ni shabiki yake,” alisema rapper huyo.

“Ni mtu ambaye nakuwa naangalia sana kazi zake. Lakini ni mtu ambaye mimi mwenyewe nikimuona najihisi kuna kitu. Unajua yule ni mzuri, ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani